Shibuda kurudisha kadi ya chadema kesho

Shibuda kurudisha kadi ya chadema kesho

I pray he wont miss such golden opportunity! Let's applaud him off!
 
kweli CCM mna hali mbaya yaani mpaka shibuda mnamtamani si mulimkataa nyinyi,Chadema tukamuoko......pelekeni hiyo takataka
 
Dah! namtakia kila lakher maana amefanya hivyo wakati muafaka.
 
mbona akiondoka huku nyuma tutakuwa tunafanya sherehe ya kifo chake.
 
aliyeshadadia posho eti akubali kuacha ubunge, hawez kuwa na ujacr huo
 
MAMLUKI hana nafac CDM.na CDM hakuna GAMBA bali MAGWANDA ya MAKAMANDA.UPWEKE WA GAMBA LAKE la pekee ndio unaomtamanisha kurudi kwa magamba wenzake kama atafanya hivyo da early da better.
 
Natafuta mnanda wa kusheherekea, maana hii mizigo mingine jamani khaaaa
 
Jamaa hawezi kuacha ulaji na anajua ccm Ndio kaburi lake hawezi kukurupuka kahivyo japo simuamini sana ila sio **** kihivo ila cdm akina shibuda wako wengi tuwe makini
 
Acha aondoke,ila mimi naendelea kusisitiza kuwa,viongozi wa CHADEMA wawe makini,sio kila mtu wa kumpokea kwa7bu,siku hizi kuna kinaSHIBUDA wengi,watakuja kukichunguza tu chama na kuondoka.Tukumbuke kuwa mtoto wa nyoka ni nyoka tu,wengi wao wanakuja na mgamba humu.
 
Eee Mungu muumba wa mbingu na ardhi naomba umsaidie Shibuda kesho aamke na afya njema, ili apande jukwaani kwa Magamba na kurudisha kadi ya Chadema, kwa hakika tumechoka na mtu huyu ila hatuna jinsi eee Mungu tusaidie.......wote tuseme amen
 
Habari ndo hiyo kaa mkao wakula

Ilianza hivi

images



Ikaja hivi

images


Ikaja hivi akaanza kuwa mpweke cdm inamtenga



1.jpg



Mara ikawa Hivi Shibuda akiwa dodoma na JK

images



Mara ikawa hivi

d10.jpg







Sasa kesho anarudisha kadi ya cdm


Mnakaribishwa nyote kumuona Shujaa shibuda akimwaga sera za kutoka cdm:A S 100::majani7:

Una uhakika? Kama kweli una uhakika, nambie nianze kuandaa sherehe. Maana 90% ya wapenda nchi hii, wanachukizwa na mwenendo wa Shibuda. Ni sawa na kuondolewa mwiba uliokuwa mwilini muda mrefu!!!!! Ukiwa na mwiba huo, unaumia. Wakati wa kuutoa, unaumia lakini baadaye unakuwa mzima wa afya.

People's Power

Quality
 
Hamna lolote!!
Mi nadhani Dr. Kupeng'e umetumwa uweke hii thread ili uwavutie watu wa CDM waje kwenye mkutano wenu.
Ndio watakuja, lakini CCM mtarajie kuzomewa au muandae FFU wa kutosha, ccm wasifikiri wanaongea na watanzania wa enzi hizo, tumechoka.
 
Shibuda ni mzigo na adha kubwa sana kwa chama, wameshamchoka lakini wanamhitaji, anaongeza ruzuku, anaongeza hesabu ya majimbo, anaongeza nguvu ya chama bungeni kwa msingi wa idadi yao tu bungeni.

Kwa CHADEMA Shibuda ni kama mjomba aliyekusomesha lakini akaku molest, hujui umchukulieje!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom