Kwa mtazamo wangu, hawa wote wanaojitokeza hivi sasa kudai JK aendelee na kipindi cha pili wanatetea maslahi yao, kwani nani kawaeleza kuwa hatagombea!!!! Hawana lolote hawa, wanaelewa wadanganyika watamchagua tena, kwa hiyo wanajitengenezea mazingira ya bwana mkubwa kuwaona ataporudi madarakani.
Si hata Commandoo walikuwepo waliompigia debe ivunjwe katiba aendelee kwa kipindi cha tatu! Hata Mkapa walijitokeza wa kumpigia debe aendelee na kipindi cha tatu. CCM ni unafiki kwa kwenda mbele!
Mabadiliko nchi hii yanawezekana kabisa, tatizo letu ni ubinafsi ulipo kwenye upinzani. Wananchi wa Tarime na Mbeya Vijijini wameonyesha kuwa inawezekana, lakini wamkabidhi naniii, hapo ndio penye tatizo.
Si hata Commandoo walikuwepo waliompigia debe ivunjwe katiba aendelee kwa kipindi cha tatu! Hata Mkapa walijitokeza wa kumpigia debe aendelee na kipindi cha tatu. CCM ni unafiki kwa kwenda mbele!
Mabadiliko nchi hii yanawezekana kabisa, tatizo letu ni ubinafsi ulipo kwenye upinzani. Wananchi wa Tarime na Mbeya Vijijini wameonyesha kuwa inawezekana, lakini wamkabidhi naniii, hapo ndio penye tatizo.