Shibuda aishangaa demokrasia ya CHADEMA

Shibuda aishangaa demokrasia ya CHADEMA

Please CHADEMA,remove this man from your party,he is of no help.I think this man was planted so as to bring confusion in the party,but unfortunately he has come to understand that,the job he was given is bigger than what he could chew!.
 
Amesema vizuri. Chama kampuni ni hatari! Haijalishi ni umd, tlp, cdm, ccm au nini!
 
Please CHADEMA,remove this man from your party,he is of no help.I think this man was planted so as to bring confusion in the party,but unfortunately he has come to understand that,the job he was given is bigger than what he could chew!.

Wanachama hawafukuzwi hovyo bila uhakiki wa makosa makubwa.

Huyu bwana kazi yake kubwabwaja tu upuuzi, ajaribu kuvunja kanuni za misingi ya chadema aone.

Alishaambiwa asibipu, apige kama yeye ni mwanaume aone kitakachomkuta.

Chadema sio kama ccm, mnamsema na kumkemea sitta, huku mnampa uwaziri na kumuita jembe la kupambana na ufisadi.
 
Huyu kakusoma ilani na katiba ya CDM kama 6 na kuona kuwa kwenda kubomoa chama kwa gia ya haki ya kugombea hainafanyi kazi?Kwani sifa za kugombea zinahitaji muda mrefu ndani ya chama.Sasa anajibaraguza na ili pate pa kutokea aende akute CCM ya kumlip ahaipo tena.
 
Please CHADEMA,remove this man from your party,he is of no help.I think this man was planted so as to bring confusion in the party,but unfortunately he has come to understand that,the job he was given is bigger than what he could chew!.
Hawana jeuri hiyo.
 
Please CHADEMA,remove this man from your party,he is of no help.I think this man was planted so as to bring confusion in the party,but unfortunately he has come to understand that,the job he was given is bigger than what he could chew!.

Shibuda alisema jimboni kwake alipata ubunge si kwa sababu ya CHADEMA bali alipendwa na watu wake. Chadema hawana ubavu wa kumuondoa na mwaka 2015 anagombea kwa kiti cha CCM upo hapo?
 
Uongozi ni kuchukuwa hatua na si kubwabwaja,huyo ni mropokaji asiyeushirikisha ubongo wake.

Achukue hatua aanze mbele arudi alikotoka.Anataka kurudi huko lakini kwa kutumia mbinu na mgongo ule ule alioutumia kuondoka huko alikotoka,yani majungu,unafiki,umimi,kupenda madaraka na kuwabwabwaja.

Mfa maji haachi kutapatapa,chadema wamwache ajizamie zake maana wakijidai kumgusa watazama naye.Yuko kimaslahi binafsi kama huko alikotokea,yani its about him na si vinginevyo.

Hayo aliyoyasema siyo wimbo mpya,lingekuwa jipya ambalo ameingia kwenye chama akaligunduwa,then ingemake sense,sasa kuitumia chorus ile ile iliyotumika kabla hajafika kwenye chama,utaona hana jipya na ameishiwa nyimbo, bali anataka kuride kwenye umaarufu wa chadema ili ajijenge yeye binafsi,hakuna lolote la mwananchi hapo.

Cha kushangaza,neno wananchi analitumia wakati wa kuomba kura tu,lakimi mwulize kawafanyia nini hao waliomchaguwa,nothing!

Tanzania inaangamia kwa wananchi wake kukosa maarifa ya kutambuwa nani ni kiongozi wa kweli na nani mbwakoko wa kisiasa.
 
Naona kama shibuda ameongea mambo mazuri tupu hapo. Vyama vingi vya siasa vina matatizo makubwa vikiwemo ccm na cdm. Ninapendekeza tumuelewe hata kama hatumpendi yeye binafsi kwani katika maisha, hakuna jambo la kijinga kwa asilimia 100.

mkuu tatizo wabongo hatupendi kuambiwa ukweli, tunapenda kusiwa tu.
 
Shibuda karusha jiwe kizani atakaye piga kelele jua limempata
 
Sijaona kibaya alichosema Shibuda. Tumegubikwa na tabia mbaya ya hisia zetu kwa aliyesema maneno badala ya kuyaangalia maneno yaliyosemwa.
 
Shibuda ni bingwa wa kuchekesha, he is a great comedian not a politician
 
Shibuda ni Ndumilakuwili hata hayo ya moyoni yamekaa kindumilakuwili ndumilakuwili

tatizo lenu hampendi kuambiwa ukweli,kwa maana hiyo hiyo,shibuda huwapiga ngumi za machoni mchana kweupe
 
kwa mtu mwenye akili hawezi kumtukana shibuda mana huongea kwa akili kubwa sana,huw hamtaji mtu,maneno yake yamejaa busara na utani,usipokuwa makini kama una jazba lazima ulie.
 
naona hili neno "kufunguka" linatumika vibaya kiasi kwamba litachuja haraka kama neno "i love you"
 
Back
Top Bottom