Elections 2010 Shibuda ahamia CHADEMA

Ni makosa kuchagua mbunge kwa misingi ya chama achaguliwe kwa uwezo wake hata kama ni mgombea binafsi.

Until tutakapokuwa na sheria ya kuruhusu mgombea binafsi, kumchagua mgombea kwa uwezo wake binafsi tu, bila kujali falsafa za chama chake ni kutafuta matatizo. Vipi kama mgombea anaamini ubepari na chama kinaamini usoshalisti na somehow ameweza kupata ugombea kwa style hii ya "kutemwa na CCM na kwenda CHADEMA" ? Huoni kwamba hapa kumchagua huyu kutakuwa ni kupika majungu tu ? Kesho mgombea ataingia mjengoni na kutoa siasa zake kichwani ambazo zinapingana na manifesto ya chama, migogoro itakuwa haiiishi.

Haya ndiyo matatizo ya nchi changa ninayoyaongelea kila siku, watu hatuna institutions tunaenda na personalities tu. Kama ni hivyo tuondoe na katiba kabisa, tuondoe vyama, turudi kwenye uchifu tu, siku Kikwete akiwa bored akijisikia kuchinja wapinzani awachinje tu.

Si tunafuata uwezo wa mtu bwana? Hamna rule of law, hamna institutions, hamna procedures, kila kitu kitokane na mtu tu.

Sikatai kwamba kuna umuhimu wa kuwa na wagombea binafsi, ili watu kama mimi ambao hatuna chama na hatuoni chama cha kuunga mkono tuweze kushiriki katika kuchaguliwa. Lakini hili halina maana kwamba kama hatuna mgombea binafsi, mtu yeyote wa mrengo wowote anaweza kuingia chama chochote cha mrengo wowote, akapiga gabfest, akakubalika. This is a recipe for disaster.

Mgombea akishakubali kuwa nominated na chama fulani, ana wajibu wa kutekeleza manifesto ya chama. Sasa ni lazima kuwe na ndoa kati ya mawazo ya mgombea na manifesto ya chama.

Huwezi kusema umchague mufti wa Baghdad aende kuwa Askofu wa wakatoliki wa Roma, eti kwa sababu tu mufti huyu ana uwezo wa kuongoza watu. Utakuwa huna akili, utakuwa unataka kusababisha mgogoro mkubwa kabisa wa utendaji.

Kwa hiyo hii habari hii, hii habari ya kumchagua mtu kwa uwezo wake inaweza ku make sense kama tu tuna sheria ya kuruhusu wagombea binafsi, kwa sasa hivi kwa sababu hatuna sheria hii, labda kama tunataka kuchagua watu kwa uwezo wao tu tufikirie zaidi kuileta hii sheria ya kuruhusu private candidates, maana si haki kuwadhulumu watu kama mie nisiye na chama haki hii ya msingi.

Lakini usiseme tuwachague wagombea wa vyama kwa maoni yao tu, bila kujali miongozo na manifesto za vyama vyao. Hii itakuwa kituko kikubwa sana.
 
CHEDEMA Msiwakubali-hawana maana ktk jamii,ni wanafiki-kwa nini wasihame mapema? Ila ninachoju CHEDEMA HAWADANGANYIKI
 
Mwanafalsafa kiroho kinamuuma kwa sababu yeye ni mwanachama wa chama cha mafisadi
 
Watu wana haki na wajibu wa kupigania haki popote pale walipo. Kuna kuokoka na kuzaliwa upya. Wanakaribishwa kwenye mapambano kupitia CHADEMA. Wasijikie huru, wala hawana haja ya kujiona wageni. Kanyaga twende, mpaka kieleweke.
 
Watu wana haki na wajibu wa kupigania haki popote pale walipo. Kuna kuokoka na kuzaliwa upya. Wanakaribishwa kwenye mapambano kupitia CHADEMA. Wasijikie huru, wala hawana haja ya kujiona wageni. Kanyaga twende, mpaka kieleweke.

Mwl Kitila,

Inabidi sasa na wewe ujiandae kugombea bana ... kwa tiketi ya CHADEMA of course
 
Mbona Slaa aligeuka na akashinda.

Well said Luteni. Tena aligeuka baada ya CC kukata jina lake. Leo ni hero wetu!
Kuna sehemu kama Wilaya za Muheza/ Mwanga/ Same huko viongozi wa Chadema laah! yaani hata mwenyewe anaona aibu kugombea, sasa kama yupo ''shibuda'' atakayepeperusha bendera kuna tatizo gani. Lengo kuwe na wapinzani wengi bungeni kwanza.
Mi nasema Selelii, Aloyce, Shibuda wakihamia Chadema poa tu ,vumbi lao tunalijua jamani! mnyonge mnyongeni haki...............
 
Watu wana haki na wajibu wa kupigania haki popote pale walipo. Kuna kuokoka na kuzaliwa upya. Wanakaribishwa kwenye mapambano kupitia CHADEMA. Wasijikie huru, wala hawana haja ya kujiona wageni. Kanyaga twende, mpaka kieleweke.

Una busara sana wewe Kitila. Sijui lini tu utagombea uraisi...ila kabla ya kutangaza nia itabidi usawazishe lile soo lako la UK....lol

Otherwise, maneno yako ni ya hekima sana. Heko....
 
Kiranga,
Nakubaliana na wewe 100% hasa kwa Shibuda huyu CHADEMA wasimpe nafasi ya kugombea ubunge labda kama anataka kuwa mwanachama wa kawaida maana hiyo ni haki yake. Wanasiasa kama hawa hawafai kabisa, si mnakumbuka alivyokula matapishi yake kuhusu kugombea urais. Angekuwa ni mtu mwingine nisingekuwa na tatizo maana hata Slaa CHADEMA walimpata kwa mtindo huu. Lakini Slaa ni mtu mwenye staha na msimamo unaoeleweka, lakini huyu hapana, abakie huku kwetu tucheze naye na asipoangalia hata uanachama tutamnyofoa maana kasema CCM bila rushwa haiwezekani maana yake hata mwenyekiti wetu ni corrupt..................????????????????? Hana adabu huyu
 
Two words for you; Joe Lieberman

Kwa bongo haya mambo ya falsafa bado sana. Unaweza kuniambia vyama vya siasa Tanzania ni vya mrengo gani?

Mfano mbovu huu.

Nyani,

Unaleta uchaguzi wa Marekani ulio tofauti na wetu katika mazungumzo ya uchaguzi wa Tanzania? Marekani wanaruhusu "Independent Candidates" sisi haturuhusu, big difference.

Lieberman alibadili vyama au ali run kama Independent ?

Kama bongo mambo ya falsafa bado ndiyo tuanze sasa, if not now, then when?

Mimi nachojua CHADEMA ni mrengo wa kulia na CCM at least in theory is a populist leftist party.

CHADEMA kukubali kumpa ugombea ubunge every CCM reject sounds very desperate to me. Ni kama vile wameshindwa kupata wagombea wazuri ndani ya chama chao na hawajali kama mtu ni CHADEMA by principle au siyo, as long as ana a remote shot at winning mpeni ugombea ubunge tu.

Ni kama jeshi linaloshindwa kupata recruits, sasa linachukua drug addict yoyote atakayekubali kushika mtutu, bila kujua kwamba huyu drug addict anaweza kukubali principles za jeshi au vipi.

Sisemi CHADEMA isiwakubali watu wanaotoka CCM, lakini kuwapa a shot at ubunge in a flash like that? Ndiyo maana migogoro katika vyama vyetu haiishi, kwa sababu hata mie kama Shibuda naenda kuchukua uanachama wa CHADEMA leo, kesho nashinda ubunge ntaanza kujiona nimeshinda kama Shibuda, na wala si kama Shibuda wa CHADEMA. Hapo zinaweza kuanza nyodo na beef za u prima donna, ni kama show business na ma star, uwakilishi wa wananchi wetu unakuwa pimped kwa nani ana the best name recognition regardless of principles..

CHADEMA wakimkubali nitawaona wako desperate, na CCM itakuwa na haki kuwasema kwamba hawana jipya ila makombo ya CCM tu.

Hata wakatoliki kabla ya kukukubali wanakupa katekisimu yao uisome na kuielewa, siyo unaingia ukatoliki, hata katekisimu hujaijua, hata imani juazielewa, unapewa uaskofu.

Utakuwa askofu fraud.
 
Kiranga,
Nakubaliana na wewe 100% hasa kwa Shibuda huyu CHADEMA wasimpe nafasi ya kugombea ubunge labda kama anataka kuwa mwanachama wa kawaida maana hiyo ni haki yake. Wanasiasa kama hawa hawafai kabisa, si mnakumbuka alivyokula matapishi yake kuhusu kugombea urais. Angekuwa ni mtu mwingine nisingekuwa na tatizo maana hata Slaa CHADEMA walimpata kwa mtindo huu. Lakini Slaa ni mtu mwenye staha na msimamo unaoeleweka, lakini huyu hapana, abakie huku kwetu tucheze naye na asipoangalia hata uanachama tutamnyofoa maana kasema CCM bila rushwa haiwezekani maana yake hata mwenyekiti wetu ni corrupt..................????????????????? Hana adabu huyu

Rangi ya kijani utawatambua tu!
 
Until tutakapokuwa na sheria ya kuruhusu mgombea binafsi, kumchagua mgombea kwa uwezo wake binafsi tu, bila kujali falsafa za chama chake ni kutafuta matatizo. Vipi kama mgombea anaamini ubepari na chama kinaamini usoshalisti na somehow ameweza kupata ugombea kwa style hii ya "kutemwa na CCM na kwenda CHADEMA" ? Huoni kwamba hapa kumchagua huyu kutakuwa ni kupika majungu tu ? Kesho mgombea ataingia mjengoni na kutoa siasa zake kichwani ambazo zinapingana na manifesto ya chama, migogoro itakuwa haiiishi.

Haya ndiyo matatizo ya nchi changa ninayoyaongelea kila siku, watu hatuna institutions tunaenda na personalities tu. Kama ni hivyo tuondoe na katiba kabisa, tuondoe vyama, turudi kwenye uchifu tu, siku Kikwete akiwa bored akijisikia kuchinja wapinzani awachinje tu.

Si tunafuata uwezo wa mtu bwana? Hamna rule of law, hamna institutions, hamna procedures, kila kitu kitokane na mtu tu.

Sikatai kwamba kuna umuhimu wa kuwa na wagombea binafsi, ili watu kama mimi ambao hatuna chama na hatuoni chama cha kuunga mkono tuweze kushiriki katika kuchaguliwa. Lakini hili halina maana kwamba kama hatuna mgombea binafsi, mtu yeyote wa mrengo wowote anaweza kuingia chama chochote cha mrengo wowote, akapiga gabfest, akakubalika. This is a recipe for disaster.

Mgombea akishakubali kuwa nominated na chama fulani, ana wajibu wa kutekeleza manifesto ya chama. Sasa ni lazima kuwe na ndoa kati ya mawazo ya mgombea na manifesto ya chama.

Huwezi kusema umchague mufti wa Baghdad aende kuwa Askofu wa wakatoliki wa Roma, eti kwa sababu tu mufti huyu ana uwezo wa kuongoza watu. Utakuwa huna akili, utakuwa unataka kusababisha mgogoro mkubwa kabisa wa utendaji.

Kwa hiyo hii habari hii, hii habari ya kumchagua mtu kwa uwezo wake inaweza ku make sense kama tu tuna sheria ya kuruhusu wagombea binafsi, kwa sasa hivi kwa sababu hatuna sheria hii, labda kama tunataka kuchagua watu kwa uwezo wao tu tufikirie zaidi kuileta hii sheria ya kuruhusu private candidates, maana si haki kuwadhulumu watu kama mie nisiye na chama haki hii ya msingi.

Lakini usiseme tuwachague wagombea wa vyama kwa maoni yao tu, bila kujali miongozo na manifesto za vyama vyao. Hii itakuwa kituko kikubwa sana.

Kwani Slaa alipohama CCM aligombea kama mgombea binafsi.
 
Nyani,

Unaleta uchaguzi wa Marekani ulio tofauti na wetu katika mazungumzo ya uchaguzi wa Tanzania? Marekani wanaruhusu "Independent Candidates" sisi haturuhusu, big difference.

Lieberman alibadili vyama au ali run kama Independent ?

Kwani hakuna waliobadili kutoka Republican na vice versa na wakashinda chaguzi?
 
Nyani,

Unaleta uchaguzi wa Marekani ulio tofauti na wetu katika mazungumzo ya uchaguzi wa Tanzania? Marekani wanaruhusu "Independent Candidates" sisi haturuhusu, big difference.

Lieberman alibadili vyama au ali run kama Independent ?

Kama bongo mambo ya falsafa bado ndiyo tuanze sasa, if not now, then when?

Mimi nachojua CHADEMA ni mrengo wa kulia na CCM at least in theory is a populist leftist party.

Kiranga,

Hata marekani, democrats kibao walibadili vyama na kuwa republicans (from south) baada ya L Johnson kupass civil rights na sheria kibao ambazo maliberal walikuwa wanazipenda.

Kuhama vyama au kubadili mrengo imetokea na inaendelea kutokea hata marekani.

Majuzi tu yule seneta wa PA (nimemsahau jina) alibadili chama na alikuwa na nafasi nzuri tu ya kushinda ila uzee (na upuuzi wake ukamwangusha).
 
Watu wana haki na wajibu wa kupigania haki popote pale walipo. Kuna kuokoka na kuzaliwa upya. Wanakaribishwa kwenye mapambano kupitia CHADEMA. Wasijikie huru, wala hawana haja ya kujiona wageni. Kanyaga twende, mpaka kieleweke.

Dr. Kitila, Na wewe ulitakiwa uchukue Jimbo mojawapo.... !!
 
Rangi ya kijani utawatambua tu!

ha ha ha

Nakuambia wamejazana hapa hadi basi. Kinachochekesha ni jinsi ambavyo wameshikwa na vijiba kwa kilichotokea (na kinachoendelea kutokea).

Anayetia huruma zaidi ni mwanafalsafa ambaye anataka kula kote kote (kwa wanamageuzi na mafisadi).
 
Two words for you; Joe Lieberman

Kwa bongo haya mambo ya falsafa bado sana. Unaweza kuniambia vyama vya siasa Tanzania ni vya mrengo gani?

Mfano mbovu huu.

1. Be serious mkuu. You can not honestly use Joe Lieberman as an example. Kwanza kwa Marekani if you know anything about political science (which I'm sure you do) utajua kwama Marekani wana what is called 'weak party system". Meaning kwamba hamna mfugamano wa kichama. Hata kadi za uanachama hazi exist. Pili Joe Lieberman baaada ya kushindwa primaries za Democrats aka gombea kama independent na haku hama chama. Hadi sasa mara nyingi huwa ana vote on the side of the Democrats. So utamlinganishaje Lierberman na SHibuda? Mfano mbovu huu.

2. You are confusing philosophy and political ideology. Una taka nikuambie kama vyama vya Tanzania ni left or right wakati unajua fika kwamba left, right, conservative & liberal ni a western phenomenon na haiz exist everywhere in the world. Again usi jaribu kucompare kila kitu cha Marekani na huku. ZIngatia we have different political systems na ndiyo maana ukatoa mfano wa Lieberman bila kufikiria kwamba he ran as an independent na Tanzania hakuna wagombea binafsi.
 
Kiranga,

Hata marekani, democrats kibao walibadili vyama na kuwa republicans (from south) baada ya L Johnson kupass civil rights na sheria kibao ambazo maliberal walikuwa wanazipenda.

Kuhama vyama au kubadili mrengo imetokea na inaendelea kutokea hata marekani.

Majuzi tu yule seneta wa PA (nimemsahau jina) alibadili chama na alikuwa na nafasi nzuri tu ya kushinda ila uzee (na upuuzi wake ukamwangusha).

Wala tusiende Marekani. Ni mbali mno huko. Mrema mbona alikuwa CCM na akabadili vyama, akagombea uraisi akashindwa, akagombea ubunge kupitia NCCR-Mageuzi akashinda. Au nimekosea?
 
Una busara sana wewe Kitila. Sijui lini tu utagombea uraisi...ila kabla ya kutangaza nia itabidi usawazishe lile soo lako la UK....lol

Otherwise, maneno yako ni ya hekima sana. Heko....

Ha ha ha,

NN bana, hiyo case naona umeishikia bango... lol
Naona inabidi hata case ya Dr Masau (siko shua na jina) irudi hapa maana Kuhani yupo hapa kwa jina lingine.
 
Kwani hakuna waliobadili kutoka Republican na vice versa na wakashinda chaguzi?

Ture that possibly wapo. Ila unaweza uka taja wagombea unao wajua ambao walishindwa primaries za chama kimoja wakaenda kugombea kwenye primaries za vyama vingine. Tatizo si kuhama chama it happens. Ila what raises questions ni mtu kushindwa chama fulani na straight kwenda kugombea chama kingine.
 

1. Be serious mkuu. You can not honestly use Joe Lieberman as an example. Kwanza kwa Marekani if you know anything about political science (which I'm sure you do) utajua kwama Marekani wana what is called 'weak party system". Meaning kwamba hamna mfugamano wa kichama. Hata kadi za uanachama hazi exist. Pili Joe Lieberman baaada ya kushindwa primaries za Democrats aka gombea kama independent na haku hama chama. Hadi sasa mara nyingi huwa ana vote on the side of the Democrats. So utamlinganishaje Lierberman na SHibuda? Mfano mbovu huu.

2. You are confusing philosophy and political ideology. Una taka nikuambie kama vyama vya Tanzania ni left or right wakati unajua fika kwamba left, right, conservative & liberal ni a western phenomenon na haiz exist everywhere in the world. Again usi jaribu kucompare kila kitu cha Marekani na huku. ZIngatia we have different political systems na ndiyo maana ukatoa mfano wa Lieberman bila kufikiria kwamba he ran as an independent na Tanzania hakuna wagombea binafsi.

Wee ndiye unajichanganya... marekani watu walibadili vyote hivyo (ideology na philosophy).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom