Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,231
- 113,608
Kwa hiyo hata kama CCM ina strategy ya kupandikiza majasusi wake ndani ya CHADEMA waletwe tu, hamna kuwachunguza wala nini?
Kuchunguza muhimu lakini sijui hata utaanzaje kufanya huo uchunguzi na kubaini kuwa ni mapandikizi....