Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,138
- 10,539
Siku mbili nyuma nimeshuhudia tukio ambalo serikali imelikalia kimya ila lingeweza kuleta madhara makubwa sana kwa Jamii.
kondoo zaidi ya mia 4 zimechinjwa bila kufuata taratibu za kiafya na kisha kugawiwa kwa raia!
Je, hii mifugo ilikuwa salama kiafya haikua na magonjwa yoyote?
serikali ilituma wawakilishi wake kusimamia usalama katika machinjio yale yasiyokuwa rasmi?
kondoo zaidi ya mia 4 zimechinjwa bila kufuata taratibu za kiafya na kisha kugawiwa kwa raia!
Je, hii mifugo ilikuwa salama kiafya haikua na magonjwa yoyote?
serikali ilituma wawakilishi wake kusimamia usalama katika machinjio yale yasiyokuwa rasmi?