Watumishi wa Drs la 7 walioondolewa kwenye utumishi wa umma mwaka 2017 halafu mwaka 2020 wakapewa barua rasmi za kusitisha ajira na kulipwa kiinua mgongo, likizo na nauli.
Swali je, kati ya mwaka 2017 - 2020 Yani miaka mitatu kipindi "wanasota" kusubiri hatma yao kuna stahiki yoyote kisheria wanastahili kulipwa?