MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
MK mimi nadhan suala la kuwa na sababu ndio muachane ni la msingi sana kwa sababu katika hali ya ubinadamu, ugreed wetu na mahusiano ya sasa ni wazi hiyo no faulty divorce itachochea talaka bila mpango na kuongeza mateso kwa watoto! Fikiria mtu kachopoka katest nyumba ndogo kanogewa anatamani kuchukua jumla na ndoa haimruhusu,... Si ataendafile tu divorce na kudhulumu mwenzie haki ya kupenda?