Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,433
- 11,747
Mkuu kwani lazima uwe na hatu ya usuruhisho ndo ukubariwe kufungua shauri mahakamani? Ikiwa mwenza wako hakutaka usuruhisho katoroka na hataki kusuruhishwa inakuwaje ? Mahakama inaweza kupokea ombi la taraka?
Ikitokea hali hiyo hapo ndiyo huwa na urahisi wa mahakama kutoa talaka!
Ikithibitika amekutelekeza yani shukuru Mungu maana hapo kupata talaka ni rahisi sana kuliko vinginevyo!
Sent using Jamii Forums mobile app