Sheria ya Ndoa: Maswali na majibu mbalimbali

Sheria ya ndoa ya mwaka 77 hailitambui deni kama Mali,
Sheria imejikita zaidi kwenye Asset na liability!
Madeni ni kama ni Jina la mtu hayarithiwi, wala kugawanyika, ukiondoka ondoka na madeni yako
Nafikiri hili jambo ni muhimu likaenda mahakamni ili kuset precident...sheria huwa inazaliwa inakuwa na inakufa...so nenda mahakaman katoe hoja thibitisha kwamba pesa hizo ndizo zilizoleta hyo assent, lazma kutakuwa na consideration.
 
Sheria ya ndoa ya mwaka 77 hailitambui deni kama Mali,
Sheria imejikita zaidi kwenye Asset na liability!
Madeni ni kama ni Jina la mtu hayarithiwi, wala kugawanyika, ukiondoka ondoka na madeni yako
Kama sheria iko hivi na kama familia ina deni ambalo limepatikana kwa sababu ya kuhudumia familia wakati wa ndoa basi kuna umuhimu wa kuuza mali kabla ya kupeana talaka ili kulipia deni. KInachobaki ndiyi kigawanywe.
 
Sheria ya ndoa ya mwaka 77 hailitambui deni kama Mali,
Sheria imejikita zaidi kwenye Asset na liability!
Madeni ni kama ni Jina la mtu hayarithiwi, wala kugawanyika, ukiondoka ondoka na madeni yako
Mkuu naona umeelezea kile ambacho sheria yetu ya ndoa haijasema.

Ni hivi kupitia kifungu cha 114(2) cha Sheria ya ndoa sura ya 29, mahakama zimepewa mamlaka ya kugawanya mali za wanandoa baada ya ndoa kuvunjwa na mahakama.

Kwa mujibu wa kifungu hicho, mahakama inapogawa mali za wanandoa ambao ndoa yao imevunjwa lazima izingatie mambo yafuatayo;
1. Tamaduni za mahali ambako wahusika wanaishi.
2. Kiwango cha kila mmoja alivyochangia ktk upatikanaji wa mali hizo za ndoa.
3. DENI lolote ambalo liliingiwa wakati ndoa ipo na kwa manufaa ya wanandoa wote
4. Mahitaji ya watoto(kama wapo)


So kwenye situation ya mleta uzi, kwa vile swala liko mahakamani basi ahakikishe zamu yake kutoa ushahidi ikifika awasilishe ushahidi wa deni hilo ambalo liliingiwa kwa lengo la kupata mali za familia. Kama kuna nyaraka za kuthibitisha hilo deni, eg mkopo benki basi awasilishe.

Ktk utoaji wa hukumu, mahakama lazima itazingatia namna ambavyo hizo mali zilipatikana...na haki itatendeka kwa wote.
 
Mkuu naona umeelezea kile ambacho sheria yetu ya ndoa haijasema.

Ni hivi kupitia kifungu cha 114(2) cha Sheria ya ndoa sura ya 29, mahakama zimepewa mamlaka ya kugawanya mali za wanandoa baada ya ndoa kuvunjwa na mahakama.

Kwa mujibu wa kifungu hicho, mahakama inapogawa mali za wanandoa ambao ndoa yao imevunjwa lazima izingatie mambo yafuatayo;
1. Tamaduni za mahali ambako wahusika wanaishi.
2. Kiwango cha kila mmoja alivyochangia ktk upatikanaji wa mali hizo za ndoa.
3. DENI lolote ambalo liliingiwa wakati ndoa ipo na kwa manufaa ya wanandoa wote
4. Mahitaji ya watoto(kama wapo)


So kwenye situation ya mleta uzi, kwa vile swala liko mahakamani basi ahakikishe zamu yake kutoa ushahidi ikifika awasilishe ushahidi wa deni hilo ambalo liliingiwa kwa lengo la kupata mali za familia. Kama kuna nyaraka za kuthibitisha hilo deni, eg mkopo benki basi awasilishe.

Ktk utoaji wa hukumu, mahakama lazima itazingatia namna ambavyo hizo mali zilipatikana...na haki itatendeka kwa wote.
Samahani iyo namba 2 unadhibitishaje mchango wa mwenza kama alikuwa mama wa nyumbani tu
 
that he has to go to the marriage reconciliation board, at that stage if it is a catholic marriage he has to prove that there was no consent when he contracted that marriage and that is the only reason to breach a catholic marriage, the priest (catholic priest) argues that consent is the only thing that validated the marriage so if he will prove contrary then he will be awarded
Authority!!
 
Nimeona sana huku watu wameandika "Baraza la kata" sijaelewa kabisa limehusikaje Sheria ya ndoa imetaja Marriage conciliatory board na kwa uelewa wangu zipo ustawi wa jamii, makanisani kwa wakristu na bakwata kwa waislamu. Anyway ngoja niendelee. Hakuna ndoa ambayo haivunjiki; narudia "HAKUNA" nitachambua kwa muktadha ufuatao

CHRISTIANITY
"alichounganisha Mungu mwanadamu asitenganishe" ndio lakini Mungu anapenda usafi/utakatifu hivyo basi ndoa yaweza kuvunjwa endapo yoyote Kati ya haya likitokea,
uhusiano wa kindugu mf. baada ya kuona ikagundulika nyie ni ndugu au mna uhusiano wa damu basi hiyo ndoa ni batili naitavunjwa. Mwenzako akibadilisha dini na mwisho uasherati.

MUSLIM
"talaka ni mojawapo ya halali zinazo mchukiza Allah"
hivyo basi talaka ni halali kw mujibu wa waislam

KIMILA
hili pia halina utata ndoa zinavunjwa tu

BOMANI/KISERIKALI
ndio ndo zinavunjwa

TARATIBU za KUFATA
ili ndo ivunjwe kisheria yafuatayo ni muhimu:

1. Muwe mmeishi pamoja kwa muda usiopungia Miaka miwili (though kuna exception)
2. Cruelity/unyanyasaji/mateso
yawezakuwa physical or mental mf. kipigo, kunyimwa chakula na tendo la ndoa au kulawitiwa
3. Adultry/ uzinzi
4. Desertion/kutelekezwa

Iwapo yote au mojawapo Kati ya hayo hapo juu yamejitokeza basi mhusika atapitia Hizo Marriage Board nimezitaja hapo juu, Nashuri Kama ni Mkristo usipitie kanisani ni kupoteza muda nenda ustawi moja kwa moja onyesha kwamba hamuwezi kuishi Tena pamoja kivyovyote vile utapata Certificate ambayo utaitumia kufungua shauri mahakamani.

NB: Baada ya talaka kutoka ni mgawanyo wa Mali

"Ndoa na iheshimiwe na watu wote"
 
Samahani iyo namba 2 unadhibitishaje mchango wa mwenza kama alikuwa mama wa nyumbani tu
Kama ni mama wa nyumbani tu bado mchango wake upo ktk upatikanaji wa mali zilizopatikana wakati wa ndoa.

Je anachangiaje? Kwa kufanya shughuli za nyumbani kama mke. Yaani zile za kupika, kusafisha nyumba, n.k zinatosha kabisa kumpa mke haki ya kugawiwa sehemu ya mali za ndoa.
 
Anapata stahili zake sawa kabisa na mumewe....alikaa nyumbani kutekeleza majukumu ya kulea familia akimuacha mumewe aende kazini atekeleze majukumu ya kuleta ugali na mahitaji mengine ya familia.
Hivyo anastahili 50% ya mali zote zilizopatilana wakati wakiwa pamoja.
 
Kuna kawaida watu wakitengana wanagawana mali walizochuma pamoja.
Sasa ikiwa mali zilikopwa na bado mtu anadaiwa ,je na deni pia ligawanywe?

NB:swala limefika mahakamani.
Mkopo na yeye utamhusu, kibachofanyika wanacheki katika assets mlizonazo kama zinaweza kulipa mkopo, zitatumikabthen kinachobakia mnagawana!!
 
Kuna kawaida watu wakitengana wanagawana mali walizochuma pamoja.
Sasa ikiwa mali zilikopwa na bado mtu anadaiwa ,je na deni pia ligawanywe?

NB:swala limefika mahakamani.
Wasilisha vielelezo vya hilo deni, vitakuokoa sana kwenye mgawanyo.
Nb:-tupo jahazi moja.
 
Hapa ndipo utajua ukristo ni dini ya ujanja ujanja tu si dini ya Mungu.

Haiwezekani suala la kidini lisuluhishwe na mambo ya kimahakama ambayo hayafuati misingi ya kidini.
Ndoa zote huthibitishwa na Mamlaka za Nchi na si dini tuu.
Iwe ya Imani, Jadi au vyovyote itatambuliwa na serikali. Hivyo wakati wa kutalikiana mamlaka za Serikali zitahusishwa.

So kuwa mstaarabu na Imani Za watu.
 
My experience

Mm niliamua tu kutembea na yesu nkamuachia nyumba na watoto ila nkaondoka na document zote

Mpaka Leo hii ni 2years kila MTU anaishi maisha yake na mm nineowa na Nina mtoto mmoja kwa mke mwingine na Nina tarajia kufunga ndoa nyingine bomani
 
Nashukuru Daisy,kaka ameondoka nyumbani kwake huu ni mwezi wa 3 sasa,ameamua aishi mwenyewe. Walifikia pabaya coz alishamjeruhi kaka mara kadhaa,alishamuwekea sumu kwenye chakula na sasa anampigia simu kumtishia kuwa atamfanyia kitu mbaya kama hatarudi nyumbani kuishi na yeye(mwanamke). Ngoja nimwambie aurudishe mchakato baraza la usuluhishi kata.
Atafute kwanza ushaidi waa kueleweka. Hayo ni mapenzi na hata hao wanaotatua wanapitia katika mapenzi hayo hayo,
Kwa hiyo ni vizuri awe na ushaidi wa kutosha, si maneno tu ikiwezekana hata kumrekodi!

Inaweza kumsaidia kidogo maana kuvunja ndoa za kanisa si mchezo na si swala la haraka haraka na ndiyo mana mabinti wengi wakishafunga za kanisani wanabadilika sana pamoja si wote ila wengi wanazingua sana katika ndoa tunakufa na tai shingoni tu!
 
Back
Top Bottom