Beginning
JF-Expert Member
- Aug 21, 2023
- 879
- 2,361
Majesh yanayojielewa yanaondoa mafisadi wao wanapambana na nguo za mitumbaHakuna. Wanafikiri kuvuta bangi na kujichetua na magwanda ndiyo uanajeshi kumbe ni ushamba tu
Majesh yanayojielewa yanaondoa mafisadi wao wanapambana na nguo za mitumbaHakuna. Wanafikiri kuvuta bangi na kujichetua na magwanda ndiyo uanajeshi kumbe ni ushamba tu
Ndugu, sipingi maoni yako kwamba ni Mambo ya kizamani.Kama unaona ni Mambo yaliopitwa na wakati,hakuna aliyekukataza kuvaa.Jeshi halijakurupuka kutangaza jambo hili.Imefika wakati wa kutoufautisha matamko ya kisiasa na ya kijeshi.Nawashauri wanaoona kwamba haya ni Mambo ya kizamani WAVAE Weekend njemaNimemsikiliza askari aliyekuwa akihojiwa na CloudsTV anasema sheria ya mavazi ya jeshi unasema;-
"Ni marufuku raia kuvaa sare za jeshi ama mavazi yanayofanana na sare za jeshi". Ili iweje?
Yaani ktk zama hizi za sayansi na teknolojia bado jeshi letu linataka kujitofautisha na raia kwa mavazi? Mwanajeshi ajitofautishe kwa umahiri wa kung'amua na kuzima nia na jaribio la adui kutaka kuivamia nchi yetu. Baasi! Siyo hizi blah blah za kuwalingishia raia gwanda za jeshi.
Kule nchi za watu mpk walevi na mateja wanavaa mavazi yanayofanana na sare za majeshi ya nchi zao. Mbona hatujasikia wakipata shida ya kiusalama?
Tuachane na ushamba huu. Nakumbuka hata bendera ya taifa kabla ya Kikwete kuwa rais ilikuwa ni marufuku kukutwa hata na leso inayofanana na bendera yetu ya taifa. Mhe. Kikwete akaondoa ushamba huu.
Ni wakati wa kuondoa ushamba wa kuzuia raia mavazi yanayofanana na sare za kijeshi sasa.
Mbona CCM huvaa magwanda ya kijani wakati JWTZ nao Wana rangi hizo hizo?Sijasema wapige raia ila naona sio sawa raia kuvaa sare zinazofanana na majeshi.
Nimeshona mpk sofa za mabakamabaka sasa kwa taarifa yako.Mtu aliyevaa nguo zinazofanana na za jeshi huwa anavimba kuliko mjeda.
Wanaopenda kuvaa sare wakanunue za simba na yanga zinafaa kuvimba pia.
Umeshafanya utafiti ukajua tatizo ni kiasi gani au unatumia hisia tu na mawazo binafsi?Hivi imagine Kila kitu kinafanana kasoro nembo huoni Kwa tz inaweza kutumika kutapeli au kuonea watu...huko vijijini raia wanajua kweli mambo ya nembo?
Atavaa lakini asitibu.Vipi mtu akivaa mavazi ya madaktari.
Yaani mnalifanya kama vile nitatizo la kitaifa wakati ktk Watu 60 unaweza kukuta wenye nazo hawazidi hata 500Mtu aliyevaa nguo zinazofanana na za jeshi huwa anavimba kuliko mjeda.
Wanaopenda kuvaa sare wakanunue za simba na yanga zinafaa kuvimba pia.
Hata akivaa nguo hizo atashitakiwa tu endapo atakuwa anatibu bila utalaam.Hata mavazi ya madaktari yana nembo. Siyo kila koti jeupe ni la daktari. Mpk liwe na nembo ya afya
Nguo zimejaa huko madukani za kila sample, kila rangi na kabila wewe ulilie kuvaa nguo ya jeshi.... Una lako jambo sio bure
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Ngoja nitafte shuka la kijeshi nitandike muda wa mizagamuano
Kijeshi jeshi zaidi
Kwani mtu akivaa nguo ya jeshi anapigana?Atavaa lakini asitibu.
Mbona wasanii na Wauza bucha wanavaa
Kaa kimya kama hujui.Hakuna anayekomalia. Tunachosema hakuna uhalali Wala sababu ya jeshi kuacha majukumu yake ya msingi na kuanza kugombana na raia eti kisa wamevaa mavazi yanayofanana na sare zao. Ni ujuha.
Mavazi ya jeshi yana nembo. Raia akivaa sare za jeshi (vazi lenye nembo ya jeshi ) hapo akikamatwa Sina nongwa. Lkn akivaa vazi halina nembo ya jeshi, ikn linafanana rangi na kila kitu cha jeshi, hilo siyo mali ya jeshi. Ni ujinga.
Huko wanapokea hadi Mashoga, vp hapa kwetu nao wapokelewe?Eti usajili wakikukuta na Tattoo napo wanasema umedisqualify,ukiuliza tatoo ina shida gani hawana majibu.
Wenzetu huko majeshi yao yana watu wana tatoo za hatari na wanatumikia jeshi safi bila tatzo,ishu ipo huku kwetu
Nadhani haujui madhara ya unachokitetea.Waambiwe ukweli.
SARE sio jeshi.
Jeshi ni mafunzo, teknolojia, akili, saikolojia, falsafa, vifaa, n.k
Ni ushamba wa kijinga sana.
Halafu pia nguo kuwa na mabaka mabaka, haiwi nguo ya jeshi.
Je, wanajeshi wasiovaa sare, wanakuwa raia au wanakoma kuwa wanajeshi?!
Ni ujinga wa kiwango cha karibu na upumbavu.
Sio sare ya jeshi tu bali sare ya taasisi yoyote kama wewe sio mhusika unaivaa ili iweje? Hata sare shule kama wewe sio mwanafunzi kwanini uvae sare ya shule? kwa hali yoyote ile unataka kufanya ualifu ili ujifiche kwenye sare husika.Kama kuvaa sare inakupendeza vaa ya Mgambo basi.Lakini Kwa nini na wewe raia utake mavazi ya jeshi lakini??? SI uchokozi huoo ni kumshika mwanaume matako huko
Wao wenyewe wameshaona,kizazi kimeshaamka.asanteni watanzania, hii inaonyesha watu wameelimika... mkoloni mweusi ajiandae naona watu vichwa vimeanza kupata moto. Walikuwa polis na sasa hata wanajeshi wameanza kuchafua taswira kwa wananchi. Huwezi ukampiga raia et kisa kavaa vazi ambalo hajaliiba ila tu limefanana na lako... hayo mavazi wanavaa kwa sababu ya kodi zetu halafu wanaleta mambo ya hovyo... jeshi umefika muda mbadiri sheria na taaribu zenu muda hauwasubiri oooooh,