Sheria ipi ya soka iliyofutwa ambayo unatamani ingeendelea kutumika?

Trebla84

JF-Expert Member
Sep 6, 2011
510
637
Katika mpira wa miguu ambao uwa unasimamiwa na Sheria mbalimbali ambazo zinazotolewa na FIFA, kuna baadhi ya Sheria zimeondolewa.

Ukiwa kama mpenda soka je Sheria gani unaikumbuka Sana ambayo imeondolewa na unatamani ingetumika tena.

Kwangu mimi uwa naikumbuka Sheria ya Goli la Dhahabu ambayo iliondolewa, nakumbuka katika fainali za Kombe la dunia mwaka 2002, Senegal anamtoa Sweden kwa Goli la dhahabu,,

Je unaikumbuka Sheria ipi ya soka ambayo unatamani iendelee kutumika.
 
Katika mpira wa miguu ambao uwa unasimamiwa na Sheria mbalimbali ambazo zinazotolewa na FIFA, kuna baadhi ya Sheria zimeondolewa.

Ukiwa kama mpenda soka je Sheria gani unaikumbuka Sana ambayo imeondolewa na unatamani ingetumika tena.

Kwangu mimi uwa naikumbuka Sheria ya Goli la Dhahabu ambayo iliondolewa, nakumbuka katika fainali za Kombe la dunia mwaka 2002, Senegal anamtoa Sweden kwa Goli la dhahabu,,

Je unaikumbuka Sheria ipi ya soka ambayo unatamani iendelee kutumika.
Ilo goli la dhahabu ndio lilikuwaje?
 
Goli la dhahabu ni goli lililokuwa linafungwa muda wa nyingeza

Mpira ukiisha dak 90 mmetoshana nguvu zinaongezwa 30 sasa zaman katika hizo 30 za nyingeza ikitokea umefunga goli na mpira unaishia hapohapo
Hilo ndo liliitwa goli la dhahabu
Sheria nadhan ilifutwa 2006
Ahsante mkuu kwa muongozo
 
Offside zifutwe na goal la dhahabu lirudishwe ili haya Makampuni ya kubeti yafilisike na kusiwe na upangaji wa matokeo. Bila kusahau VAR iondolewe kabisa.
 
Katika mpira wa miguu ambao uwa unasimamiwa na Sheria mbalimbali ambazo zinazotolewa na FIFA, kuna baadhi ya Sheria zimeondolewa.

Ukiwa kama mpenda soka je Sheria gani unaikumbuka Sana ambayo imeondolewa na unatamani ingetumika tena.

Kwangu mimi uwa naikumbuka Sheria ya Goli la Dhahabu ambayo iliondolewa, nakumbuka katika fainali za Kombe la dunia mwaka 2002, Senegal anamtoa Sweden kwa Goli la dhahabu,,

Je unaikumbuka Sheria ipi ya soka ambayo unatamani iendelee kutumika.
Ile sheria ya kona tatu, inakuwa penalty irudi tu kwa kweli
 
Offside zifutwe na goal la dhahabu lirudishwe ili haya Makampuni ya kubeti yafilisike na kusiwe na upangaji wa matokeo. Bila kusahau VAR iondolewe kabisa.
Hii VAR imepunguza nguvu ya soka na tunapoelekea watatuletea marefa maroboti.
 
Goli la dhahabu ni goli lililokuwa linafungwa muda wa nyingeza

Mpira ukiisha dak 90 mmetoshana nguvu zinaongezwa 30 sasa zaman katika hizo 30 za nyingeza ikitokea umefunga goli na mpira unaishia hapohapo
Hilo ndo liliitwa goli la dhahabu
Sheria nadhan ilifutwa 2006
Naikumbuka sana hiyo sheria wakati wa WC 2002
 
Kuruhusu magoli ya offside, sio mnatizama mechi halafu game linaisha 0-0
Akihojiwa na gazeti la Ujerumani liitwalo Bild,Van Basten amesema wanawaza kuondoa mchezo wa kuzidi katika soka.Alisema “sipati picha soka isipokuwa na ofside,washambuliaji watapata nafasi nyingi sana za kufunga”.Van Basten alisema mpira wa miguu utakuwa wakuvutia sana kama offside itaondolewa na anaamini jambo hilo litawafurahisha mashabiko na washambuliaji.
Naona wanafanya kazi
 
Back
Top Bottom