Una hoja nzuri,
Ila unashindwa kuiwasilisha ukaeleweka.
Hivi Unakaa unakubaliana Nini na mtoto mdogo wa chini ya miaka 18 Kwenye maswala ya ngono na uasherati?
Hivi Unataka kunambia uyo mtoto ana akili timamu ya kuweza kuchanganua lipi jema lipi baya nyege zikishampanda?
Hebu mkuu jiheshimu Basi,
acha kutetea ubakaji bhana
View attachment 2021935