Ni kweli kutiwa mimba kwa mwanafunzi au msichana chini ya miaka 18 inamnyima fursa huyo binti ya kusoma na kutengeneza maisha yake ya baadae!
Leo waziri wa Elimu Joyce Ndalichako anatarajiwa kutoa waraka wa kuwaruhusu mabinti waliotiwa mimba kuendèlea na masomo! Je nauliza maswali yafuatayo!
•Kwanini isitafutwe adhabu mbadala kwa watuhumiwa ili kuwezesha mtuhumiwa kumhudumia mtoto huku mama akiendelea na masomo?
•Serikali haioni kuwa kumfunga baba wa mtoto ni kumnyima mtoto haki ya malezi na atakapo kua mkubwa inaweza kumwathiri kisaikojia?
•Kwanini Serikali isitoe adhabu kwa wasichana waliochini ya umri wa miaka 18 ambao tayari wamebarehe pindi watakapo bainika kujihusisha na mahusiano ya kingono?
•Kwanini sheria isiweke adhabu pekee kwa mwanaume aliyesababisha ujauzito pasipo maridhiano na binti nikimaanisha UBAKAJI?
Naomba sana kama wote tujuavyo jamii imebadilika sana na watoto wetu wanamihusisha na ngono hata wazazi bila kujua na hujua tu inapotokea mimba!
Natoa rai kwa wahusika wa kutunga sheria na haki zingine za kibinadamu kulitazama hili! Na isionekane kuwa kitendo cha mimba hata kama kulikuwa na makubalianao kati ya binti na kijana eti ni ubakaji!
Mwisho mimi ni mhanga wa kusimesha mtoto aliyeachwa na baba yake katika mazingira haya wakati najua pasina shaka kuwa wahusika walikuwa kwenye makubalianao bila kushinikizwa! Iweje ionekane uharifu!
Leo waziri wa Elimu Joyce Ndalichako anatarajiwa kutoa waraka wa kuwaruhusu mabinti waliotiwa mimba kuendèlea na masomo! Je nauliza maswali yafuatayo!
•Kwanini isitafutwe adhabu mbadala kwa watuhumiwa ili kuwezesha mtuhumiwa kumhudumia mtoto huku mama akiendelea na masomo?
•Serikali haioni kuwa kumfunga baba wa mtoto ni kumnyima mtoto haki ya malezi na atakapo kua mkubwa inaweza kumwathiri kisaikojia?
•Kwanini Serikali isitoe adhabu kwa wasichana waliochini ya umri wa miaka 18 ambao tayari wamebarehe pindi watakapo bainika kujihusisha na mahusiano ya kingono?
•Kwanini sheria isiweke adhabu pekee kwa mwanaume aliyesababisha ujauzito pasipo maridhiano na binti nikimaanisha UBAKAJI?
Naomba sana kama wote tujuavyo jamii imebadilika sana na watoto wetu wanamihusisha na ngono hata wazazi bila kujua na hujua tu inapotokea mimba!
Natoa rai kwa wahusika wa kutunga sheria na haki zingine za kibinadamu kulitazama hili! Na isionekane kuwa kitendo cha mimba hata kama kulikuwa na makubalianao kati ya binti na kijana eti ni ubakaji!
Mwisho mimi ni mhanga wa kusimesha mtoto aliyeachwa na baba yake katika mazingira haya wakati najua pasina shaka kuwa wahusika walikuwa kwenye makubalianao bila kushinikizwa! Iweje ionekane uharifu!