naona katumwa na waliompa sumu mwakihembe
Mkuu hapa jf tunawajibu mbovu hata wakuu fulani fulani si watatuma mabomu ya kujitoa mhanga huko mkutanoni.
We labda kuna mtu unamtafuta ili umtwange sio. Basi umechemsha kaka tafuta njia nyingine kumbuka hapa wote tumepevuka
Yaani huko fesibuku kuna groups kama 10, na wote wanapanga hafla za kukutana! Ndugu zako tu wa kitunda hujawaona mwaka unaisha, hebu tokeni hapa!
Mtoa mada, ww choma kmoto ama mbuzi, nipm nije bwana!
Yaani we acha tu!
Tutapewa za uso huko mkutanoni mpaka wenyewe tutajuta kilichotufanya tufahamiane laivu.
Kwa kweli kwa hapo Mh!
Sijaliafiki,na watu walivyokuwa na midomo humu,acha tu Mamndenyi,
Tutapigikajeee....!!!!
Umekuja juzi tu leo unataka kuwaona watu.
Watu wa humu wambeyaaa yaani sikukuu zote mnazofanyaga hamridhishi mpaka mkutane na wanaJF tu ndo mtaridhika. Haya subirini muone kama hamjakutana na mama zenu nao wako JF na huwaga mnawasarandiaga na avator zetu za mashamsham
Yaani huko fesibuku kuna groups kama 10, na wote wanapanga hafla za kukutana! Ndugu zako tu wa kitunda hujawaona mwaka unaisha, hebu tokeni hapa!
Mtoa mada, ww choma kmoto ama mbuzi, nipm nije bwana!
mie ntakuwa ninayetembea kama jogoo kaona mtetea.
Na kabawa kangu katakuwa kanagusa chini nazunguruka tu 'ko ko kooo kooooooooooo'
Yaani we acha tu!
Tutapewa za uso huko mkutanoni mpaka wenyewe tutajuta kilichotufanya tufahamiane laivu.
Kwa kweli kwa hapo Mh!
Sijaliafiki,na watu walivyokuwa na midomo humu,acha tu Mamndenyi,
Tutapigikajeee....!!!!