Shemeji yenu anaficha pochi kwenye chumba cha mabinti wa kazi.

Tunaishi kizazi cha wahuni na wenye tabia za kimalaya

Imagine unatoka na mke wa mtu anakuomba umwingilie kinyume na maumbile, speaking from experience
This is dangerous bro. Wanawake hawajui wanataka nini.

Alafu wanaume waaminifu ndo wanatumia zaidi, nimeshuhudia wanaume wengi waamnifu wakigeuka kuwa maplay boys baada ya sakata kama hizi.
 
This is dangerous bro. Wanawake hawajui wanataka nini.

Alafu wanaume waaminifu ndo wanatumia zaidi, nimeshuhudia wanaume wengi waamnifu wakigeuka kuwa maplay boys baada ya sakata kama hizi.
Tuishi nao kwa akili

Visasi vinaanziaga hapo

Ila kwa mwanamume kamili akishajua mpenzi wake kachepuka hata hajiulizi ni hapohapo anapiga chini
 
Hivi simba wataanzia upande gan?

Boss hapo pengne unaweza kuta sio kwamba anaficha hela kama wengne wanavyosema, humo kwenye mpochi wake kunaweza kuwa na mambo ambayo kwa namna moja ama nyingine yanaweza hatarisha ndoa yenu anaona ikae mbali kama una tabia ya kumkagua wenda humkazi vzuri anatunza kifaa chake anakitumia usipomkanda vizur au mengne mengi wanawake wana vitu vingi

Mtafute muweke mezani muelezeane ila kabla ya hapo mfanye aone we ni mme wake kwa matendo hio ni ndoa nadhan unajua ili ndoa iwe harali nini inabdi kifanyike basi kifanye kwa weredi alafu muweke chini umuulize kwanini anaficha mkoba wake

Ni hayo tu ila kama una kamoyo ka wavulana achana na kumfatilia mke wako
Nawasilisha
 
Wakuu napitia kipindi kigumu sana.

Baada ya mzazi kugeuka mtetezi wa wanangu.

Shemeji yenu amekua akiweka hand bag yake kwenye chumba cha mabinti wa kazi.

Nahisi mwanzo wa jambo la hatari.

Kwanini afiche hand bag.??
kagua hiyo pocho vizuri,ukute anaficha kisimu cha tochi ambacho anakitumia kuwasiliana na mchepuko wake kwa line amabayo wewe huijui. ni ushauri tu.
 
Back
Top Bottom