Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,105
- 4,641
Ndo maana nimemwambia wapime vituo tofauti tofauti.Serikali inahuruma na maisha ya mtoto haitaki mzigo wa malezi uwe wao ila kwake babamlezi.
Ili kuwepa hilo.
Hata vituo 5 pima tuu.
Ikiwezekana toa na pesa kwa pembeni wakupe Majibu sahihi.