Shemeji/Wifi yenu kaondoka!

Shemeji/Wifi yenu kaondoka!

Hahaaaa!! Umemwaga mboga akamwaga ugali.
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Pole Sana ndugu Sina hata ka ushauri maana sijaoa. Wewe vumilia tu Piga kazi atajuta mwenyewe
 
Mimi nimelichukulia kiuhalisia kwa sababu niko kwenye ndoa muda mrefu sasa. Na mwanamke aliyekomaa kwenye ndoa hawezi kuondoka kwa style hiyo. Otherwise kuna matatizo ya muda mrefu ambayo hujaweka bayana hapa. Siko hapa kukukejeli wala kukudhihaki tafadhali.

Kwa mfano uweke uzi hapa wa kusema " Mke wangu kanizaba vibao mbele ya watoto" bila kuelezea alikuzaba kibao kwa sababu ulimshika makalio na kumfunua sketi mbele ya watoto ukiwa umelewa.
Upo sahihi mkuu lkn hakukuwa na ugomvi wa kiasi cha kumfanya aondoke kirahisi namna hiyo hata mm nikijua anabip ndiy maana sikuhangaika naye kwa namna yyt lkn ukizungumzia maudhi ya hapa na pale hayakosi kwenye ndoa na tuna 1.5 year

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukaeni vizuri na wake zetu vinginevyo tutaendelea kufa kabla ya wakati. Acha aende avulie wavulana chuppi huko apanue miguu hadi joint zisikike kho!kho!kho! atombwe weeeeeee.....akiona inafaa atarudi kwako

time will tell
 
Mmekuwa kwenye ndoa kwa muda gani!? Inahitaji moyo wa hali ya juu kutaka kuendelea kumuita huyu mkeo. Pole sana. Si kila mwanamke anastahili kuwa mke.

Mna haki ya kulichukulia kivyovyote swala hili maana kila mtu ana mitazamo yake katika kile anachoona na kusikia.Lkn ukweli ni huo huo niliouweka hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu kama njia ya mazungumzo imeshindikana kutafuta amani ndani ya nyumba ungetumia njia ya pili ambayo ni kipigo na imani akili ingemkaa sawa na asingethubutu hata kushika hilo begi na kupanga nguo.....mwanamke hawezi kukujibu kwa kejeli kiasi hicho ukamwacha aondoke.....

Afu nahisi mpaka sasa huyo mke wako atakuwa kwa hilo li jamaa analambishwa utamu wa koni..... pole sana mkuu
 
Huo umri unachangia kwa kiasi kikubwa sana katika maamuzi aliyofanya. Cha msingi kwa upande wako usikurupuke. Tuliza kichwa tafakari. Inaonekana huyo binti alikuwa anafanya hayo mambo kwa muda mrefu na hakuwa tayari kwa ndoa na kuitwa mke. Kuna watu wengi sana siku hizi wanaingia kwenye ndoa kwa sababu zisizo sahihi. Hakika alichokifanya tunakiita "calculated moves" ni wewe tu ndio ulikuwa gizani kwa muda wote bila kujua dhamira ya kweli moyoni mwake.
Pole sana ndugu.
 
mkuu kama njia ya mazungumzo imeshindikana kutafuta amani ndani ya nyumba ungetumia njia ya pili ambayo ni kipigo na imani akili ingemkaa sawa na asingethubutu hata kushika hilo begi na kupanga nguo.....mwanamke hawezi kukujibu kwa kejeli kiasi hicho ukamwacha aondoke.....

Afu nahisi mpaka sasa huyo mke wako atakuwa kwa hilo li jamaa analambishwa utamu wa koni..... pole sana mkuu
Ana 3 months ndiyo katoka kufanyiwa operation ya kutoa kiumbe kilichofia tumboni kikiwa na miezi 8,kama ningeshusha kipondo huenda ningezua mengine na nilichomwambia kama anatabia ya hivyo hatakaa aache kamwe lkn kama kuna ushawish aache kwa dhamira ya kunusuru ndoa na nmekuwa nikijitahidi kumuonya juu ya huyo mtu kama awamu tatu hv.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom