Shemeji/Wifi yenu kaondoka!

Shemeji/Wifi yenu kaondoka!

Muache aende mkuu, atarudi mwenyewe tu japo kama alikua anakupenda kweli.

Yesu Anaponya.
 
Sijamkosea chochote ndg japo mikwaruzano kwenye ndoa jambo la kawaida lkn hatukuwa na ugomvi wowote mpk tunaamka leo asbh

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi alikuwa anatafuta sababu na inaonyesha hata sms alizochati na jamaa hakuzifuta makusidi na cm aliiacha kitandan ili uone akijua kabisa lazima utapanic ili apate kianzio
 
Shost aliondoka kwa mume kwa style hii lakini hakukuwa na issue ua cheating. Mume alivyokuwa jeuri hakupiga simu wala kuuliza yuko wapi. Baada ya siku tatu baba mkwe amepiga simu anamwambia baba mwenzako yuko Huku akasema sawa.
Kwanza ni mmasai na wenzatu kidogo wana misimamo yao katika maswala haya ndy maana sijataka kuwapa taarifa mpk muda huu na nmejaribu kumpigia simu akanijibu NIACHE kisha akakata simu na akanitumia sms akidai anaondoka kwa kuwa nmesema nimechoka na tabia zake.Sikumjibu chochote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza ni mmasai na wenzatu kidogo wana misimamo yao katika maswala haya ndy maana sijataka kuwapa taarifa mpk muda huu na nmejaribu kumpigia simu akanijibu NIACHE kisha akakata simu na akanitumia sms akidai anaondoka kwa kuwa nmesema nimechoka na tabia zake.Sikumjibu chochote

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaa kimya kwanza kama umejua yuko salama
 
"Bora nisepe tu"huyu ni mke kabisa au mchumba....doh
Pole,usimtafute atarudi tu mwenyewe
 
Mna haki ya kulichukulia kivyovyote swala hili maana kila mtu ana mitazamo yake katika kile anachoona na kusikia.Lkn ukweli ni huo huo niliouweka hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimelichukulia kiuhalisia kwa sababu niko kwenye ndoa muda mrefu sasa. Na mwanamke aliyekomaa kwenye ndoa hawezi kuondoka kwa style hiyo. Otherwise kuna matatizo ya muda mrefu ambayo hujaweka bayana hapa. Siko hapa kukukejeli wala kukudhihaki tafadhali.

Kwa mfano uweke uzi hapa wa kusema " Mke wangu kanizaba vibao mbele ya watoto" bila kuelezea alikuzaba kibao kwa sababu ulimshika makalio na kumfunua sketi mbele ya watoto ukiwa umelewa.
 
Back
Top Bottom