Shemeji ulichofanya ipo siku tu

Shemeji ulichofanya ipo siku tu

Kumbe dada yako hafai kuwa mke,alikuwa anakuja kukuhadithia kwamba navaa machupi tuu? Kwa hiyo alikuwa pia anakwambia alivyokuwa anakojozwa?
 
Ndugu ya Kaisari mwachie Kaisari, utakosa pa kujifichà wakipatana maana sista alimpenda sana mchizi, Fanya yako aisee.
 
Blaza huyo wa kupunch. Uki, uppercut na japs zinahusika. And serves him right maana utakuwa unajaribu kumuelewesha kwamba asizoee kuchezea wanawake wote wengine wana makaka.
 
Shemeji anaumia sana kwa niaba ya dada. Kumbe alikuwa anavaa machupi badala ya boxer? poleni sana.
 
ha


hapana aisee kwa hili haitawezekana trust me yan mwaka mmoja kashakaa na mwanamke mwingine na ana mimba tayari while wa dada angu ana mwaka alafu bado tumsamehe?alikuja akasema hanaga wazazi alilelewaa kama mtoto dada angu hawezi tena kapata kai nzuri but hajatupunguzia kitu zaidi ni kuwa kampiga teke chura my sisy bado mzuri aiseeeee
Anasamehewa na dadako siyo nyinyi.
 
Mke / mume hasomeshwi pia Mali si kigezo uwanjani ndio mambo yote. Ila huyo kuku angeolea pembeni sio kwenye nyumba ya mke mkubwa
 
Aiseee mie sijaumbwa na huo uoga kabisa ukinikosea nakwambia live lakini haya mambo yakumuandikia ujumbe ilihali una uwezo wa kumwambia live.Kama mtu mlimsaidia kihivyo hana fadhila na haukupaswa kumficha ficha wewe mwanaume unaongea nae kiume unamwambia ya moyoni ila hizi mambo tuachie watoto wa kike japo mie pia nisingeweza kumuandikia ujumbe ningemwambia live bila chenga
acha mikwara
 
Habari wanaJF,

Naanza week kwa machungu makubwa na kwa hasira isiyokuwa na wa kunituliza.

Kwako shemeji Mkurya,

Naandika kwakuwa najua unaingiaga JF 24/7. Nachotaka kukuambia ni kuwa Mungu yupo kwa ulichomfanyia dada angu. Nataka nikupe taarifa tu kuwa alopewa kapewa na kama kikitoka kimoja huwa vinarudi zaidi ya kumi.

Baada ya kumuoaa dada angu ukakaribishwa home ukawa unalelewa zaidi ya mimi mdogo wa mtu. Familia yetu ilikutunza kama mtoto mchanga mpaka vocha ukawa unanunuliwa ila shemeji shukrani huna, ulijivika ngozi ya kondoo dada angu kakuogesha ukatakata na sasa una shine mjini umejisahau.

Wewe wa kumletea dada angu mke mwingine ndani wakati nyumba ni ya dada angu na kila kitu ni cha kwake? Yaani aiseee ulichokifanya kimeumiza saana familiaaa yetu.

Umesahau baba na mama ndo walokulipia ada yako ya masters baada ya kujifanya wewe ni mtu wa shida sana? Umesahau mama alikununuliaa kila kitu ili uonekane na wewe mwanaume wa mjini? Daah shemeji hakika umefika mjini nakuaandikia kwa kuwa najuaa ujumbe utakufikiaa.

Kupata kazi usidhani ndo umeyapatiaa maisha na kuleta jeuri. Kumbuka ulikuwa unanunuliwaa mpka boxer manake ulikuwa hujui boxer ni nini zaidi ya kuvaaa machupi mtu mzima? Majibu yako na matusi yameisikitisha familiaa na tulichoamua ni kuwa dada angu hatorudi tena kwako na sisi hatutaki kukuona tena na mwanao hutakaa umuone tena wala mkeo hutakaa umsikie tena. Jiandae kwa talaka ya kanisani.

Mwanaume gani wewe ndoa haina miaka 3 ushaingiza mke mwingine ndani? Kwanza tulikukataaa familiaa nzimaa ulivyokuja kama msukule ila dada angu na kiherehere chake akakung'ang'aniaaa na kujifanya kakupenda wewe tu.

Sasa hatma yako imefika, hatukutaki home wala hatutaki kukusikiaa from now onwards, usije niuliaa dada angu akati tupo wawili tu kama macho, ila kumbuka shida hazina mwisho kila kitu chetu twaja chukuaaa shemeji usiyejielewaaa.

From your brother inlaw,

Jerome j.k
yaani shemeji ndio umeamua kuja kunianika huku?
 
Nikupe wewe pole ,pili Dada yako ,tatu familia .

Sasa hawa watu walipendana wao wenyewe sasa wewe umeumia zaidi ya Dada kweli damu nzito ila tayari hapo mmeunganisha damu tayari mjomba atakuja kumtafuta Baba.
Wape muda hao wapendanao utakuja kuona ni nini kitaendelea.
 
aiseee ka aliyoyafanya mpaka kutukana wazazi wangu sio rahisi aiseee na dada angu haitakaa itokee tena ndo tushaamuaa nando anaanza kufuatiliaa talaka kanisani
Poleni aisee inaudhi sana shukrani ya punda ni mateke
 
Very sorry brother .
Haja mambo huwatokea binadamu ,ila nakajua mwanamke ndio wanakuwa vigeu geu asee mwanaume usaidiwe na masheji zako ufanye ujinga kama mke mwingine siangempangia uswahilini.


Asee ata Mimi kimeniuma
Ila unaweza kuta Dada ako bado amependa
 
Sio kila jambo LA kuleta Jf! Kajadili km ndugu na muyamalize.kuleta huku haisaidii chochote,think big
 
  • Thanks
Reactions: TLE
mapenzi waachie wapendanao kwenye mapenzi kamwe usishawishi wapenzi kuachana unless waamue wenyewe.
matatizo ya wapendao waachie wenyewe ukaka udada ufamilia usiingilie mapenzi ya watu. Ndio mlimsaidia unachokifanya hapa unamnyanyasa na may be ni manyanyaso yenu wewe dada na familia ndo nadhani imemchosha shemeji. wanaume hatufanyi hivyo kaka wakipatana hao utaonekana mbaya
 
kumbuka familia au dada asochukue maamuzi akiwa na hasira kwani shetani hukaa kati.
Maishani mwako usitoe ahadi ukiwa na furaha iliyopitiliza

hizi nikauli alizokuwa ananieleza mjomba wakati ule nakaribia kuoa
 
kwa sasa ni goodbye forever hawez na haitatokea imagine mtu kisa dadaa ngu kahamishwa kikazi yy kawekewa mpaka wadada wawili wa kazi akaamua kuleta na mwanamke ndani mwingine
Kweli inauma lkn wale ni wanandoa usiwaingilie ipo cku utaaibika wakirudiana,dadako ni mtu mzima imagine shemeji yako akakujibu humu akasema dadako hajui mapenzi au haniridhishi utauweka uso wako wapi?
Nataka kujua kwani jamaa kamuacha au unataka waachane kisa kaoa mke wa pili?
Kisa kama hiki kiliishawahi tokea katika familia moja pale MWANZA ,Baba alikuwa na nyumba ndogo wakati huo anawatoto wakubwa tu wakike,wale mabinti baada ya kujua hilo wakawa wanaenda kumfanyia fujo bi-mdogo,Babao alipopata taarifa akakaa na mabinti zake akawaambia tatizo lenu nyie ni nini?mabinti zake wakabwata sana ,mshua akawaambia msiingilie mapenzi yangu nyie bado watoto hv nikisema mamaenu haniridhishi mtasemaje?mabinti kimya aibu zimewajaa usoni mmoja baada ya mwingine wakawa wanaondoka.
Brother we ni mtoto wa kiume pole sana lkn sijui kama umeoa,kama umeoa tarajia hata ww ipo cku utachepuka tu,cku ukichepuka plz uje humu utuombe radhi ,you can't change nature hvyo ndivyo wanaume tulivyo huwezi kukaa na mwanamke mmoja mda mrefu mvuto wa kimapenzi unapungua uta-underperform kisha ataanza kukudharau mwisho wa cku unaanza kugongewa na wajanja,ukichepuka ni kama unachaji betri ukirudi lazima ufanye kweli,nakushauri vuta subira changamoto katika mapenzi /ndoa ni kitu cha kawaida sana,
Ila mi niliwahi kuwaambia wadogo zangu, yani siku ukiwa na boyfriend sijui akanyanyua mkono kukupiga..walai kama unampenda sanaaaa basi hakikisha sifahamu la sivyo sitojali ni baunsa kiasi gani ila nita deal na yeye sawia!!!

Somehow nakuelewa..ila ndo maisha...think positively, kila jambo lina jema lake! (ingawa ni ngumu kukubali)
 
Back
Top Bottom