Huyo jamaa ni baradhuliii.....tupa kuleee, akafie mbali coz hajui nini kibaya!!kwa sasa ni goodbye forever hawez na haitatokea imagine mtu kisa dadaa ngu kahamishwa kikazi yy kawekewa mpaka wadada wawili wa kazi akaamua kuleta na mwanamke ndani mwingine
Mi nakuunga mkono Jerry I can feel the pain the family is going through! Poleni, dada akaze moyo alishinde jaribu kwa njia sahihi na kwa amanikwa hili ni la familiaaa sio lake na mkewe yaan alikuwa kama mtoto home na sio shemeji ilaamkapata kazi kaitukana saan familiaa while kosa lake mwanaume unashindwa kujizuiaa ndio basi kcheat ndo mpaka mimba jaman??
Acha uzuzu wewe!!ha
hapana aisee kwa hili haitawezekana trust me yan mwaka mmoja kashakaa na mwanamke mwingine na ana mimba tayari while wa dada angu ana mwaka alafu bado tumsamehe?alikuja akasema hanaga wazazi alilelewaa kama mtoto dada angu hawezi tena kapata kai nzuri but hajatupunguzia kitu zaidi ni kuwa kampiga teke chura my sisy bado mzuri aiseeeee
Unataka kumuoa dada yako?aiseee ka aliyoyafanya mpaka kutukana wazazi wangu sio rahisi aiseee na dada angu haitakaa itokee tena ndo tushaamuaa nando anaanza kufuatiliaa talaka kanisani
Shemeji anatoa talaka kwa Shemeji yake, dunia hii!Habari wanaJF,
Naanza week kwa machungu makubwa na kwa hasira isiyokuwa na wa kunituliza.
Kwako shemeji Mkurya,
Naandika kwakuwa najua unaingiaga JF 24/7. Nachotaka kukuambia ni kuwa Mungu yupo kwa ulichomfanyia dada angu. Nataka nikupe taarifa tu kuwa alopewa kapewa na kama kikitoka kimoja huwa vinarudi zaidi ya kumi.
Baada ya kumuoaa dada angu ukakaribishwa home ukawa unalelewa zaidi ya mimi mdogo wa mtu. Familia yetu ilikutunza kama mtoto mchanga mpaka vocha ukawa unanunuliwa ila shemeji shukrani huna, ulijivika ngozi ya kondoo dada angu kakuogesha ukatakata na sasa una shine mjini umejisahau.
Wewe wa kumletea dada angu mke mwingine ndani wakati nyumba ni ya dada angu na kila kitu ni cha kwake? Yaani aiseee ulichokifanya kimeumiza saana familiaaa yetu.
Umesahau baba na mama ndo walokulipia ada yako ya masters baada ya kujifanya wewe ni mtu wa shida sana? Umesahau mama alikununuliaa kila kitu ili uonekane na wewe mwanaume wa mjini? Daah shemeji hakika umefika mjini nakuaandikia kwa kuwa najuaa ujumbe utakufikiaa.
Kupata kazi usidhani ndo umeyapatiaa maisha na kuleta jeuri. Kumbuka ulikuwa unanunuliwaa mpka boxer manake ulikuwa hujui boxer ni nini zaidi ya kuvaaa machupi mtu mzima? Majibu yako na matusi yameisikitisha familiaa na tulichoamua ni kuwa dada angu hatorudi tena kwako na sisi hatutaki kukuona tena na mwanao hutakaa umuone tena wala mkeo hutakaa umsikie tena. Jiandae kwa talaka ya kanisani.
Mwanaume gani wewe ndoa haina miaka 3 ushaingiza mke mwingine ndani? Kwanza tulikukataaa familiaa nzimaa ulivyokuja kama msukule ila dada angu na kiherehere chake akakung'ang'aniaaa na kujifanya kakupenda wewe tu.
Sasa hatma yako imefika, hatukutaki home wala hatutaki kukusikiaa from now onwards, usije niuliaa dada angu akati tupo wawili tu kama macho, ila kumbuka shida hazina mwisho kila kitu chetu twaja chukuaaa shemeji usiyejielewaaa.
From your brother inlaw,
Jerome j.k
Amen i knw you knw jinsi inavyokuwaaMi nakuunga mkono Jerry I can feel the pain the family is going through! Poleni, dada akaze moyo alishinde jaribu kwa njia sahihi na kwa amani
wez kuelewaa kwa kuwa sio ww....ingekuwa ww ungeelewaShemeji anatoa talaka kwa Shemeji yake, dunia hii!
Kwa hiyo sijaelewa kidogo, nyie familia nzima mmlimuoa Huyo jamaa au wewe ndio msemaji wa Dada yako, ila itakuwa kaka binamu sio bure
Dah na ww unafanya shughuli gani....mbona ka hauko ok? Dada yako atarudi tu sa akirudi cjui pia utakuja apa?ha
hapana aisee kwa hili haitawezekana trust me yan mwaka mmoja kashakaa na mwanamke mwingine na ana mimba tayari while wa dada angu ana mwaka alafu bado tumsamehe?alikuja akasema hanaga wazazi alilelewaa kama mtoto dada angu hawezi tena kapata kai nzuri but hajatupunguzia kitu zaidi ni kuwa kampiga teke chura my sisy bado mzuri aiseeeee
Hu
wez kuelewaa kwa kuwa sio ww....ingekuwa ww ungeelewa