kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,506
- 18,872
Usipomwambia sasa jamaa ndio atamwambia kuwa wewe unamtaka... jiandaeSitaki kuharibu mahusiano yao
Usipomwambia sasa jamaa ndio atamwambia kuwa wewe unamtaka... jiandaeSitaki kuharibu mahusiano yao
Sasa kama una Tako kubwa la kueleweka unaachwaje kuliwa, Tena usipokuwa na msimamo utaliwa mpaka Kwa mpalange sababu ya Hilo takoAlikuwa serious sema ni vile mimi nilikaza
Huwa tunajaribu na ikiitika tu tunapiga afu' tunapita hivi.Alikuwa anakujaribu tu...
Wanaume ni ombaomba wasiojijua linapokuja suala la chini.
Kweli mkuu,kama huyu anatupigia kelele humu tumuona descent,wakati anamkataa jamaa Kwa sababu Hana pesa.yaani angepewa hata ist angevua chap
Weka hata ya Sasa. Nisuala la kupewa tu nasahaNamba yenyewe siitumii tena
😂😂😂😂😂Alikuwa anakujaribu tu...
Wanaume ni ombaomba wasiojijua linapokuja suala la chini.
Kwa kweli, 😂😂😂😂Uzi ungekuwa ni kinyume chakee yani bidada amtake rafiki wa mume wake tungekuwa page ya 10+kashfa za kila namna kwa mwanamke
Nahisi huku kujimwambafai huku, kuna mwanaJF anatafutwa hapa aangushiwe jumba. Aone mwanadada ni mgumu asietaka masihara. Kama sio holoholo sijui🤣🤣Habari za muda mrefu wana jukwaa. Iko hivi nina rafiki yangu yeye ana mtoto mmoja yaani single mum, sasa ana mwanaume wake. Huyo mwanaume wake kipindi wanaanza mahusiano hata mimi nilikuwa nawaona mpaka sasa wamefikia kama miaka kadhaa ya mahusiano yao.
Huyu mwanaume siyo baba wa mtoto wake, sasa huyu shemeji kuna siku moja alichukua namba yangu nikiwa pale kwa rafiki yangu, yeye rafiki yangu alikuwa jikoni anapika, mimi nilijua kachukua kwa nia nzuri tu awe anakuja ofisini labda kuniungisha.
Sasa tulikuwa tunawasiliana akawa ananiita mke mdogo, mara ananiambia nimzalie mimi namwambia siwezi kufanya hivyo wewe ni shemeji yangu nakuheshimu, anasema kwani kuna ubaya. Mara kuna kipindi anakuja ofisini ananiambia wameachana na rafiki yangu mara warudiane.
Huyu shemeji nimemuona ni mtu wa ajabu sana kwa kitendo cha kunitaka kimapenzi kwani huko kote hajaona wanawake hadi aje kwangu, kwa rafiki wa mtu wake, wanaume hamna haya kabisa.
Mimi sijawahi kumwambia rafiki yangu na nimekata mazoea nao wote wawili, maana rafiki yangu akijua tu nilikuwa nachat na mtu wake atakasirika mno maana ana wivu balaa.
Cc. holoholo
Nomadix
Kati ya wewe Binti Sayuni03 na huyo dada rafiki yako nani ana tako, nani yupo flat, nani namba 8?Nikawaida sana kwetu sisi wanaume, na tunatabia ya kujaribu pale tubapo ona tako ama titi limechangamka..😋
Misioni kesi hapo, wekausha mkuu wala usiwaze
Angemuuliza ANAUZA?Shemela kama Shemela 😅ungemwambia nipe kibunda cha laki tano.
Angetoka spidi mwenyewe 😜
Ila angekuwa sio shemeji ungempa😂😂🤣Hapana siwezi kumpa shemeji jamani
Hapana nisingempaIla angekuwa sio shemeji ungempa😂😂🤣
Vipi ikiwa na yeye alikuwa anakujaribu? Alikubaliana na demu wake akujaribu?Shemeji mpumbavu sana huyu nilimuona anajitambua ila baada ya hii ishu simuheshimu tena
😁😁😁hapana kwakweli hatuwezi kufika hukoVipi ikiwa na yeye alikuwa anakujaribu? Alikubaliana na demu wake akujaribu?
Mkatae uendelee kumheshimu, hujui ya mbeleni anaweza kukujengea heshima kwa kuitwa mrs yeye😎
Sina shida ya bwana humu aisee huku nilipo nakutana na mitongozo kila siku kwa watu wenye heshima zao lakini namuheshimu niliye naye siwezi kuwakubali, sasa itakuwa huku nije kuwinda ambao siwajui si ntakuwa kichaaNahisi huku kujimwambafai huku, kuna mwanaJF anatafutwa hapa aangushiwe jumba. Aone mwanadada ni mgumu asietaka masihara. Kama sio holoholo sijui🤣🤣
Huu sasa umbeya, yamefuata nini JF wakati ulishamkataa😎
😁😁😁🙌nipe hapa hapa kwenye commentsWeka hata ya Sasa. Nisuala la kupewa tu nasaha
Alivyoanza kuniapproach nikawa namuomba vipesa vidogo kama elf30k hivi eti akaniambia ningemwambia mapema hiyo laki5 si ndo angeniblock kila mahali😁😁🙌Shemela kama Shemela 😅ungemwambia nipe kibunda cha laki tano.
Angetoka spidi mwenyewe 😜
Tamaa tu hakuna kipya wanawake ndiyo wale waleKati ya wewe Binti Sayuni03 na huyo dada rafiki yako nani ana tako, nani yupo flat, nani namba 8?
Je, mnafanana kisura na kimaumbile.
Sio mbaya, Yakobo ambaye ndiye Israel anakobweka Netanyahu leo alioa Rachel na Leah mtu na mdogo wake, sembuse wewe na rafiki dada.😎😎.
Mwanaume kuzaa. Mzalie mtoto