Shekhe Arusha Amwagiwa Tindikali

Shekhe Arusha Amwagiwa Tindikali

Status
Not open for further replies.
busara ya mtu hupimwa kwa maneno yake! chuki binafsi at work!

Mkuu nadhani chuki wanayo wale wagalatia walio wamwagia mtu na mwanae tindi kali! Na kosa lao ni wao kuwa WAISLAMU!

Na ni makundi hayo hayo yaliolipua na kuua watu wasio na hatia halafu wakawasingizia waislamu!

Kwenye hili tukio huoni kiongozi wa kigalatia hata mmoja akalilaani na kulikemea!
Lkn padri au mchungaji akipigwa kofi tu! Utaona wanavyo ruka ruka utafkiri wamekanyaga makaa ya moto!
 
Ni mtu aliye mwendawazimu pekee awezae kuwahusisha chadema kwenye mambo hayo...

Sisi waislamu tunagombea madaraka kwenye misikiti kila mara...

Kuchapana bakora ni jambo la kawaida kwenye misikiti mingi, pia mapinduzi ni jambo la kawaida..! Hakuna siasa hapo... Acha upuuzi

Kumbe bado hujapona we mgala
 
Hahahahaaaa.... katabia wanakapenda hako sana, wanatafuna kondoo kwa kwenda mbele

Siku hizi wanatafuna kondoo na watoto wake!

Jamaa wana uraru balaa hawa!

Ukiwaachia mifugo yako wakutizamie basi utakuta wamewatia najisi mbuzi wote!
 
Siku hizi wanatafuna kondoo na watoto wake!

Jamaa wana uraru balaa hawa!

Ukiwaachia mifugo yako wakutizamie basi utakuta wamewatia najisi mbuzi wote!

Kiukweli huwa nawashangaa sana, hawajitambui kabisa hawa watu
 
Mbn tunakua na akili za kushikiwa na ushabiki usio na maana. Watu wameumia, bado hata muadhirika kaweza kutoa hata angalau pakuanzia. Ss mijitu inakuja na mizaha mara udini mara siasa. Kama mmeshindwa kujiheshimu japo muwe waoga. Na mkae kimya mtaonekana mnabusara kuliko mlichochangia ni kuongeza chuki na mawzo ovu bila hata tafakari
 
Mbn tunakua na akili za kushikiwa na ushabiki usio na maana. Watu wameumia, bado hata muadhirika kaweza kutoa hata angalau pakuanzia. Ss mijitu inakuja na mizaha mara udini mara siasa. Kama mmeshindwa kujiheshimu japo muwe waoga. Na mkae kimya mtaonekana mnabusara kuliko mlichochangia ni kuongeza chuki na mawzo ovu bila hata tafakari

mesej sent! hata kama haijawa delivered ila wataisoma tu japo hawatosema kama wameisoma!! mwenyewe nimeshangaa sana badala watu waonyeshe kuguswa kwao wanaanza uharo mara sijui takua ni dini flani mara oh takua chama flani...blah blah kibao ilimradi tu mtu aoneshe hisia zake za chuki za waziwazi kwa kikundi fulani........poor us! ndo maana hatuendelei kwakweli maana tunaongozwa na hisia kuliko akili
 
Mkuu nadhani chuki wanayo wale wagalatia walio wamwagia mtu na mwanae tindi kali! Na kosa lao ni wao kuwa WAISLAMU!

Na ni makundi hayo hayo yaliolipua na kuua watu wasio na hatia halafu wakawasingizia waislamu!

Kwenye hili tukio huoni kiongozi wa kigalatia hata mmoja akalilaani na kulikemea!
Lkn padri au mchungaji akipigwa kofi tu! Utaona wanavyo ruka ruka utafkiri wamekanyaga makaa ya moto!

asanta sana mkuu kwa uchambuzi wako yakinifu ila bado nina dukuduku! kwa mfano wakija askari hapo kukuchukua kama shahidi kuhusiana na uliyoyaandika, jee utakua tayari kutoa ushirikiano?! kama kweli uliyoyasema yana ukweli ndani yake huoni kama siku ya kiama utapata adhabu kali sana kwasababu unaficha maovu kama haya wakati unawafahamu kabisa wahusika tena sio tu kwa kuambiwa bali kwa kuwashuhudia? ama hakika umenisikitisha sana
 
asanta sana mkuu kwa uchambuzi wako yakinifu ila bado nina dukuduku! kwa mfano wakija askari hapo kukuchukua kama shahidi kuhusiana na uliyoyaandika, jee utakua tayari kutoa ushirikiano?! kama kweli uliyoyasema yana ukweli ndani yake huoni kama siku ya kiama utapata adhabu kali sana kwasababu unaficha maovu kama haya wakati unawafahamu kabisa wahusika tena sio tu kwa kuambiwa bali kwa kuwashuhudia? ama hakika umenisikitisha sana

We hujui mi ni nani na nnafanya kazi gani!
Kwahio kabla ya kuweka comments zako jaribu kuwa na open mind!

Nadhani kama wewe ni mfuatiliaji wa matukio utakubaliana na mimi kuwa yale matukio ya ulipuaji yalipotokea hapo arusha cha kwanza polisi kuseme ilikuwa ni "WAISLAMU WANAHUSIKA"!

Na waislamu wengi tu hasa waarabu wageni walikamatwa na kuwekwa ndani!

Ulipofanyika upepelezi kidogo tu ikaone kuwa waliofanya tukio SIO WAISLAMU bali ni watu waliovaa mavazi ya kiislamu ili kuwapakazia WAISLAMU!

Na wale waliokamatwa wote walikuwa ni WATALII tu!

Na mpaka serikali za nchi za kiarabu zikatishia kuvunja uhusiano na TZ.

Kitu ambacho serikali yetu njaa haikuweza kukipokea. Ikabidi wahusika wazitake radhi hizo serikali za waarabu na kuwaachia Raia wao na kuwaomba msamaha mkubwa sana!

Leo hii Imamu na mwanae mdogo wanamwagiwa tindi kali ndani ya maeneo ya msikiti!

We hata kama sio askari ukitazama hayo matukio mawili jibu unalipata tu!

Na mi nikipewa kazi ya kutafuta huyo muhalifu basi ntatembeza kipigo kwenye hizo paroko mpaka wamtaje huyo kondoo aliyefanya hivyo!

Cc faby Izz
 
Last edited by a moderator:


Mustapha%20Kiago.jpg

Mustapha Kiago


Sheikh wa Msikiti Mkuu wa Bondeni mkoani Arusha, Mustaph Kiago (49) na mwanaye Khalid Mustapha (10), wamemwagiwa kimiminika kinachodhaniwa kuwa ni tindikali wakati wakiingia msikitini.

Sheikh Kiago amejeruhiwa shingoni na mtoto wake ameumizwa machoni na wote wanatibiwa hospitali ya mkoa ya ya Mount Meru .

Akizungumza na NIPASHE nje ya wodi ya watoto kwenye hospitali hiyo jana, Kiago alisema amemwagiwa tindikali hiyo jana saa 11.10 alfajiri wakati anashuka ngazi kuingia msikitini kuongoza sala ya alfajiri.

"Nilipomaliza ngazi ili niiingie msikitini nilimwona kijana nyuma yangu ameshika kopo lenye maji mekundu na ghafla alinimwagia usoni na mengine yalimpata mtoto wangu", alisema.

Alisema mtuhumiwa huyo alikimbia baada ya kuwajeruhi akitumia pikipiki iliyokuwa nje ya msikiti.

Aliendelea kusema kuwa baada ya mtu huyo kukimbia, alirudi ndani na kumchukua mtoto wake hadi hospitali ya Mkoa Maunt Meru na kugundua kuwa ameumia macho wakati yeye alichunika ngozi ya shingo na usoni.

Mustapha aliyekuja nchini hivi karibuni akitokea Misri, alisema ameumia macho na kwamba ana wasiwasi jicho la kushoto halitaona tena.

Sheikh huyo alisema chanzo cha tukio hilo ni vita iliyoanza muda mrefu ambapo, Februari 7 mwaka huu, akiwa msikitini, alifuatwa na Sheikh wa Mwanza (jina linahifadhiwa), akiwa na watu kadhaa na kutakiwa kutangaza jihad misikiti yote ya Arusha.

Alifafanua kuwa alikataa kutangaza jihad ambayo ni vita ya silaha dhidi ya Waislamu na wasio Waislamu akisema;"Nilipinga kwa sababu hatuwezi kuvunja amani tulionayo kwa masuala ya dini, wakaniambia lazima wataniua,"alisema.

Alifafanua kuwa alipowapinga ikatokea vurugu kubwa pale msikitini ambapo miongoni mwa kundi hilo lililoongozwa na Sheikh wa Mwanza aliyemtaja (jina tunalo), alimrukia na kumpokonya kipaza sauti lakini naye akakimbilia kuzima umeme.

Alisema waumini waliokuwepo walituliza ghasia naye alikwenda kutoa taarifa polisi.

Alilalamika kuwa licha ya kufika asubuhi hospitalini mtoto wake hajapata kitanda hivyo alikuwa anamshughulikia kwanza mwanae.

Mtoto Khalid anayesoma darasa la tatu nchini Misri, hakuzungumza kwa kuwa hafahamu Kiswahili na anazungumza Kiarabu.

Kaimu Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Arusha, Japhet Lusingu, akizungumzia tukio hilo, alisema polisi ina taarifa zake na inaendelea na uchunguzi.

Alisema mara baada ya tukio hilo, polisi ilijulishwa na kufika eneo la tukio na kufanya mahojiano na mashuhuda kisha kuchukua kopo linalosadikiwa kuwa lilikuwa na tindikali hiyo.
CHANZO: NIPASHE






My take.

Hali mbaya ya usalama inayoikumba Jamhuri ya Afrika ya Kati ilianza hivi hivi hadi sasa hali imekuwa mbaya sana maelfu ya watu wamepoteza uhai kwasababu za vita vya kijinga vinavyonasibishwa na dini.

Serekali ya Kikwete imeshindwa kuwachukulia hatua kali wachochezi wanaotumia mlango wa dini kuvuruga amani ya taifa letu tukufu Tanzania bila sababu za nsingi.Huyo Sheikh anayeimiza Jihad Tanzania kwanini anaachiwa huru yeye binafsi na kikundi chake hadi watu wanadhurika ?.Tumeshindwa kuwalinda Tembo hadi wanakaribia kutoweka sasa viongozi wa dini wanamwagiwa tindikali ni nani atakayesalimika ?.
Boko haram Pasco THE BIG SHOW Mohamed Said Mkandara Crashwise PakaJimmy na wengine wote ambao sikuwataja.
 
Ni kweli watu wanaovuruga amani kwa mgongo wa dini yafaa wachukuliwe hatua kali sana bila kujali wanawakilisha dini gani tusipofanya hivyo ni wazi tunakaribisha vurungu nyingine kama ile ya Afrika ya kati.

Uchunguzi wa kina ufanyike juu ya kadhia hiyo.Hali ni tete hapo na kwingineko
 
Kinachoshangaza tz ni kwamba haya mambo yanatokea then yanakuwa hot siku chache then yanasahaulika.hapa tujiulize wahusika wakuchukuza matukio makubwa kama haya hakuna? Au wapo lakin profeasional zao haziwatoshi?. Au kuna mpango unaendelea ndan ya serikal? Siamin usalama wanaosifiwa kila siku wanashindwa kufatilia na kukomesha internal issue kama hii. Je kama hii wanashindwa wataweza kuchunguza maadui wa nje ya nchi? Wazir wa mambo ya ndan, wazir wa usalama mko wap. Au tunasubir tusikie viongoz wamedhurika ndio tuone hii ishu ni tete?
Utesaji wa watu kwa silaha za kemikal sio mara ya kwanza kutokea hapa kwetu. Wameumizwa watu wengi au tunasubir tuitwe London tuulizwe halaf tupewe kikosi cha kusaidia uchunguz kama cha tembo?.
Ustaarabu unaanzia nyumbani tusisubir kuchafua ili mgeni aje afagie. Nina iman hili twaweza tukiamua
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom