Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 13,633
- 29,909
Kama mnavocomment yanapotokea Zanzibar kwa wakristo hawatakiwi Zanzibar,...je tuamini kwamba waislamu hawatakiwi Arusha? kama jibu siyo basi sote na tuamini kwamba haya ni matashi ya watu na si kitu kinachohusiana na Dini...
mkoma tembo. hamna mkristo aliye mkristo anayeweza kumdhuru asiye mkristo...hata kama huyo asiye mkristo atamtukana Yesu kwa aina yote ya matusi mkristo hapasw hata kumgusa kwa ncha ya kidole. yesu akasema nawaachia amri mpya nayo ni upendo. na mtu akimpenda anayempenda yeye afanya ziada gan?maana hata wasio mjua kristo wanatenda hayo hayo...wapenden wanaowaudh,wabarikin wanaowalaan.....kwa hiyo hakuna MKRISTO Anayeweza dai ye MKRISTO anatakiwa amuue au amdhuru asiye Mkristo.
Maana anayeish kwa upanga atakufa kwa upanga....
binadamu..taken sana upendo ndo uti wa Mgongo.
kuhusu zenj....inasemekana na weng kuwa kuna kikund cha watu ambacho hakipend ona wakristo( makafiri) wakiish huko.