Shekhe Arusha Amwagiwa Tindikali

Shekhe Arusha Amwagiwa Tindikali

Status
Not open for further replies.
naludia tena kusema IGP na timu yake wanatakiwa kutupatia majibu,nchi hii usalama umefanywa nao ni sehemu ya siasa.
au ndio muendelezo wa JK kuwa na wao waache unyonge.
serikali ya ccm na vyombo vya dola lazima siku 1 watawajibika kwa haya wanayotufasnyia watanzania
 
Mie ni mkristo. Lakini napinga vurugu. Naamini katika maridhiano ya kuongea. Sio kuuana au kujeruhiana. Chuki inazidi kuwa kubwa na malipizo yasiyokuwa na kikomo
 
Hii imetokea asubuh leo wakati imamu huyo na mwanae wakienda msikitin kuswal swali ndipo alipojitokeza kjana huyo na kuwamwagia kimiminika hko.wapo Hosptil ya mkoa ya Mount Meru wamelazwa.
Imamu huyo ameeleza kuwahis vijana wa msikitin pale wanaojiita "wafia jihad" ndio waliotekeleza shambulio hlo baada ya kuwa na ugomvi ndan ya msikiti huo"
Pole kwa waathirika na ndugu zangu mtambue tu hiz dini tumeletewa isiwe kigezo cha kuuwana.


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
Ifike wakati serikali itunge sheria kali ikiwezekana ya kuwanyonga wale watu wanaomwagia wengine tindikali!
 
Hali hii ikiachwa iendelee itasababisha madhara makubwa. Hadi mawaziri na wabunge watakapomwagiwa tindikali ndio serikali itashituka!
 
Hawa walio mwagia hi tindi kali lzm watakuwa ni wale wagalatia walio vaa kanzu halafu wakaripua mabomu kwenye mkutano wa chadema!

Ugalatia nuksi!
 
Shehe Mkuu wa Msikiti wa Ijumaa jijini Arusha shehe Mustafa Mohamed na Mtoto wake wamemwagiwa Tindikali na watu wasiojulikana.

Na mtoto wake wa miaka 10 hali yake ni mbaya zaidi kuliko baba
SOURCE: Supermix EA Radio


I hate this!!!!!

Jamani hata watoto????
 
Jamani binadamu tuukumbuke utu wetu!!!!
Nimemsikia akihojiwa ITV, ni jambo la kutia aibu.
Watanzania tunavuna matunda ya kutowapa elimu ya maarifa kuhusu maadili vijana wetu.
sasa wanakua bila maadili, bila utu bila uungwana.
Na bado tutajuta sana kutokuzingatia malezi, kuhubiri chuki, kuacha watoto wakue bila usimamizi mashuleni na manyumbani.
 
Hawa walio mwagia hi tindi kali lzm watakuwa ni wale wagalatia walio vaa kanzu halafu wakaripua mabomu kwenye mkutano wa chadema!

Ugalatia nuksi!

busara ya mtu hupimwa kwa maneno yake! chuki binafsi at work!
 
Oh! My God! Nisaidie kusoma ulívyo andika tafdhal.

Namaanisha kuna. Matundu kwenye mwili yanahusika kutolea uchafu Tu NA ukilazimisha. Kupitisha vituvisafi. Vitachafuka fikaArusha ujionee usiulize Chadema inaipeleka wapi ikikuuma njoo ugombee nafasi yoyote uip
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom