Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,945
- 4,499
Super mix!!! Radio gani hiyo?
East Africa Radio.
Super mix!!! Radio gani hiyo?
huyo atakuwa alikuwa anapinga uamsho!!! Na jana waliachiwa hivyo wanasheherekea!!! Ha ha ha!!! Halafu kuna mijitu eti inasema cdm na tindikali, falasi nyie. Cdm ni chama cha wapenda amani!!! Wewe wekeni green brigate na polism wenu pembeni uone kama cdm ikiwa peke yake inaleta fujo. Chama cha kuwakomboa watanzania hiki.
Nimeipenda sana post hii Mkuu!
Copy kwa Chabruma.
m4c m4c m4c
Kwani Chadema wanaswalisha misikitini? Hizo ni hoja za kitoto.Hivi kunani huko ARUSHA? CHADEMA wanaipeleka wapi ARUSHA?
si mlisema ni 2015.au mmeona mziki mnene?m4c imefanya nini tena hapa mkuu, ni lazima change itokee Tanzania, hata kama si 2015 but in near future.
Mkuu hizo tindikali mbona zilikuwepo mashuleni na vyuoni toka zamani na hakukuwa na upuuzi kama huu?Fanya analysis ni acid gani hiyo maana obviously itakua nyingi kuweza kumwagia watu wawili, pima afu fuatilia maduka yanayouza tindikali karibu kujua ni nani alinunua hivi karibuni, kamata list afu peleleza kisirisiri kila moja alienda kuitumia wapi... Kamata raia hizo zisizo na moyo
Kuna Padre anaamka asubuhi asubuhi kwenda msikitini?Padre hajausika kweli hapo??
Huko Middle east wanapochinjana wenyewe kwa wenyewe na kukataa serikali zao M4C inahusika?m4c m4c m4c
Kwa mtu anayeenda kufanya uhalifu kwenda kuichukua shuleeni ye naye atakua professional aisee, afu shule gani igawe tindikali ovyo kimya kimya...Mkuu hizo tindikali mbona zilikuwepo mashuleni na vyuoni toka zamani na hakukuwa na upuuzi kama huu?