Shein akataa uwaziri, asusia kikao

  • Mh Chain alikuwa na udhuru wakati kikao hiki kinaendelea alikuwa anakutana nahawa waliofanya fujo BOKO HALAM aah Alkaida hapana jumuia ya kuamasha dini iliyolala hapana hawa WAHUNI wa UNGUJA msiseme maneno ya kudhani Zanzibar ni nchi kama ilivyo Tanganyika

Jina lako litajibu haya uliyoyasema
 
kweli kuna haja ya kua na serikali ya tanganyika..wao huko zenji wana vikao vyao hatuhusishwi kwanini sisi vya kwetu tuwahusishe wao??
 
Tupe sababu za kukosekana kwake kwenye kikao hicho badala ya hizi habari kutoka Udaku street
 
Aliapa kwamba Seif/cuf hawataingia ikulu wakati wa uhai wake. Naona Israel kamtia upofu asije akaona Maalim anavyopishana na Shein Ikulu. Ingalau aishie kusikia tu, maana hata anayesaini matibabu yake ni adui yake mkubwa aliyewahi kumtia ndani kwa uhaini, lakini sasa ni waziri wa afya tena kwa tiketi ya cuf, Mh. Haji Duni Haji! Naomba tu Israel amuacheache angalau hadi Uamsho utakapofanikisha ndoto yake ya muda mrefu ya kuuvunja muungano!

hivi ndoto ya uamsho ni kuvunja muungano tuu???????
 
Acha Uzushi na Uongo; Mkutano wa Baraza la Mawaziri Rais wa Zanzibar haudhurii, hiyo imebadilishwa toka Mwinyi alipokuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano.
Shein aliapishwa kuwa waziri kwenye baraza la mawaziri ,ngoma inogile haya basi tutaona mwisho wake
 
uyo naye mnamuhesabu kweli, hata wazenji nawadharau hadi leo kuwa na rais ambaye yupo kama hayupo yaani nikiwmwangalia huwa namwonea huruma tu. kwanza hadi leo hajui kama yeye ni rais....mtu walimwokota shambani analima wakamleta kuwa makamu hata shukrani hana...unaambiwa walipokuwa wanaenda kumwita aonane na rais, alikuwa shamba analima, akashangaa madefender yanakuja, alitupa jembe akatimua mbio, mapolisi wakaenda kwa upole wakamwambia mhehsimiwa unaitwa na rais.....alipofika kwa rais akaambiwa atakuwa makamu...hakuamini. amekuwa makamu, amenawiri kwa miaka mingi vile, alipopata akili ndo anajifanya kutufanyia wabara nyodo....hata huyo makamu wa sasaivi naye atakuwa hivyohivyo..unajua wazenji kwanza wajinga, siku zote huwa wanachaguliwa tu nani wa kuwatawala na ccm na wote wanaowekwa pale huwa wale ambao ni wapo kama hawapo vile....ni wa kuwaonea huruma tu aisee.
 
Hey you shut up or it will cost u.mkuu wa wilaya atakua kikwete na sio shein!tafadhali bwana linda heshma yk!!!respect yourself guy!
kwi! kwi! kwi! Nyinyi mpo chini ya utawala wa JK kwahiyo mfunge bakuli lenu huu ni utawala wa makachaa kwahiyo mkijaribu kuleta fujo zenu tutashusha vua za mapolisi hapo mkione cha mtema kuni
 
Yeah, he is the president of Republic of Zanzibar, he has his government and cabinet! so why do people mind his absence in Tanganyika's cabinet? Let him work for his people first, baadae atakuja kama nafasi na nafsi itakuwa inamruhusu.
Am beging your pardon, what do zanzibaries do in Tanganyikas' cabinet (Dr. Gharib Bilal, Shams Vuai Nahodha, Dr. Hussein Mwinyi and many of them you can mention yorself), and what do zanzibaries do in Tanganyikas' parliament (Hamad Rashid and his coaligues). Kama watanganyika tumewageuza koloni kama mnavyodai, why don't you call back home your fellow country men and announce for independence?
 
8E9U9610.JPG


Nyuso za "Ukisusa Wenzio Wanakula" katika kikao cha leo cha cabinet, ambacho Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu ndio mlolongo wa uongozi wa taasisi hiyo kwa mujibu wa Katiba, ambayo pia inamtaka Rais wa Zanzibar ahudhurie. Japo huwa hajisumbui. Akichelea kuonekana ni Waziri, kitu ambacho amekipinga vikali.

Je ni wakati wa kila upande wa Muungano kuwa na cabinet yake kivyake?
Mbona hueleweki?.. Hiki ni kikao cha baraza la Mawaziri wa Jamhuri ya Muungano wakati Dr.Shein ni rais wa Zanzibar sio wa Muungano wala hana kiti ktk baraza hilo kama ambavyo JK hana kiti ktk baraza la Mawaziri la Zanzibar. Kama angekuwa rais wa Zanzibar na makamu wa rais wa Jamhuri basi bla shaka angehudhuria..
 
....

Pia kwa kuwasaidia wasiojua.

Mawaziri wote wa CUF wakiongozwa na Maalim Seif walio ndani ya SUK, wanatekeleza sera za CCM!.

Ukishakubali kuolewa!, unatekeleza anachotaka bwana wako!. Kwenye SUK, CUF ni mke tuu kama ilivyo Zanzibar kwenye Muungano!.

Hili, bila shaka ni tangazo la vita!
 
Tanganyika nchi? Zanzibar ni semi autonomous area, ingawa haina recognition UN lakini ni nchi. Lakini tanganyika je? Sio kitu maana mumejisaliti na kulikataa jina la tanganyika mkawa mnakumbatia utanzania
Pinda alishawaambia na hajafuta usemi.Zanzibar sio nchi,hata Court of Appeal ilishahukumu kesi na kusema Znz hakuwezi kufanyika uhaini kwa viele sio nchi ila sehemu ya nchi.Hivyo hata hiyo katiba yenu na Taarabu yenu(wimbo muitao wa taifa)ni kiini macho tuu maana sidhani kama vinatambulika UN.
Acheni kiburi mko kwenye kona mbaya kama akiingia kiongozi asiyeendekeza mambo yenu kidomodomo
 
Shein haingii kama waziri kwenye baraza la mawaziri; anaingia kama Rais wa Zanzibar... mawaziri ni wale walioteuliwa na Rais wa Muungano, Shein hakuteuliwa na Kikwete na nafasi yake ya kuingia ni ya Kikatiba.
 
Kwa kusaidia tuu, anaesaini matibabu yake ni katibu mkuu na sio waziri!.Waziri ni political post kusimamia utekelezaji wa sera na sio nafasi ya utendaji wa daily running ya wizara!. Anachofanya waziri Duni ni kuwasilisha tuu mahitaji bajeti ya matibabu yake kule BLW na sio kuidhinisha matumizi!.

Pia kwa kuwasaidia wasiojua.

Mawaziri wote wa CUF wakiongozwa na Maalim Seif walio ndani ya SUK, wanatekeleza sera za CCM!.

Ukishakubali kuolewa!, unatekeleza anachotaka bwana wako!. Kwenye SUK, CUF ni mke tuu kama ilivyo Zanzibar kwenye Muungano!.


kaka Pasco punguza unazi wa CCM....!
 
Acha Uzushi na Uongo; Mkutano wa Baraza la Mawaziri Rais wa Zanzibar haudhurii, hiyo imebadilishwa toka Mwinyi alipokuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano.
Kwa nini ilibadilishwa?

Hata hivyo, nilisoma sehemu kuwa Shein aliapishwa na Kikwete kuwa waziri asiye na wizara maalum katika baraza la mawaziri la Tanzania. link SHEIN AAPISHWA KUSHIRIKI VIKAO VYA BARAZA LA MAWAZIRI.

Mantiki ya kumwapisha kama utaratibu umebadilika ni ipi? Au inamaanisha nini?
 
Kwa nini ilibadilishwa?

Hata hivyo, nilisoma sehemu kuwa Shein aliapishwa na Kikwete kuwa waziri asiye na wizara maalum katika baraza la mawaziri la Tanzania. link SHEIN AAPISHWA KUSHIRIKI VIKAO VYA BARAZA LA MAWAZIRI.

Mantiki ya kumwapisha kama utaratibu umebadilika ni ipi? Au inamaanisha nini?

Ni Kushiriki Vikao Vya Baraza la Mawaziri; Sio kama Mmoja wa Mawaziri wa Kikwete, Na naona hii Sheria wameiweka kwenye katiba kuwafurahisha Ndugu zetu; Kwahiyo hana Ulazima na hana Cheo Chochote

Ndio kama nilivyosema Wakati wa JK Nyerere ilikuwa na Ulazima wa Jumbe au Mwinyi kuhudhuria; na Mwinyi aliiondoa hiyo kumpa Madaraka zaidi Rais wa Zanzibar...
 
Back
Top Bottom