Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Nasikia haoni kabisa na ukomandoo umeishia jalalani
Aliapa kwamba Seif/cuf hawataingia ikulu wakati wa uhai wake. Naona Israel kamtia upofu asije akaona Maalim anavyopishana na Shein Ikulu. Ingalau aishie kusikia tu, maana hata anayesaini matibabu yake ni adui yake mkubwa aliyewahi kumtia ndani kwa uhaini, lakini sasa ni waziri wa afya tena kwa tiketi ya cuf, Mh. Haji Duni Haji! Naomba tu Israel amuacheache angalau hadi Uamsho utakapofanikisha ndoto yake ya muda mrefu ya kuuvunja muungano!