Shein akataa uwaziri, asusia kikao

Yaani wengine hawana isipokuwa umbutwai ,hivi ikiwa kwa mawazo yako Zenji ni kama wilaya ,sawa hilo halina shaka ni kama kaeneo flaniflani hivi ni kanchi kadogo sana ,ila Tanganyika ndani ya India inaweza kuwa kama kijiji cha India ndani ya India labda tuseme pengine ni kama Kerala ,sasa huoni kama unajidharaulisha kwa kutokujua kama nyama si mboga ? Ila Samaki ni nyama kama ilivyo ya ng'ombe au kuku. Hivyo Zanzibar itabaki kuwa Nchi kama ilivyo Tanganyika.

Ukifananisha na Kerala utaona Kerala ni kubwa sana. Hii labda tuseme ipo sawa ka Cochin tu.

Vile vile Tanganyika si nchi bali Zanzibar ni nchi. Tanganyika imejitwalia jina la Tanzania na kulikana jina lao la asli.

Nimepanda sana uchambuzi wako. Allah akubarik sana

 
Acha Uzushi na Uongo; Mkutano wa Baraza la Mawaziri Rais wa Zanzibar haudhurii, hiyo imebadilishwa toka Mwinyi alipokuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Mkuu acha uongo. Rais wa Zanzibar ni mjumbe wa baraza la mawaziri.
 
Kweli mijamaa ya Tanganyika kiboko, ikafanya kila njia kuhakikisha Rais wa nchi huru ya Zanzibar anateremshwa hadhi hadi kufikia Waziri? Namkumbuka Dr Salmin (komandoo) aliyekataa upuuzi huu! Na Wazanzibari wakakubali? ama waliwaendea Loliondo?
 
mnabahati sana polotics sizihitaji maana mimi si mshirikinala sina pesa za kutoa rushwa , wala sina kipaji cha kudangaya...lakini ingekuwa else where , ningekua kiongozi wenu halafu muone kama kungekuwa na kelele za Muungano..simply nalazimisha serikali moja, zanzibar inakuwa full mkoa shein anakua full mkuu wa mkoa..hakuna kelele maana Watz hamuendi bila viboko..wape nafasi..utakoma..jambo la dakika 10 watajadili masaa saba...tena bila muafaka..chezea wa tz wewe...miguu juu..baa zimejaa ..kazi mwisho saa nane..halafu bado maisha magumu..
 
Aliutishia muungano akidai anayatambua yale mambo 11 tuu hivyo akajenga mazingira ya kubadili katiba ya Zanzibar ili aengeze kipindi cha tatu aushughulikiea muungano!. Alishughulikiwa ipasavyo hadi mke akaporwa!.

Yaani wakishashika madaraka wanajisahau na kufikiri wamekuwa wakubwa sana
 
Kwanini jk asimteue awe mkuu wa wilaya kwani Mimi naiona zenji Kama wilaya tu

zan 7.jpg zan  flag.jpg View attachment 56417 406964_133080490144308_100003270728644_145137_222172658_n.jpg 531163_114068558730707_100003826912177_81267_709699054_n.jpg View attachment 56423
mkuu picha zitakusaidia kwa kuwa hukusoma
rais wa nchi ya Zanzibar
bendera ya taifa la Zanzibar
balazi wa zanzibar UN
sarafu ya zanzibar
passport ya zanzibar
fahari ya jamuhuri ya watu wa zanzibar
tunachokitaka sasa ni maslahi ya kiuchumi ndani au nje ya muungano wa TZ

RAIS WETU MPENDWA SHEIN USIENDE KWENYE HIYO MIKUTANO YAO HAITUSAIDII LOLOTE
 
mmh, kweli Shein, kaamua kuonyesha makucha! huu ni wakati muaafaka wa kuuvunja muungano, coz hata wale viongozi wa juu kisiasa ambao ndio wenye jukumu la kuulinda muungano hafanyi hivyo..., tuwaachie zenji yao na ss na Tanganyika yetu, kwani nini kinaharibika hapo.. then tunawavamia, tunawaweka chinii ya himaya yetu, kama China wanavyawakalia Hong Kong, Mongolia, Taiwan n.k
 
View attachment 56414View attachment 56416View attachment 56417View attachment 56419View attachment 56422View attachment 56423
mkuu picha zitakusaidia kwa kuwa hukusoma
rais wa nchi ya Zanzibar
bendera ya taifa la Zanzibar
balazi wa zanzibar UN
sarafu ya zanzibar
passport ya zanzibar
fahari ya jamuhuri ya watu wa zanzibar
tunachokitaka sasa ni maslahi ya kiuchumi ndani au nje ya muungano wa TZ

RAIS WETU MPENDWA SHEIN USIENDE KWENYE HIYO MIKUTANO YAO HAITUSAIDII LOLOTE

Kuna jeshi la wananchi wa zanzibar pia?
 
View attachment 56414View attachment 56416View attachment 56417View attachment 56419View attachment 56422View attachment 56423
mkuu picha zitakusaidia kwa kuwa hukusoma
rais wa nchi ya Zanzibar
bendera ya taifa la Zanzibar
balazi wa zanzibar UN
sarafu ya zanzibar
passport ya zanzibar
fahari ya jamuhuri ya watu wa zanzibar
tunachokitaka sasa ni maslahi ya kiuchumi ndani au nje ya muungano wa TZ

RAIS WETU MPENDWA SHEIN USIENDE KWENYE HIYO MIKUTANO YAO HAITUSAIDII LOLOTE

Mbona kwa sasa mnafaidika zaidi kiuchumi kuliko bara?, Umeme wetu mnatumia bure, kodi inayokusanywa bara kwa vitu vinavyotoka zanzibar inarudishwa yote lakini inayokusanywa zanzibar kwa vitu vinavyotoka bara hairudi.

Sijui hiyo hasara ya kiuchumi zanzibar mnayopata ni ipi. Labda kunyimwa haki ya kuwa taifa la kidini.
 
Si kweli mkuu, hakuna kilichobadilishwa, kama hajahudhuria atakuwa na udhuru tu!

Yeah, Labda wakati wa Mwinyi labda sababu yeye ni Wa Zanzibar, na Zanzibar hakuona sababu ya kuleta Rais...

Naona kushoto kwa Rais kikwete, kuna Kiti, Makaratasi Chupa ya Meza kama Mtu Mmoja amepotea Vile, Na atakuwa na

Cheo zaidi ya Waziri Mkuu kwahiyo ni SHEIN then...
 
Acha Uzushi na Uongo; Mkutano wa Baraza la Mawaziri Rais wa Zanzibar haudhurii, hiyo imebadilishwa toka Mwinyi alipokuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Hicho kiti kati ya PINDA na JMK ni cha nani? maana ndio pekee kiko wazi ikimaanisha kulikuwa na top mwingine wa kukaa hapo na hajakuja.
 
Mkuu acha uongo. Rais wa Zanzibar ni mjumbe wa baraza la mawaziri.

Yeah, Labda wakati wa Mwinyi labda sababu yeye ni Wa Zanzibar, na Zanzibar hakuona sababu ya kuleta Rais...

Naona kushoto kwa Rais kikwete, kuna Kiti, Makaratasi Chupa ya Meza kama Mtu Mmoja amepotea Vile, Na atakuwa na

Cheo zaidi ya Waziri Mkuu kwahiyo ni SHEIN then...
 
Lakini hili Baraza ni Kubwa sana. Hivi wanajamvi haiwezekani kuwa na baraza lenye mawaziri compent 18 tu?
 
Back
Top Bottom