Sheila Mkumba wa Azam Tv unautesa mtima wangu

Mtoto Ma asha Allah, nakupenda sana , Sheila naomba tuanzishe safari pamoja, nateseka sheila juu yako, inafikia kipindi usiporipoti habari kwa siku nachukia sana
Nadhani upo humu, hata kama haupo una marafiki humu , kwa wale marafiki wa Sheila Mkumba naomba munifikishia ujumbe huu " Nakupenda Sheila mtoto wa Mkumba" from my Heart,

View attachment 530400

d17cb6a97982f5c1ddbfed67ff9437da.jpg

Siku zingine jifunzeni kuweka humu Picha za Mademu wazuri / wakali na siyo Migari yenu ya Mkaa kama hii sawa?
 
Duuuuh!!! Mkuu hivyo tu umemaliza kufikisha hisia zako???!!!

Ukimpata basi tuletee mrejesho ili wengine tutumie mbinu yako.
 
Mtoto Ma asha Allah, nakupenda sana , Sheila naomba tuanzishe safari pamoja, nateseka sheila juu yako, inafikia kipindi usiporipoti habari kwa siku nachukia sana
Nadhani upo humu, hata kama haupo una marafiki humu , kwa wale marafiki wa Sheila Mkumba naomba munifikishia ujumbe huu " Nakupenda Sheila mtoto wa Mkumba" from my Heart,

View attachment 530400

d17cb6a97982f5c1ddbfed67ff9437da.jpg
Tafuta pesa dogo ili uweze kumliki vitu vizuri sio kuja hapa kutuambia nampenda unadhani atakuja hivi hivi?wanaangalia wapi kuna neema
 
Mtoto Ma asha Allah, nakupenda sana , Sheila naomba tuanzishe safari pamoja, nateseka sheila juu yako, inafikia kipindi usiporipoti habari kwa siku nachukia sana
Nadhani upo humu, hata kama haupo una marafiki humu , kwa wale marafiki wa Sheila Mkumba naomba munifikishia ujumbe huu " Nakupenda Sheila mtoto wa Mkumba" from my Heart,

View attachment 530400

d17cb6a97982f5c1ddbfed67ff9437da.jpg
Hata sio mzuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom