poa mkuuSubirini likizo ishe aya mambo yatakwisha tu
Na tena kakiosha hayo mapoda poda usoni kanaweza kabisa mtishia mtoto hadi akalala...Mmmmh mbona ni 'kabaya'..!?????
Mtoto Ma asha Allah, nakupenda sana , Sheila naomba tuanzishe safari pamoja, nateseka sheila juu yako, inafikia kipindi usiporipoti habari kwa siku nachukia sana
Nadhani upo humu, hata kama haupo una marafiki humu , kwa wale marafiki wa Sheila Mkumba naomba munifikishia ujumbe huu " Nakupenda Sheila mtoto wa Mkumba" from my Heart,
View attachment 530400
Tafuta pesa dogo ili uweze kumliki vitu vizuri sio kuja hapa kutuambia nampenda unadhani atakuja hivi hivi?wanaangalia wapi kuna neemaMtoto Ma asha Allah, nakupenda sana , Sheila naomba tuanzishe safari pamoja, nateseka sheila juu yako, inafikia kipindi usiporipoti habari kwa siku nachukia sana
Nadhani upo humu, hata kama haupo una marafiki humu , kwa wale marafiki wa Sheila Mkumba naomba munifikishia ujumbe huu " Nakupenda Sheila mtoto wa Mkumba" from my Heart,
View attachment 530400
Hata sio mzuriMtoto Ma asha Allah, nakupenda sana , Sheila naomba tuanzishe safari pamoja, nateseka sheila juu yako, inafikia kipindi usiporipoti habari kwa siku nachukia sana
Nadhani upo humu, hata kama haupo una marafiki humu , kwa wale marafiki wa Sheila Mkumba naomba munifikishia ujumbe huu " Nakupenda Sheila mtoto wa Mkumba" from my Heart,
View attachment 530400
Kwani Hajaolewa huyu?Kwani huna mke ? Mbona mna tamaa hivi nyinyi ukimpata tena unamtaka na Fatma Almasi Nyangasa
Mwanamke uremboHizo ni makeup zinakuchanganya
Ila ye ndo kashapenda.. si unajua mkuu kupnda ni ugonjwaMmmmh mbona ni 'kabaya'..!?????
Shule zinafunguliwa lini??