Umenikumbusha kitu muhimu: Yesu akiwa pale msalabani, ilitolewa kauli, kama yeye ni masiha, basi ajiokoe yeye mwenyewe! Mwe! usije ukamlinganisha Mnajimu na huyu Yesu!
.... Anatabiria wengine kufa lakini yeye hajawahi kusema atakufa lini. ashindwe na alegee na mapepo yake..
Source: TBC1 Habari ya saa 2
Yuko kitandani anaumwa.... TBC wameonyesha kwenye taarifa ya habari ya saa 2 usiku.
ANACHEZA NA MUNGU HUYU!!!!!!!!!
Huyu mtu ni famous namna hii mpaka anaonyeshwa TBC? Ana wadhifa gani wa kitaifa?
Anaumwa nini?
Ndie ameshinda tender ya kutoa ulinzi kwa mgombea wa CCM
Huyu mtu ni famous namna hii mpaka anaonyeshwa TBC? Ana wadhifa gani wa kitaifa?
Ndie ameshinda tender ya kutoa ulinzi kwa mgombea wa CCM
hahahhahah! Hii kali, alishindana na wachawi wenzake?? Hao wachawi wote ni CCM??