Sheikh Yahya Alazwa !!

Unajua kuna watu wanajua mungu amelala kumbe YUPO,ALIKUWEPO NA ATAKUWEPO.
Dhihaka dhidi ya muumba hujibiwa
 
Umenikumbusha kitu muhimu: Yesu akiwa pale msalabani, ilitolewa kauli, kama yeye ni masiha, basi ajiokoe yeye mwenyewe! Mwe! usije ukamlinganisha Mnajimu na huyu Yesu!

Yeah hata mie nimekumbuka hilo. Ni kweli walimkashifu kabla hajautwaa uhai wake na kufufuka baada ya siku ya tatu. He is alive now and forever.
 
Source: TBC1 Habari ya saa 2

Yuko kitandani anaumwa.... TBC wameonyesha kwenye taarifa ya habari ya saa 2 usiku.

ANACHEZA NA MUNGU HUYU!!!!!!!!!

Huyu mtu ni famous namna hii mpaka anaonyeshwa TBC? Ana wadhifa gani wa kitaifa?
 
Wakuu zangu,
Ifikie wakati tuwe na heshima na hizi dini zetu pamoja na kutambua ukubwa wa elimu kwani Sheikh Yahya ni mnajimu (Astronomy) ambaye huzungumzia vitu ambavyo dini zote na sayansi zinavikubali kuwa elimu hiyo ipo..

Ameitumia vibaya elimu hiyo ni swlaa jingine kabisa kuliko kuingiza habari za kumlinganisha Sheikh Yahya na Yesu.. Kwanza ni ukosefu wa imani na kumdharau Yesu mwenyewe kwani Utabiri sii kitu cha ajabu na wamefanya watu wengi sana hata kabla ya Yesu mwenyewe kuzaliwa.

Majini yapo, aidha tuamini au tusiamini lakini yapo na tunashindwa kuelewa kwa sababu sisi sote hatuna elimu hiyo.
Sheikh Yahya ni binadamu na tumwombee uhai na afya nzuri kama binadamu wengine kwani hakuna sehemu hata moja amedai Unabii au yeye kuwa sawa au zaidi ya Yesu. Sisi ndio tunamfananisha hivyo kubeba madhambi yote.
 
Huyu mtu ni famous namna hii mpaka anaonyeshwa TBC? Ana wadhifa gani wa kitaifa?

Mcheki hapa na mike kibao mbele yake....ni maarufu sana 2005-2010 basi...hicho kichupa na maji mekundu ndio ndumba

sheikh-yahya.jpg
 
Ebwanaaaaa eeeee this topic is very hot afu ina touch sana.Mimi ningependelea sana huyu Sheikh apone na awe na afya tele ili siku ya siku tuje jionea Yale yooote aliyokuwa akitabiria ili tujue na kujidhihirishia kuwa kai take yeye na Mungu Je, nani zaidi maana yeye amekuwa akitoa matamko utadhania yeye ndo Mungu wetu au yeye ni Yesu au Masihi.Ashindwe tena aregee in the name of Jesus crist
 
Alikuwa hajatabiri kuwa atalazwa kabla ya Uchaguzi Mkuu? Anatakiwa apone haraka kabla ya mkutano wa mwisho 30.10 maana tuna uhakika JK ataanguka siku hiyo kama daktari wake (Yahya) atakuwa mgonjwa tena!
 
bado JK anayelindwa na majini ya yahaya ambayo yameshindwa kumlinda yeye mwenyewe
 
Mimi nataka huyu mlinzi wa rais wetu mpendwa apone kwani akifa ule ulinzi wa majini utaondoka hivyo rais wetu mpendwa atarudia kuanguka anguka na siku ya uchaguzi bado iko mbali, na kwa vile ugonjwa umekomaa kuanguka mara tatu kwa siku si mchezo.
 
naupenda huu wimbo

NIAGIENI , NIAGIANI X 2
MIMI NAENDA ZANGU.

kuna yoyote anayejua maneno ya ubeti mwingine? msaada.....:tonguez:
 
Juzi mlimani tv walikanusha uvumi kuwa amefariki dunia kwani habari zilienea kuwa mlinzi wa kikwete amekufa.............................natamani afe kwani anaweza kuleta machafuko kwa matamshi yake.........mungu hapendi ila sina hakika kama allah naye hapendezwi na matamshi ya huyu mchawi wa kikwete
 
Back
Top Bottom