Sheikh Yahya Alazwa !!

Sheikh Yahya Alazwa !!

Juzi mlimani tv walikanusha uvumi kuwa amefariki dunia kwani habari zilienea kuwa mlinzi wa kikwete amekufa.............................natamani afe kwani anaweza kuleta machafuko kwa matamshi yake.........mungu hapendi ila sina hakika kama allah naye hapendezwi na matamshi ya huyu mchawi wa kikwete
Kumbe bado yupo, mzima?
 
Nakutakia afya njema Sheikh..............na upone haraka..............
 
Natamani akutane na Mungu aliye hai na kumbadilisha ili ashuhudie kwamba alikuwa anatumikishwa na shetani kama vile tunavyowaona wachawi wengine wakishuhudia baada ya kukutana na YESU.
Angalia ATN Jumatano kipindi cha "THIS IS MY STORY".
 
huyu ndie anaekaimu ofisi ya shehe Yahya Hussein katika nyakati hizi za ugonjwa wake.
 
Back
Top Bottom