SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Huyu mwanga hana lolote, kishaona mtu wake afya mgogoro analeta za kuleta
Uchuro at the peak resonance!
Anayoyaongea live pale Channel Ten yamekuzwa na vyombo vya habari? Be updated kuwa serikali inamtumia na kumwamini sana huyu bazazi. Jiulize kwa nini mpaka sasa inapofika saa kumi na mbili jioni barabara inayopita mbele ya ikulu (ocean road) inakatazwa kutumika nyakati hizo? ushauri usioonekana n.k.Labda vyombo vya habari vinakuza sana mambo, havijui utani na ukweli vinginevyo vingempuuza na kuacha kuitangaza hiyo habari
Mkuu umenena vyema. huyu mtu mmoja atakuja kuigharimu Tanzania big time.Hii ya DR.sLAA kufa na jk KUFA yanatoka wapi?????.
Huyu ni wakala wa serikali wa nguvu za giza???
Tunaomba ASISI ZISIZO ZA KISERIKALI ZITOE TAMKO NCHI HAIWEZI KUWA NA INDIVIDUAL AMBAYE HAGUSWI NA MKONDO WA SHERIA KWA UPOTOSHAJI.
TAFADHALI HII TUJADILI KWA KINA LEO ILI IKIWEZEKANA ASASI ZISIZO ZA SERIKALI ZIPAZE SAUTI.SHEIKH YAHAYA NI NANIIIIIIIIII ????.
MIMI NAAMINI KATIKA YESU KRISTU NA UHAI WA MTU UNAONDOLEWA NA MWENYEZI MUNGU KWA WAKATI WAKE APENDAO '' BWANA ANATOA NA NDIYE ANATWAA KWA WAKATI KWAKE BILA MWANADAMU KUJUA MUDA NA SAA.jINA LA MUNGU LITUKUZWE
ASHINDWE KATIKA JINA YESU KRISTU
nAWASILISHA
Na sasa kaja na "...mmojawapo wa wagombea wa urais mwenye uelekeo wa kushinda atafariki ghafla...."
Ofcourse kama alivyotwambia in 2005 kwamba raisi ajaye atakuwa mwanamke na kweli ikatokea!!!!!!!
Ahahahaaaaaaaaah kwa hiyo mtu wake ndio atapata matatizo...labda!!!!Huyu mwanga hana lolote, kishaona mtu wake afya mgogoro analeta za kuleta
Wanajamvi,
Nimesikiliza kwenye summary ya magazeti RFA asubuhi hii, kuwa yule Mtabiri na Mnajimu, aka "mzee wa ulinzi wa majini" amebashiri kwamba Mgombea mmoja machachari sana anayepania kuingia Ikulu katika uchaguzi huu, ATAKUMBWA NA MATATIZO MAKUBWA SANA!, lakini hajaeleza matatizo hayo kuwa yatakuwa ni ya aina gani!
Mnasemaje kuhusu bashiri za huyu mganga?...kuna haja ya kuzipa umakini bashiri zake?
Mimi wala siamini huu utabiri lakini najua kuwa Mungu daima anawachukia watu wenye kuvunja heshima za watu hata kuliko mafisadi na waizi.
Kwa kupora mke wa watu Dkt Slaa iwapo watanzania watafanya kichwa ngumu na kumpa kura zao basi uwezekano wa mabalaa kuikumba Tanzania ni mkubwa sana.
Usishangae hata siku ya kuapishwa kwake kukaambatana na kimbunga.Mkapa kulikuwa na nia mbaya katika kuingizwa kwake katika uraisi Angalia utawala wake ulishuhudia mabalaa yasiyo kawaida hapa Tanzania.Kwa Slaa hali itakuwa vurugu tupu.Ni afadhali hayo matatizo yamkumbe sasa wakati wa kampeni ili tuokoke huko mbele.