Sheikh Yahya: Aidha Kikwete au Slaa kufa kabla ya Oktoba 31!

PakaJimmy

JF-Expert Member
Apr 29, 2009
16,203
8,724
Wanajamvi,

Nimesikiliza kwenye summary ya magazeti RFA asubuhi hii, kuwa yule Mtabiri na Mnajimu, aka "mzee wa ulinzi wa majini" amebashiri kwamba Mgombea mmoja machachari sana anayepania kuingia Ikulu katika uchaguzi huu, ATAKUMBWA NA MATATIZO MAKUBWA SANA!, lakini hajaeleza matatizo hayo kuwa yatakuwa ni ya aina gani!

Mnasemaje kuhusu bashiri za huyu mganga?...kuna haja ya kuzipa umakini bashiri zake?
 
Ofcourse kama alivyotwambia in 2005 kwamba raisi ajaye atakuwa mwanamke na kweli ikatokea!!!!!!!
 
Wanajamvi,

Nimesikiliza kwenye summary ya magazeti RFA asubuhi hii, kuwa yule Mtabiri na Mnajimu, aka "mzee wa ulinzi wa majini" amebashiri kwamba Mgombea mmoja machachari sana anayepania kuingia Ikulu katika uchaguzi huu, ATAKUMBWA NA MATATIZO MAKUBWA SANA!, lakini hajaeleza matatizo hayo kuwa yatakuwa ni ya aina gani!

Mnasemaje kuhusu bashiri za huyu mganga?...kuna haja ya kuzipa umakini bashiri zake?
Huyo ni muongo tu anataka kutisha watu. Si unakumbuka mwaka 2000 akijua mkapa atashinda uchaguzi eti akatabiri rais anayekuja ana kakipara na anavaa miwani.
 
Wanajamvi,

Nimesikiliza kwenye summary ya magazeti RFA asubuhi hii, kuwa yule Mtabiri na Mnajimu, aka "mzee wa ulinzi wa majini" amebashiri kwamba Mgombea mmoja machachari sana anayepania kuingia Ikulu katika uchaguzi huu, ATAKUMBWA NA MATATIZO MAKUBWA SANA!, lakini hajaeleza matatizo hayo kuwa yatakuwa ni ya aina gani!

Mnasemaje kuhusu bashiri za huyu mganga?...kuna haja ya kuzipa umakini bashiri zake?
PJ,

Sheikh Yahya anatangaza biashara bila kulipia aisee, sijui kwanini waandishi wa habari bado wanampa nafasi.... kwakweli sijui kwanini waandhishi na vyombo vya habari vinapromote uchawi, ushirikina na unajimu

Inatia kinyaa
 
Mimi wala siamini huu utabiri lakini najua kuwa Mungu daima anawachukia watu wenye kuvunja heshima za watu hata kuliko mafisadi na waizi.

Kwa kupora mke wa watu Dkt Slaa iwapo watanzania watafanya kichwa ngumu na kumpa kura zao basi uwezekano wa mabalaa kuikumba Tanzania ni mkubwa sana.

Usishangae hata siku ya kuapishwa kwake kukaambatana na kimbunga.

Mkapa kulikuwa na nia mbaya katika kuingizwa kwake katika urais. Angalia utawala wake ulishuhudia mabalaa yasiyo kawaida hapa Tanzania. Kwa Slaa hali itakuwa vurugu tupu.

Ni afadhali hayo matatizo yamkumbe sasa wakati wa kampeni ili tuokoke huko mbele.
 
Nitamuamini iwapo uchaguzi hautofanyika mwaka huu na mgombea mmojawapo kufariki maana ktk moja ya tabiri zake alitabiri hivyo. Iwapo hayo yatatokea tutazipa uzito najimu zake.
 
Mimi wala siamini huu utabiri lakini najua kuwa Mungu daima anawachukia watu wenye kuvunja heshima za watu hata kuliko mafisadi na waizi.
Kwa kupora mke wa watu Dkt Slaa iwapo watanzania watafanya kichwa ngumu na kumpa kura zao basi uwezekano wa mabalaa kuikumba Tanzania ni mkubwa sana.
Usishangae hata siku ya kuapishwa kwake kukaambatana na kimbunga.Mkapa kulikuwa na nia mbaya katika kuingizwa kwake katika uraisi Angalia utawala wake ulishuhudia mabalaa yasiyo kawaida hapa Tanzania.Kwa Slaa hali itakuwa vurugu tupu.Ni afadhali hayo matatizo yamkumbe sasa wakati wa kampeni ili tuokoke huko mbele.

Hivi maana ya kupora ninini?...labda mwenye kamusi ya kiswahili online atuwekee ili kusaidia wengi wetu tunaotumia maneno bila kujua maana yake!

Lakini pia kwanini broda umeenda moja kwa moja kwa DrSlaa, una maana yeye ndiye analengwa?
 
mimi wala siamini huu utabiri lakini najua kuwa mungu daima anawachukia watu wenye kuvunja heshima za watu hata kuliko mafisadi na waizi.
Kwa kupora mke wa watu dkt slaa iwapo watanzania watafanya kichwa ngumu na kumpa kura zao basi uwezekano wa mabalaa kuikumba tanzania ni mkubwa sana.
Usishangae hata siku ya kuapishwa kwake kukaambatana na kimbunga.mkapa kulikuwa na nia mbaya katika kuingizwa kwake katika uraisi angalia utawala wake ulishuhudia mabalaa yasiyo kawaida hapa tanzania.kwa slaa hali itakuwa vurugu tupu.ni afadhali hayo matatizo yamkumbe sasa wakati wa kampeni ili tuokoke huko mbele.
avatar yako ina harufu ya udini
 
Wanajamvi,

Nimesikiliza kwenye summary ya magazeti RFA asubuhi hii, kuwa yule Mtabiri na Mnajimu, aka "mzee wa ulinzi wa majini" amebashiri kwamba Mgombea mmoja machachari sana anayepania kuingia Ikulu katika uchaguzi huu, ATAKUMBWA NA MATATIZO MAKUBWA SANA!, lakini hajaeleza matatizo hayo kuwa yatakuwa ni ya aina gani!

Mnasemaje kuhusu bashiri za huyu mganga?...kuna haja ya kuzipa umakini bashiri zake?
Nimesoma posts za wengi humu tumeishia kulaumu, kukosoa na kupuuzia hii ishu.
Kumbukeni sheikh yahaya anafanya kazi kama mshauri maalum pale IKULU ndo maana hata Salva hakukanusha fabrications zake kuhusu JK kupewa chapuo na kukubalika na kuhwa atakayegombea naye atakufa. Mimi ninaona kitu kingine ktk hii inayoitwa tabiri yake. Ametumwa kuwaandaa kisaikolojia watu kuhusu matokeo ya mpango unaopangwa dhidi ya huyo mgombea. Mimi nahisi SERIKALI ina mpango mbaya dhidi ya mtu ambaye watanzania wanaona ni chaguo lao. CCM na majambazi wake wana zawadi ndani ya box ambayo siku za karibuni wakiifungua patakuwa hapakaliki.

Ingekuwa uwezo wangu, huyu babu yahaya angelikuwa amefungwa bakuli lake na kutulizwa mpaka uchaguzi uishe. kumbukeni CCM watafanya lolote lile ilhali kubakia madarakani. Wapo tayari hata kuua watanzania ili watanzania wawakubali na kuwapa dhamana.
 
Wanajamvi,

Nimesikiliza kwenye summary ya magazeti RFA asubuhi hii, kuwa yule Mtabiri na Mnajimu, aka "mzee wa ulinzi wa majini" amebashiri kwamba Mgombea mmoja machachari sana anayepania kuingia Ikulu katika uchaguzi huu, ATAKUMBWA NA MATATIZO MAKUBWA SANA!, lakini hajaeleza matatizo hayo kuwa yatakuwa ni ya aina gani!

Mnasemaje kuhusu bashiri za huyu mganga?...kuna haja ya kuzipa umakini bashiri zake?

Hujasikia vizuri; kasema kuwa mgombea uraisi mmojawapo kati ya chadema au ccm lazime afe kabla ya uchaguzi mkuu mwaka huu. huyu mzee jamani!
 
Kwa kupora mke wa watu Dkt Slaa iwapo watanzania watafanya kichwa ngumu na kumpa kura zao basi uwezekano wa mabalaa kuikumba Tanzania ni mkubwa sana.
Usishangae hata siku ya kuapishwa kwake kukaambatana na kimbunga.Mkapa kulikuwa na nia mbaya katika kuingizwa kwake katika uraisi Angalia utawala wake ulishuhudia mabalaa yasiyo kawaida hapa Tanzania.Kwa Slaa hali itakuwa vurugu tupu.Ni afadhali hayo matatizo yamkumbe sasa wakati wa kampeni ili tuokoke huko mbele.

Prophet of Doom
 
Maneno ya huyu commedian huwa hayanitishi na wala hayaniingi akilini mwangu siku zote
wanajamvi,

nimesikiliza kwenye summary ya magazeti rfa asubuhi hii, kuwa yule mtabiri na mnajimu, aka "mzee wa ulinzi wa majini" amebashiri kwamba mgombea mmoja machachari sana anayepania kuingia ikulu katika uchaguzi huu, atakumbwa na matatizo makubwa sana!, lakini hajaeleza matatizo hayo kuwa yatakuwa ni ya aina gani!

mnasemaje kuhusu bashiri za huyu mganga?...kuna haja ya kuzipa umakini bashiri zake?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom