PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Wanajamvi,
Nimesikiliza kwenye summary ya magazeti RFA asubuhi hii, kuwa yule Mtabiri na Mnajimu, aka "mzee wa ulinzi wa majini" amebashiri kwamba Mgombea mmoja machachari sana anayepania kuingia Ikulu katika uchaguzi huu, ATAKUMBWA NA MATATIZO MAKUBWA SANA!, lakini hajaeleza matatizo hayo kuwa yatakuwa ni ya aina gani!
Mnasemaje kuhusu bashiri za huyu mganga?...kuna haja ya kuzipa umakini bashiri zake?
Nimesikiliza kwenye summary ya magazeti RFA asubuhi hii, kuwa yule Mtabiri na Mnajimu, aka "mzee wa ulinzi wa majini" amebashiri kwamba Mgombea mmoja machachari sana anayepania kuingia Ikulu katika uchaguzi huu, ATAKUMBWA NA MATATIZO MAKUBWA SANA!, lakini hajaeleza matatizo hayo kuwa yatakuwa ni ya aina gani!
Mnasemaje kuhusu bashiri za huyu mganga?...kuna haja ya kuzipa umakini bashiri zake?