Van persie
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,099
- 720
Kwani aliyesema ulikuwa na baraka za Kikwete ninani?. Kikwete na familia yake wanamtaka Membe. Hata Lowasa hajasema wametumwa na Kikwete. Hivi nyinyi mnadhani Rizone amefurahi kuona mashekhe wamejaa Dodoma?. Lazma atahangangaika tu.