Sheikh wa Wilaya Bagamoyo amkana Lowassa

Sheikh wa Wilaya Bagamoyo amkana Lowassa

Loading

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2012
Posts
594
Reaction score
101
Soma hapa tamko la viongozi wa dini jinsi walivyopinga juu ya upotoshwaji wa vyombo vya habari.

Sheikh Bagamoyo.png
 
lol! Mbali na ufisadi kumbe pia Lowassa ni muongo! Dah! Kazi kweli kweli! tabia zake zimefanana sana na DHAIFU, "Pesa za Escrow si pesa za Serikali."
 
Haya sasa! Mie nilishaona kuwa walimpa pesa alizowapa! Haya hapa timu Lower Sir njooni na staili nyingine. Mtammalizia hela huyu mzee wa Monduli. waandishi mliolipwa kuandika stori hiyo, tengenezeni mazingira ya kuwa na kipya! Yetu macho.
 
Basi lowasa mjinga sana kwanini anafanya mambo ya hovyo kiasi hiki,

Anataka kuipeleka wapi nchi akipata huo urais,

Hajatosheka na ufisadi anafanya uminga mwingine mpuuzi sana.
 
Kweli LOWASSA Anawatesa Sana CCM Hata Kuliko Tishio la UKAWA. Wale Wanafunzi wa Dodoma Univesity Wameonyesha Mapenzi ya Watanzania Juu ya Lowassa.

CCM Kazi Mnayo Msipolipendekeza Jina la Edward Lowassa Kipenzi Cha WanaCCM na Wanafunzi. Hakuna wa Kumzuia Lowassa Ndani ya CCM.
 
Walioenda dodoma ni wale wazee,EL anahusikaje?angekataa kupokea wageni?
 
Ndiyo anavyozidi kuonyesha uhuni wake wa kutoa kauli ambazo hajui athari zake. Sasa kaumbuka kwa kiwango cha juu kabisa na mapicha kibao hadharani akiwa na "Masheikh wa Bagamoyo" kumbe ni udanganyifu tu.

Basi lowasa mjinga sana kwanini anafanya mambo ya hovyo kiasi hiki,

Anataka kuipeleka wapi nchi akipata huo urais,

Hajatosheka na ufisadi anafanya uminga mwingine mpuuzi sana.
 
EL. ka unataka kura za hao jamaa waahidi kuwa ukiingia tu, wakupe siku 100 nao wataipata mahakama yao wanayo ililia.. Sijui ni nani atamwapisha kadhi au weye kuvaa tarabushi umwapishe baadaye naye akuapishe. Ni wazo tu
 
Mimi nilishasema toka mwanzo hao hawatakuwa mashekhe wa ukweli hao ni mashehena shekhe atakuwa kapuya mkulugenzi wa Akudo
 
Kuna vitu vingine ni kutoelewa tu, huyo Shehe anaekanusha anasema kuwa huo sio msimamo wa waislamu wa Bagamoyo, kwani ni wapi imesemwa kuwa huo ni msimamo wa waislamu?

Kuna watu ambao inatajwa kuwa ni mashehe kutoka Bagamoyo wameenda kumuomba Sokoine Junior agombee urais, what is wrong there mpaka watu waanze kuhangaika kukanusha?
 
Kuna vitu vingine ni kutoelewa tu, huyo Shehe anaekanusha anasema kuwa huo sio msimamo wa waislamu wa Bagamoyo, kwani ni wapi imesemwa kuwa huo ni msimamo wa waislamu?

Kuna watu ambao inatajwa kuwa ni mashehe kutoka Bagamoyo wameenda kumuomba Sokoine Junior agombee urais, what is wrong there mpaka watu waanze kuhangaika kukanusha?
hela za lowasa zinaliwa kirahisi sana ! kumbe hata wewe ni mshauri wake ?
 
Back
Top Bottom