Sheikh Rusaganya anasema Makkah kuna msikiti wa Majini, je ni mkweli ama ni muongo?

Nimeamini sasa kuna dada anasema alifundishwa quruani na majini,huwa wanakuja usiku wakati wamelala wanamwamsha nakumfundisha.hi dini hapana.
 
Kosa kubwa kwa Hawa mabwana ni kutenganisha kati ya majini na mashetani wakati ni kitu kimoja. Hapo mjiulize hiyo dini inayoitwa ya Amani maombi yake yanakwenda kwa nani? Ndio maana unakuta eti binaadamu anashika panga na bunduki eti anampigania Mungu. Kuna tatizo kubwa la Ki Tawheed
 
Waislam na Wakristo mmeshindwa kabisa kuelewa Majinni ni nini. Mnafikiri labda ni kitu cha ajabu sana.


Mbona hata hapa JF 90% tu majinni. Tunaonana hapa? unajuwana hapa? Labda 10% ya member wa JF ndiyo wanajuwana, wengine wote ni majinni tu.
Madam hapo unataka kukosea sasa! JF ina majini?

Big NO!!!
 
Ukiona dini yoyote inadai kwamba inamsaidia Mungu kueneza hiyo dini duniani tena kwa nguvu za majambia na farasi jua huyo si Mungu wa mbinguni ni mungu mwingine kabisa. Hakuna mwanadamu anayeweza kumsaidia Mungu wa mbinguni kwa jambo lolote. Na ujumbe wa Mungu huwa hauenezwi kwa ncha ya upanga bali kwa amani na upendo mkuu maana Mungu ni pendo na halazimshi mwanadamu kumuabudu ametupa uhuru wa kuchagua kumuabudu yeye au kuabudu miungu mingine.
 
Ni kweli upo, ila umepewa jina hilo msikiti wa majini sababu ya historia ya eneo hilo, paliwahi kuwa maskani ya majini. Ni kama vile msikiti wa manyema, sio kwamba ni wamanyema ndio wanaswali pale. Ni historia
 
Ni kweli upo, ila umepewa jina hilo msikiti wa majini sababu ya historia ya eneo hilo, paliwahi kuwa maskani ya majini. Ni kama vile msikiti wa manyema, sio kwamba ni wamanyema ndio wanaswali pale. Ni historia
huyo shehe wako umemsikiliza vizuri, alienda kuswali pale na aliona maajabu na aliona baadhi ya watu alioswali nao wanang'ara kichwani na walitoweka soon baada ya swala kuisha. manake majini bado yanaswali hadi leo pale na yanaswali pamoja na watu. amesema pia kuwa, hata kwenye misikiti yetu hii bongo tunaswali na majini ila hatuyaoni, yakiamua kuwacharaza fimbo mtakoma.

utofauti wake, sisi tuliompokea Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi (kafara la dhambi la Mungu yuleyule mmoja ila alivaa mwili wa mwanadamu), sehemu tunayosali mashetani hayasali, yanaogopa na hata kama yatakuwepo basi yapo kwenye miili ya watu na tukitaja JIna la Yesu Kristo, yanatimua mbio kwasababu kwa Jina la Yesu kila goti litapigwa. hayo ni mashetani, Yesu alisema ametupatia mamlaka ya kukanyaga nyoka na nge na nguvu zote za adui shetani, wala hakuna kitakachotudhuru.
 
Ni kweli upo, ila umepewa jina hilo msikiti wa majini sababu ya historia ya eneo hilo, paliwahi kuwa maskani ya majini. Ni kama vile msikiti wa manyema, sio kwamba ni wamanyema ndio wanaswali pale. Ni historia
Hawezi kukubali hilo maana alileta swali kwa kejeli na sio kutafuta uelewa juu ya hilo.
 
huyo shehe wako umemsikiliza vizuri, alienda kuswali pale na aliona maajabu na aliona baadhi ya watu alioswali nao wanang'ara kichwani na walitoweka soon baada ya swala kuisha. manake majini bado yanaswali hadi leo pale na yanaswali pamoja na watu. amesema pia kuwa, hata kwenye misikiti yetu hii bongo tunaswali na majini ila hatuyaoni, yakiamua kuwacharaza fimbo mtakoma.

utofauti wake, sisi tuliompokea Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi (kafara la dhambi la Mungu yuleyule mmoja ila alivaa mwili wa mwanadamu), sehemu tunayosali mashetani hayasali, yanaogopa na hata kama yatakuwepo basi yapo kwenye miili ya watu na tukitaja JIna la Yesu Kristo, yanatimua mbio kwasababu kwa Jina la Yesu kila goti litapigwa. hayo ni mashetani, Yesu alisema ametupatia mamlaka ya kukanyaga nyoka na nge na nguvu zote za adui shetani, wala hakuna kitakachotudhuru.
Yesu yule yule aliesema mumsujudie mungu mkagoma kusujudu au?
 
Ipo masjid ya majini walio wema pekee, ajabu huazini wao wenyewe kwa kila swalat.
Huu ni uelewa potofu.
Hakuna majini wema, majini na mapepo wote ni watumishi wa shetani.

Viumbe wema ni malaika, hawa ni watumishi wa Mungu na huwatuma kuwatumikia wanadamu
 
mapepo yale Yesu aliyatreat kama mashetani na aliyafukuza toka kwa yule mtu. majini na aina zote za mashetani ni machafu na sio mazuri, shetani haji ila kuua kuchinja na kuharibu ndivyo Yesu alivyosema. na Yesu aliyakemea na kuyafukuza ili yasiendelee kumdhuru mtu yule, Yesu hakuyaonea huruma na hakuchangamana nayo kuyaona kama ni mema.
Hivi nyinyi watu weusi mna akili kweli?
Hizi ngano za sijui kulikuwa na huyu yesu alikuwa mungu mara akayachapa mapepo sijui majini na mashetani mnaziamini mazima, yaani wewe huna akili ya kufikiri...

Wewe, unajua hii picha ya nini?
Hata huyo yesu hajui hii ni picha ya nini,

1697901798023.png
 
Huu ni uelewa potofu.
Hakuna majini wema, majini na mapepo wote ni watumishi wa shetani.

Viumbe wema ni malaika, hawa ni watumishi wa Mungu na huwatuma kuwatumikia wanadamu
Ngoja nikujuze, mola ameumba vinavyoonekana na visivyoonekana, pia inakadiriwa visivyoonekana ni vingi mara 100 zaidi ya vinavyoonekana, na katika makundi haya mawili kila upande unatawala zake yaani binadamu na majini, ndani ya tawala upande wa majini wapo wenye tabia mbaya kama binadamu, na nzuri pia, laiti majini wote wangekuwa waovu dunia isingekalika.
 
Back
Top Bottom