Sheikh Ponda yuko sahihi


we have a mediocre president, and far less senior government official who would rather lick their boss's arse than think of the country
 
kuna tatizo kubwa, nafikiri kama anataka kujua idadi ya waumini sehemu sahihi ya kuwahesabu ni kwenye nyumba za ibada! sababu dini ni imani na si majina wala asili! afanye kama wafanyavyo wa dini nyingine wajihesabu vigangon, maana kuna wengine twakesha nao kwenye vitimoto bado wawaita ni waumin? au una ajenda nyingine?
 
Kaazi kweli kweli,tabu yao wanataka kuleta kama ya rwanda sasa waendelee na ndipo watakapojua kwa nini wapalestine hawahemi kwa israel
 
nasoma hapa huu uzi kwa macho 3, maana hapa jf ndo unaeza ukapata representative ya 'thinkers' wa Tz. huu uharo unamuvusishwa hapa si wa kuupuuzia. sielewi JK anasubiri nini ku-act, na inaonekana Bakwata, ambayo inadaiwa inaendeshwa na serikali (kwa kodi yangu mie mla kitimoto na liquor, of coz) nayo imeingia kwene huu u.pupu. Sasa kama serikali haichukui hatua sasa ni bora hiyo pesa ya sensa ikafanyie mambo mengine, kuliko kuiunguza hiyo hela kwene half-baked half-assed sensa. what a sad country indeed.
 
we have a mediocre president, and far less senior government official who would rather lick their boss's arse than think of the country
m.kwere kaa atashindwa ku-address hiyo inshu sasa ni bora hayo mabilioni yasiendelee kuwa allocated huko kwa sensa maana tuko na shida nyingi sana zinazohitaji pesa za haraka.nchi imeshamshinda hii.
 
NIMEIPENDA Hii
 
Inasikitisha kiukweli maana baada ya sensa kufanyika na hawa jamaa kupata idadi ndogo ya waislamu dhidi ya matarajio yao,lazima walalame kua kitu kitu kimechakachuliwa maana kabla hapa wanajigamba kwa kusema sisi makafiri hatuna lolote kwa kua twaoa mke mmoja na wao waoa hata wake wanne! Mi naona ndugu zangu waislamu muanze kutatua matatizo yaliyo kua ndani yenu kwanza,ndio mtulize akili na kuja huku nje maana kila siku twaona kesi zenu za kugombania misikiti zinavyotusumbua huku mahakamani na kulogana juu kisa nyumba za ibada,ifike wakati muone aibu na kubadilika!!
 
Hawajamaa haswa huyo shehe ametukana sana ukristo kwa muda mrefu lakini wakristo wametulia tu sasa ameona aanze kuwagawa watu kwa dini zao .minaona serikali ikubali tu kuingiza hicho kipengele ili tuone atapata faida gani?
 

Upo sahihi kabisa, na Mwalimu nyerere alisema kuwa wenye mawazo ya udini ukabila ni wale ambao wamefirisika kimawazo na fikrana pengine ndo maana Dr Mengi ameamua jana kuweka ile hotuba ya Mwalimu kuwakumbusha watu kama hao! dini ni imani sio dhehebu, kuna watu wanaingia uislamu kwa sababu mbalix2 kama kuolewa kwa tamaa ya pesa kama alivyofanya huyo binti msanii Wolper sasa watu kama hawa ndo mnataka wahesabiwe? ina maana gani unakutwa kwenye kitimoto alafu unatiki kwenye kibox cha muislamu? mm nafikiri haina maana kuweka kipengele hicho kama kuna umuhumu wa kufanya hivyo waislamu ombeni fedha toka huko uarabuni ili muendeshe zoezi lenu not on the expense of the government, hizi ni fedha za walipa kodi na nyie kwa takwimu mnaongoza kwa kutolipa kodi, anayebisha aende pale ofisi ya takwimu ataonyeshwa! hutaki kuamini niliyoyasema unaacha!
 

hizo propaganda unajazwa na kanisani ama ?

Kama huna la maana kaa kimya.

Tufanye sensa yenye vitengo vya kujua dini,umri,vilema,elimu na jinsia ili itusaidie katika mipango ya maendeleo ya nchi yetu.

Kwanini wakristo wana kataa sensa yenye kitengo cha kuhesabia watu kwa dini,jibu ni kuwa wanaogopa kuzidiwa na waislam maana sensa za makanisa yanaonesha ukristo una wafuasi wengi,na wamepandilizwa waislamu wakijuwa kuwa wao wapo wengi wata tawala kwa sheria,

ndugu zangu wakristo,kuwa kwako mkristu usikufanye watu wenye dini tofauti na wewe waishi kama unavopenda wewe na kanisa lako,

dini ya uislam ni mfumo kamili wa maisha ya mwanadamu,unatakiwa ukubaliane kuwa dini ya uislam haija kaa kama mulivyo fundishwa kanisani kuwa ikristo ni kanisani ukitoka nje basi,

tuacheni ushabiki tu,mimi ni mwislamu na sipendi kusikia mwislam ambaye hapendi maendeleo ya nchi yetu,lazima kila kundi,dini waone wanashiriki katika mchakato wa maendeleo,

hivi kuhesabiwa kidini kuta kupunguzia wewe nini??
 
Nadhani hii ni busara kwani muanisho huu wa kipengele cha dini ni muhimu hasa kukiwa na mipango inayohusu dini.. kama kujua tunahitaji kutenga ardhi kiasi gani kwa ajili ya misikiti/makanisa... au makaburi

Taarifa hii inapatikana vizazi na vifo au kwenye DHS. Dini au dhehbu la marehemu ali-determine the size of cemetery!
 
Waambie wafanye sensa yao wajue idadi ya waumini wa kiislam

You are very right. Roman Catholic tuna sensa zetu mara kwa mara na inaangalia na wanaowazunguka wakatoliki kwenye maeneo wanayoishi mpaka waislamu. Pia mfumo wa taarifa wa Roman Catholic ni mmoja wa mifumo bora sana duniani kama sio ndio bora kuliko yote duniani. Mfano mtoto au mtu mzima akibatizwa anapewa cheti cha ubatizo na kuwa registered kwenye register. Mambo yote yanayofuata yanawekwa kwenye hiyo register mpaka kifo

Halafu nafikiri cha msingi ni ku-strike the balance between elimu dunia na elimu ahera. Sasa hawa ndugu zangu wanakazia sana elimu ahera na kusahau elimu dunia. Wewe angalia eti wameandamana kuwa wahitimu wa Form VI wamefeli sana islamic knowledge lakini siku zote wengi wao wanafeli sana masomo mengine kama Biology, History lakini hatusikii malalamiko wala kuona maandamano.

Udini uliochanganyika na wivu na uj**ga ndio unaowasumbua!!
 

No affirmative action, affirmative action in terms of religion will lead to underdevelopment. That one of gender is costing our country now!!!
 
Baada ya kuongeza kasi ya kuzaliana
lazima kujua kama lengo limetimia
au bado kidogo ili ipatikane nguvu
ya kudai ile mahakama

 
afanye kwanza sensa ya walio na degree za madrasa wako wangapi ndio alete upuuzi wake wa kidini.
 

jamani waislamu hakuna jambp lingine la maendeleo zaidi ya dini yenu ya kiislamu?sijawahi kusikia mnashauri chochote zaidi ya dini yenu ambayo hata maubiri yake ni kwa lugha wanayoelewa wachache sana miongoni mwenu waislamu!leteni pingamizi za maendelea dini hazina lolote zimeletwa na wapita njia tu hakuna dini imeanzia Tanzania hapa!zimetokea huko middle east na uingereza ambapo hata hamjafanya utafiti wa kujua chanzo chake ni nini...inawezekana zikawa mila na matambiko ya wenzetu huko...tafutaeni elimu na chakula kwa familia zetu achaneni na mambo ya kimagharibi nyinyi...kwa sabubu mnayoongea ni kwa mawazo yenu tu wala hayana upako wowote wa ajabu sasa huyu mnayesema mungu wenu anachangia nini katika busara zenu?
 
Hivi sensa kwa nchi kama TZ inasaidia nini au imewahi kusaidia nini? nani anaweza kunipa mifano hai?
 
Waislam tusome elimu dunia kwa bidii ndio tudai kazi
Sio kila siku ni kaswida, swala, mihadhara, ngoma na ndoa tuuuuuu mpaka inakera!
Tusome kwa bidii!
 
Swerikali itakuwa na kazi kubwa.......itabidi kujengwe barabara za waislamu na za wakristo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…