balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,437
- 12,558
Muwekezaji mkubwa na mkopeshaji mkuu wa Tanzania ni Uingereza.Hata mifumo ya serikali na mabunge yetu lazima yafanane na ya Uingereza.Usisahau kanisa la Anglikana ndo kanisa la malkia na Lina mali nyingi Zanzibar.Ukimuuliza Yeriko Nyerere Kuna barua serikali ya Tanzania iko chini ya ulezi wa Maria mama wa Yesu.Sasa tukiungana malkia anafaidika na nini?