Sheikh Ponda: Sherehe za Mapinduzi zichunguzwe

Sheikh Ponda: Sherehe za Mapinduzi zichunguzwe

Kwa kifupi unajaribu kusema utawala wa kiarabu urudishwe?..

Nikujuze Tu bwana mkubwa huo utawala hautorudi kamwe.. kwasababu ulivunja kila Haki ya binadamu ambayo wewe umewahi kuisikia, kama Kweli wanawapenda hao unaojupendekeza kwao kwanini mkienda Oman wanaishia kuwaua na kuwabaka Dada zetu na mbaya zaidi wakienda kushtaki hata polisi hakuna Haki wanayopata mpaka wanapofika kwenye ubalozi wetu ndo wanasaidiwa yani!!..

Hizi Dini walizotuletea ndo zimetudanganya Sana yani kama Kweli zilikuwa ni Dini wasingezitumia Dini kufanya biashara ya utumwa yani..

Namalizia Kwa kusema Bila Mapinduzi Zanzibar Leo isingetoa Raisi Mwanamke amah kiongozi yeyote mwanamke sasa wewe wadanganye wajinga ujifanye umetumwa na watu wa Oman[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Kati yako na ponda nan mjinga? Huo utumwa kwann hadi saii tukiwatafuta hao walochukuliwa utumwa hatuwakuti uarabuni bali wapo america na ulaya? Waarabu walikuja africa miaka elfu kabla mzungu hajaja kwann huo utumwa uje utokee baada ya mzungu kuja? Fikra yako mgando unaona kutawaliwa na mwanamke ndo maendeleo?
 
Shamte hakukimbilia Uingeraza mkuu, Shamte alikaa gerezani kwa miaka 10,alikimbia baada ya kutoka gerezani.
Alipotoka gerezani alikimbilia uingereza na familia yake ilikuwaje akimbilie kwa waliompindua si uongo huo mleta mada kaandika
Wapemba wengi Ndugu wa Shamte baada ya mapinduzi walikimbilia uingereza wako huko Hadi leo
 
Alipotoka gerezani alikimbilia uingereza na familia yake ilikuwaje akimbilie kwa waliompindua si uongo huo mleta mada kaandika
Wapemba wengi Ndugu wa Shamte baada ya mapinduzi walikimbilia uingereza wako huko Hadi leo

mkuu inaonekanwa bado umeshindwa kuwafahamu waingereza. Muingereza ndie aliewaweka Israil Palestina na yeye ndie aliyemkingia kifua na mpaka leo anaendelea kumlinda, Lakini wakimbizi wa Palestina wengi wanakimbilia Uingereza.
Hata Kambona alikimbilia Uingereza wakati Nyerere nae alikua kibaraka wa Waingereza. Wazungu hua wapo huku na huku, anakussapoti na pia na adui yako humsapport. Hata CCM integemea wazungu na Chadema pia wanategemea hao hao wazungu.
 
Shamte alikuwa kibaraka muhafidhina. ASP ilikuwa na nguvu na ndio maana waliungana ZNP-ZPPP ili wawashinde wazanzibar watumwa na masikini ASP

Mkuu punguza mihemko, kuna tatizo gani kwa vyama vya siasa kuungana kwenye uchaguzi? Na hapa tuletee maelezo ya kueleweka kuwa alikua kibaraka sio maneno ya kurembea
 
Hivi leo Mfano Sultan wa Oman aje adai sehemu ya nchi yake, Zanzibar halafu waseme Wazanzibari wenyewe wapige kura kuamua kubaki kwenye Muungano au wawe chini ya Sultani, wataamua nini????
 
Lakini Kama tumeamua kuyaenzi mapinduzi, tusimsahau fieldmarshal John Okelo aliyeongoza mapinduzi hayo, huku Karume akiwa amejificha Dar. Ajengewe hata mnara wa kumbukumbu huko zenji
 
Hivi leo Mfano Sultan wa Oman aje adai sehemu ya nchi yake, Zanzibar halafu waseme Wazanzibari wenyewe wapige kura kuamua kubaki kwenye Muungano au wawe chini ya Sultani, wataamua nini????

Wataamua wanachokitaka wao, Ila wewe unaumia nini wo kuamua wanachokitaka?
 
Lakini Kama tumeamua kuyaenzi mapinduzi, tusimsahau fieldmarshal John Okelo aliyeongoza mapinduzi hayo, huku Karume akiwa amejificha Dar. Ajengewe hata mnara wa kumbukumbu huko zenji

wanaoyaanze mapinduzi ni CCM tu, kwahiyo hayo maombi mungeyapeleka kwenye kamati kuu ya chama.
 
Kila Mara uwa nasema humu.
MUUNGANO NI MALI YA MALKIA WA UINGEREZA.
Yeyote atakayejaribu kuugusa huu muungano ataadhibiwa na kupotezwa na hakuna mtu yeyote ndani au nje ya Tanzania atakayeongea.
Ndo maana masheikh wa uamsho sijawahi kusikia watu wa haki za binadamu wakipiga kelele au mabeberu wakipiga kelele
Hilo mbona liko wazi..

Marekan na Uingereza, waliulazimisha huu muungano, kwa sababu hawa kutaka Zanzibar kua Nchi ya Kiislam .

Bila Muungano Leo hii Zanzibar ingekua hawa Wavaa suruali za watoto wadogo, na Sheria kalikali
 
Hivi leo Mfano Sultan wa Oman aje adai sehemu ya nchi yake, Zanzibar halafu waseme Wazanzibari wenyewe wapige kura kuamua kubaki kwenye Muungano au wawe chini ya Sultani, wataamua nini????
Kama namuona vile Mwinyi naye atakavyopiga kura ya kuwa chini ya Oman
 
Kwa kifupi unajaribu kusema utawala wa kiarabu urudishwe?..

Nikujuze Tu bwana mkubwa huo utawala hautorudi kamwe.. kwasababu ulivunja kila Haki ya binadamu ambayo wewe umewahi kuisikia, kama Kweli wanawapenda hao unaojupendekeza kwao kwanini mkienda Oman wanaishia kuwaua na kuwabaka Dada zetu na mbaya zaidi wakienda kushtaki hata polisi hakuna Haki wanayopata mpaka wanapofika kwenye ubalozi wetu ndo wanasaidiwa yani!!..

Hizi Dini walizotuletea ndo zimetudanganya Sana yani kama Kweli zilikuwa ni Dini wasingezitumia Dini kufanya biashara ya utumwa yani..

Namalizia Kwa kusema Bila Mapinduzi Zanzibar Leo isingetoa Raisi Mwanamke amah kiongozi yeyote mwanamke sasa wewe wadanganye wajinga ujifanye umetumwa na watu wa Oman[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Huyu ponda ndiyo maana kwa nyakati tofauti amepitia misukosuko mingi kutokana na ujinga wake kama huo yaani hapendi amani amezoea kutumwa kuja kuharibu watu wa Tanzania anatumia dininkama kichaka Cha yeye kieleza au kufundiaha watu ujinga wake huyo inatakiwa watu wasiojulikana wampoteze tu ili kuiweka nchi salama unajuwa ni heri mmoja apotee ili nchi ipone sasa ujinga Gani huu unakuja kutulisha
 
Mleta nada kaandika uongo eti waingereza walihusika kumpindua Shamte kiongozi wa Zanzibar


Swali ni Kwa nini Shamte aliamua kukimbilia uingereza kuishi maisha yake kule?

Haiingii akilini SI angekimbilia nchi za kiarabu kwa nini aliona nchi bora ni uingereza?
Shamte alikimbilia Uingereza na siyo Oman?

Mi najua aliyekimbilia Uingereza ni Sultan Jamshedi.
 
Mkuu kwani Mohamed Shamte alikua muarabu?

Aliepinduliwa hakuwa Muarabu, tusikariri. Iliyopinduliwa ni serikali huru iliyopatikana kwa kura moja mtu mmoja.
Ulivyosema ni kweli, isipokuwa mfumo wa serikali hiyo ulikuwa kama wa uingereza.

Serikali iliongozwa na Waziri mkuu, lakini mkuu wa nchi na mamlaka zote alikuwa ni Sultani.
 
Historia ya muungano inahitaji kupitiwa upya.

Mwandishi wa kitabu cha ''Kwaheri ukoloni,kwaheri uhuru, Zanzibar na mapinduzi ya Afrabia' amejaribu kuandika yaliyofichwa ni vizuri mkisome hichi kitabu.
Kukipata ndo shida mkuu
 
Back
Top Bottom