Mabreka
JF-Expert Member
- Aug 29, 2012
- 709
- 207
Yaani nyie ndo matango kweli wewe ndo sio mtanzania na kardinal pengo wako.Hata huyu mlie mzika mara kumi kumi nae tumepata habari zake ni mrwanda mbavu kabisa.Go ponda will always behind you.
hapo kwenye red,
ndo maana mnaonekana reasoning capacity yenu ndogo.
hilo la pengo na huyo mwingine limeingiaje hapa?
tafuta hata elimu ya watu wazima ujiendeleze ndugu, huo ni ushauri tu