Sheikh Ponda Issa Ponda SIYO Mtanzania....

Kama unachosema una uhakika nacho sioni sababu kwa nini usimwage majina hapa wakiweza waje wakanushe hapa!

Nakumbuka vyombo vya habari vilimkariri Mufti siku za karibuni akidai pia kwamba huyu bwana hata shule iko "KIDUCHU". Kwa maneno mengine taarifa zake kwa kiasi zinaeleweka hata na viongozi wa BAKWATA.

Ongeza ufahamu wa Watanzania, ITATUTAFANYA TUAMINI KUWA WANAOMLINDA NDANI YA NCHI WANAMASILAHI NA VITENDO VYAKE!
Duh pengine ni kweli shule kwa ponda ni kiduchu but amewazidi Sana hao "bakata"
 
Hiyo haihalalishi uraia wa ponda. Ninachojua kwa kauli hii wewe pia uko kwenye payrol ya ponda! Kumbuka mkiendelea kumlinda Mkono wenye nguvu utamshughulikia yeye, wewe, na wote wanaomuunga mkono!
Ha ha ha threat to the world peace after the rise of the great Anthipas TUNDU.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom