😂😂😂Na hao polisi wanamkamata lini, wiki inapita sasa.
nitarudi ukitaja hayo majina
hive na wewe una akili kubwa?Inawezekana Tanzania ni nchi inayaoongoza
kwa kuwa na wendawazimu na maskini wa fikra!
Jamani ukijua kuwa wewe huoni mbali zaidi ya
tumbo lako basi usiwe unachangia hoja za wenye
akili kubwa!
kwa maana hiyo wangoni(SA0,wanayakyusa(wamalawi),wajaluo&kurya(kenya),makonde(msumbiji) nk woote warudi makwaoKama yeye ni mtanzania,akatuoneshe lilipo kaburi la babu yake wa 7!
Duh pengine ni kweli shule kwa ponda ni kiduchu but amewazidi Sana hao "bakata"Kama unachosema una uhakika nacho sioni sababu kwa nini usimwage majina hapa wakiweza waje wakanushe hapa!
Nakumbuka vyombo vya habari vilimkariri Mufti siku za karibuni akidai pia kwamba huyu bwana hata shule iko "KIDUCHU". Kwa maneno mengine taarifa zake kwa kiasi zinaeleweka hata na viongozi wa BAKWATA.
Ongeza ufahamu wa Watanzania, ITATUTAFANYA TUAMINI KUWA WANAOMLINDA NDANI YA NCHI WANAMASILAHI NA VITENDO VYAKE!
Ha ha ha threat to the world peace after the rise of the great Anthipas TUNDU.Hiyo haihalalishi uraia wa ponda. Ninachojua kwa kauli hii wewe pia uko kwenye payrol ya ponda! Kumbuka mkiendelea kumlinda Mkono wenye nguvu utamshughulikia yeye, wewe, na wote wanaomuunga mkono!