Sheikh Ponda amua moja ueleweke!

Sheikh Ponda amua moja ueleweke!

Mkuu hivi kanisa la Mchungwaji Msigwa linaitwaje? Maana naskia mchungaji mchungaji lkn kanisa analochungia kondoo halijulikan
Mchungaji hufanya mahubiri popote, sio lazima kanisa, Hata Yesu alifanya hivyo pia. kalisha makalio chini na pambana na hali yako.
 
Sheikh Ponda ni muda mrefu anajulikana kama mwanaharakati na kiongozi wa kupigania mali za waislamu,Ponda ana historia ndefu na amepatwa na misukosuko mingi katika kuendesha harakati zake na wengi walijitokeza kumtetea kwa sababu ya kuvaa kofia ya kuonyesha kuwa anatetea imani fulani,lakini hili linalotokea sasa ni dhahiri sasa Ponda anajipambanua kuwa ni mwanasiasa na yupo tayari kisiasa na tumkaribishe rasmi katika ulingo wa siasa na asihukumiwe kidini aonekane ni mwanasiasa kama wengine tu

Ponda asiogope mbona dkt Slaa alikuwa ni askofu akaamua moja,mchungaji Msigwa na bado wanafanya siasa za uwazi bila ya kujificha kwenye kivuli cha dini.

Ponda hukuzungumzia msikitini habari zako umezungumzia ukumbini,wakili ni Safari makamu mwenyekiti CHADEMA hivyo umekamatwa kama mwanachadema.

Pesa ya chadema haikuwahi kuwaacha watu salama

Ponda umevalishwa mkenge!

Siasa mpaka 2020!
Kunya anye kuku, akinya bara utasikia mara oooh kahara. Mona Askofu Pengo alipozungumza hukusumbua kuandika haya? Watanzania siasa imetujia vibaya sana. Tumekua wanafiki zaidi ya wale walitajwa kwenye maandiko matakatifu.
 
Msipoteze muda wenu kufanya argument na mtu ambaye inaonekana hajui chochote zaidi ya kusoma na kuandika.

Kwa hoja ya huyu bwana, hata Desmon Tutu alistahili kuacha kuwa Askofu Mkuu kwa sababu alikuwa akipinga wazi sera za ubaguzi wa rangi.

Kiongozi yeyote wa dini, ambaye kweli ni kiongozi wa dini, kamwe hawezi kuacha kukemea uonevu katika jamii. Kiongozi wa kweli wa dini ni lazima asimame na awe sauti ya wanyonge wanaodhulumiwa, na awe tayari kuteseka na hata kufa kwaajili ya kuwatetea.

Ponda kama angetaka kuwa mbunge, kazi ambayo ina mshahara, asingekosa, lakini ameamua daima kuwa sauti ya wasio na uwezo wa kusema. Ameteseka, amefungwa, amenusurika kuuawa lakini hakutoka kwenye yale anayoyaamini. Huyo ndiye kiongozi wa dini.

Papa Francisco, alipohutubia zaidi ya waumini milioni moja kwenye kongamano la vijana wakatoliki kule Brazil, alisema, 'Kanisa ni lazima lisimame na watu wanyonge maskini, liache kujishikamanisha na matajiri na watawala hata watu wakaona Kanisa ni sehemu ya watawala'. Viongozi wa Kanisa Katoliki wanatakiwa kuiishi kauli hii ya kiongozi mkuu ambaye ni Mama Kanisa. Na kwa mwongozo wa Kanisa Katoliki, Mama Kanisa ndiye mwenye kauli ya mwisho kuhusu uongozi na imani ya Kanisa Katoliki.
Bora hata umeniwah kumjibu huyu buku 7 maana
 
Kunya anye kuku, akinya bara utasikia mara oooh kahara. Mona Askofu Pengo alipozungumza hukusumbua kuandika haya? Watanzania siasa imetujia vibaya sana. Tumekua wanafiki zaidi ya wale walitajwa kwenye maandiko matakatifu.
Yule alitoa msimamo wa kanisa hakuja kumshambulia mtu/taasisi!
 
Mkuu hivi kanisa la Mchungwaji Msigwa linaitwaje? Maana naskia mchungaji mchungaji lkn kanisa analochungia kondoo halijulikan

Mama lwakatare mlima wa moto mbunge wetu huyu wa ccm kule ulanga nayakumbuka mashindano yake mama rwakatale cup
 
Taifa linawatu wajinga sana hili tayar magufuli kishafanikiwa kuligawa akitokea muumini yoyote anaeikosoa serikali basi huyo anafanya siasa.
 
Msipoteze muda wenu kufanya argument na mtu ambaye inaonekana hajui chochote zaidi ya kusoma na kuandika.

Kwa hoja ya huyu bwana, hata Desmon Tutu alistahili kuacha kuwa Askofu Mkuu kwa sababu alikuwa akipinga wazi sera za ubaguzi wa rangi.

Kiongozi yeyote wa dini, ambaye kweli ni kiongozi wa dini, kamwe hawezi kuacha kukemea uonevu katika jamii. Kiongozi wa kweli wa dini ni lazima asimame na awe sauti ya wanyonge wanaodhulumiwa, na awe tayari kuteseka na hata kufa kwaajili ya kuwatetea.

Ponda kama angetaka kuwa mbunge, kazi ambayo ina mshahara, asingekosa, lakini ameamua daima kuwa sauti ya wasio na uwezo wa kusema. Ameteseka, amefungwa, amenusurika kuuawa lakini hakutoka kwenye yale anayoyaamini. Huyo ndiye kiongozi wa dini.

Papa Francisco, alipohutubia zaidi ya waumini milioni moja kwenye kongamano la vijana wakatoliki kule Brazil, alisema, 'Kanisa ni lazima lisimame na watu wanyonge maskini, liache kujishikamanisha na matajiri na watawala hata watu wakaona Kanisa ni sehemu ya watawala'. Viongozi wa Kanisa Katoliki wanatakiwa kuiishi kauli hii ya kiongozi mkuu ambaye ni Mama Kanisa. Na kwa mwongozo wa Kanisa Katoliki, Mama Kanisa ndiye mwenye kauli ya mwisho kuhusu uongozi na imani ya Kanisa Katoliki.
Ni dalili kubwa upo ule mrengo wa dini biashara!
 
Taifa linawatu wajinga sana hili tayar magufuli kishafanikiwa kuligawa akitokea muumini yoyote anaeikosoa serikali basi huyo anafanya siasa.
ponda amepiga tiktaka na msuli kwa kua nyeti zake zimeonekana aibu yake chadema muda si mrefu watamkana!
 
ponda amepiga tiktaka na msuli kwa kua nyeti zake zimeonekana aibu yake chadema muda si mrefu watamkana!
na Pengo, ,,,kenge nyinyi, ccm imewagawa na chairman wao,,,Sasaivi mmebakia kama mandondocha, ,,,akiongea kweli kiongozi wa dini ya kiislamu mnasema anaingiza dini na siasa,,,akiongea mnafiki pengo hapo sawa hamna tatizo
 
ponda amepiga tiktaka na msuli kwa kua nyeti zake zimeonekana aibu yake chadema muda si mrefu watamkana!

Siku shehe wa mkoa akiachana na makonda yatakuwa haya haya ushaambiwa desmond tutu vipi? Tayar magufuli kishakuchukua ubaguzi huwaanzaga hivi hivi ponda hakuanza leo hayo mambo yake labda kama hapa karibuni akili yako ndo imeanza kujikita kwenye siasa za magufuli na makonda utaona jambo geni.
 
Sheikh Ponda ni muda mrefu anajulikana kama mwanaharakati na kiongozi wa kupigania mali za waislamu,Ponda ana historia ndefu na amepatwa na misukosuko mingi katika kuendesha harakati zake na wengi walijitokeza kumtetea kwa sababu ya kuvaa kofia ya kuonyesha kuwa anatetea imani fulani,lakini hili linalotokea sasa ni dhahiri sasa Ponda anajipambanua kuwa ni mwanasiasa na yupo tayari kisiasa na tumkaribishe rasmi katika ulingo wa siasa na asihukumiwe kidini aonekane ni mwanasiasa kama wengine tu

Ponda asiogope mbona dkt Slaa alikuwa ni askofu akaamua moja,mchungaji Msigwa na bado wanafanya siasa za uwazi bila ya kujificha kwenye kivuli cha dini.

Ponda hukuzungumzia msikitini habari zako umezungumzia ukumbini,wakili ni Safari makamu mwenyekiti CHADEMA hivyo umekamatwa kama mwanachadema.

Pesa ya chadema haikuwahi kuwaacha watu salama

Ponda umevalishwa mkenge!

Siasa mpaka 2020!
Hayo ni maoni yako tu.Anayetetewa (sheikh Ponda) si lazima afungamane na itikadi ya wakili (Prof Safari wa chadema)
Kwa hiyo si sahihi kusema Sheikh Ponda sasa ni mwanachadema!
 
Tabia ya kuichukulia nchi hii kuwa ni Mali ya mtu fulani ikome haraka sana la sivyo watanzania tutaendelea kudharaulika. Ukiachana na chuki za kishetani mlizonazo wewe mtoa thread pamoja na wenzako Sheikh Ponda hakuongea lolote baya na hakufanya siasa yoyote. Ukizungumza ukweli ambao haumnufaishi huyo mungu wenu ya Chatlo umefanya siasa na hata kama je kufanya siasa ni kosa kisheria? Hivi nyie nani amewaroga?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom