issue siyo kukamatwa huyu dogo ni kwamba watanzani tumejifunza mengi kutokana na utawala wa mwislamu. anaingia akiwa mtu safi lakini wenyewe wanakuja na kusema sasa ni wakati wetu wakimaanisha waislamu wapendelewe zaidi.wanafanya kila vurugu wanachiwa huru hukohuko polisi kisa IGP ni mwislamu!!! dawa ni kuto kumchagua RAIS MWISLAMU TENA KAMA TUNAITAKIA MEMA NCHI YEU.Sasa isiwe akamatwe kwa sababu wameamua kumtoa kafara; Ponda hajaanza leo kusema anayoyasema. Kama muda wote (miaka yote) wameweza kumvumilia imekuwaje leo waamke na kusema wanamkamata?
Kama kosa ni yale ya Mbagala au anayoyasema ukweli ni kuwa itakuwa ni kumuonea! Kosa ni la serikali inayotawala. Ukiacha mlango wazi kwenye zizi kila sikuw watu wanakuambia chui ataingia na kula mbuzi nawe ukapuuzia siku chui akiingia na kula utalaumu zizi kwanini halikufungwa?
Sasa isiwe akamatwe kwa sababu wameamua kumtoa kafara; Ponda hajaanza leo kusema anayoyasema. Kama muda wote (miaka yote) wameweza kumvumilia imekuwaje leo waamke na kusema wanamkamata?
Kama kosa ni yale ya Mbagala au anayoyasema ukweli ni kuwa itakuwa ni kumuonea! Kosa ni la serikali inayotawala. Ukiacha mlango wazi kwenye zizi kila sikuw watu wanakuambia chui ataingia na kula mbuzi nawe ukapuuzia siku chui akiingia na kula utalaumu zizi kwanini halikufungwa?
Siku zote nitalaani unafiki.........
Imekuwa kawaida yenu sasa kutokuwa na msimamo imani yenu inapoingia majaribuni kiasi mnakuwa na matamko mawili yanayopingana. Tukio la Mbagala mmelilaani na wengi wenu mkasema kuwa UISLAMU HAUFUNDISHI VILE. Haikuishia hapo, mkadai vile vile kuwa, tukio lile haliwezi kamwe kufanywa na Muislamu kwa kuwa ni kinyume cha mafundisho ya Marehemu Mohammad. Mkasema kuwa mambo yale machafu yamefanywa na watu wenye nia ya kuuchafua Uislamu. Mimi naamini hayo yote yamesemwa ili tu kutuaminisha kuwa Uislamu hauungi mkono vurugu.
Cha kushangaza (unafiki mbaya), unapofikia wakati wa sheria kuchukua mkondo wake dhidi ya watu ambao mwanzo mmewakana kuwa si Waislamu ila wana nia tu ya kuuchafua Uislamu, basi mnageuka. Hapo kauli yenu ni UISLAMU UNAANDAMWA.
Ina maana wahalifu wana uhusiano na Uislamu kiasi wakikamatwa mseme uislamu unahujumiwa?
Laana huonekana kwa matendo ya mwanadamu, na unafiki ni sehemu ya laana hiyo.
Unajua Highlander, ninashawishika kuamini waislamu ni hatari kwa amani ya nchi yetu kwa sababu matukio ya kukamiana kati ya wakristu na waislamu yaliibuka wakati wa utawala wa Mwinyi na yamekuja kujirudia tena wakati huu. Sitaki kuamini kwamba wote Kikwete na Mwinyi wana IQ ya kuku, naaamini kwamba dini yao ndo tatizo. Na kama wataendelea kupewa nafasi ya kuongoza hawa watatuletea vita na umaskini wa kupindukia nchini. Maana katikati zote walizoshika nchi hawa jamaa hali ya umaskini iliongezeka na stability ya nchi iliyumba. Next time moja ya kigezo cha kuchagua rais iwe dini. Say no to Islam. Ni hatari kwa mstakabari wa taifa letu.
Quran haiwezi kuwa na uzito sawa kwa watu wote... Ina uzito kwa Waislamu, MUISLAMU amb
ae anaamini katika hio dini ya Uislamu... Na kwetu sisi Qurani ni kitabu tukufu na sio kitabu cha kawaida, hakitakiwi kidharauliwe, kejeliwa, chezewa kwa namna yoyote ile kwa mtu yeyote yule ambae anaamini. Hili tukio halifanyi iwe sababu ya kuona ni kitabu cha kawaida... na kutobadilika kwa yule mtoto haina mana kuwa kitabu ni batili... Ni wazi kuwa hivyo huwa vitisho vya kujenga woga kwa waumini na wasio waumini...
Huo utukufu wa kitabu unatunzwa kwa kuhakikisha aisye kuwa na imani pia asikichezee na kufanya lolote kama vile ambavyo wa Kisto nao walitakiwa kusimamia kitabu chao tukufu kisifanyiwe hivyo. Yule mtoto alifanya makosa... ni makosa ambayo yanaeleweka kabisa na hata mtu mzima angeweza kufanya maana kwa lolote ili liwe proven ni lazima experiment ifanywe...
Katika hili nalaumu ambaye alimshawishi yule mtoto, nalaumu Waislamu ambao wanachukulia kuwa sababu Quran ni tukufu kwetu basi ni takatifu kwa woote, Nalaumu wakristo wote ambao hujuchukua hoja za Waislamu kwa wepesi, Nalaumu Waislamu wanao jisahau na kudhani kuwa hii inchi ni yetu (waislamu peke yake na kuwa basi iendeshwe kwa misingi ya Uislamu na sio kwa ukumla wake) na nakulaumu wewe pia idawa kwa kuwa moja ya wale ambao hukurupuka na ku rule out kuwa Qurani na Waislamu sio kitu lolote for what ever reasons....
Inabidi tufike wakati wa kuheshimu dini za wenzetu, Waislamu waheshimu Wakristo na vice versa...
kikwete hana mamlaka ya kuifungia redio yetu,
inaonesha huna uvumilivu,sio kila usichokipenda wewe na wenzio hawakipendi,,,,na unachokipenda wewe na wenzio wakipende,,,,,u show how fool ur,,,,,hata kuongoza nyumba yako utshindwa,,,,
wewe hupendi mavi yako,laki nzi wanayapenda,,,,,comeon
Naona wale 120 walioko selo wamemtaja yule jamaa mchochezi sana yule bora akanyee debe
Amani ya kweli ni ile inayowapa wananchi wote haki sawa. Na kufanya jitihada wale waliokuwa nyuma, nao kuwakaribia wenzao. Pasipo na hivyo wale waliokuwa nyuma ni rahisi kuona wanadhulumiwa
Nipo na mshkaji wangu muislam tunaelekea kwenye mishe zetu, mi mkristo. Ya ngoswe muachie ngoswe.
Sasa isiwe akamatwe kwa sababu wameamua kumtoa kafara; Ponda hajaanza leo kusema anayoyasema. Kama muda wote (miaka yote) wameweza kumvumilia imekuwaje leo waamke na kusema wanamkamata?
Kama kosa ni yale ya Mbagala au anayoyasema ukweli ni kuwa itakuwa ni kumuonea! Kosa ni la serikali inayotawala. Ukiacha mlango wazi kwenye zizi kila sikuw watu wanakuambia chui ataingia na kula mbuzi nawe ukapuuzia siku chui akiingia na kula utalaumu zizi kwanini halikufungwa?
issue siyo kukamatwa huyu dogo ni kwamba watanzani tumejifunza mengi kutokana na utawala wa mwislamu. anaingia akiwa mtu safi lakini wenyewe wanakuja na kusema sasa ni wakati wetu wakimaanisha waislamu wapendelewe zaidi.wanafanya kila vurugu wanachiwa huru hukohuko polisi kisa IGP ni mwislamu!!! dawa ni kuto kumchagua RAIS MWISLAMU TENA KAMA TUNAITAKIA MEMA NCHI YEU.
Lukolo naomba nitangaze kwako na kwa msomaji yeyote mwingine wa uzi huu kwamba mimi ni Mkristo wa madhehebu ya Protestant.
Kuna nchi za Kiislam kama Turkey ambako kuuna wasomi katika imani nii ujinga wa Iran hakuna pale. Nimeisema Turkey lakini zipo sehemu nyingine duniani ambako unaweza kuona religious tolerance. Dini hii ya Uislam inazo kanuni nyingi sana ambazo ndizo hizo hizo zipo katika Ukristo. Deviation inaletwa na njaa kutokana na wahubiri kutafuta sifa ili wapewe fedha za ufadhili na watu wenye agenda za kisiasa kwa kuitumia dini. Iran ina agenda za kisiasa katika kufinance uharamia wa kidini.
Bila agenda za kisiasa, dini ya Kiislam ingekuwa tu kama sect mojawapo ya kikristo inavyotofautiana na nyingine lakini waumini katika hizo sect wakaishi kwa amani kila mmoja akiamwamini Mungu kivyake. Wa Iran wanajua nani katika nchi hii ana akili finyu wamtumie kwa mgongo wa dini, na matokeo ndo haya tunayoyaona.
Siungi mkono hoja ya kuhukumu dini nzima ya Uislam kama tatizo. Tatizo ni mis-use ya dini hiyo. Kwa hiyo kazi ya vyama vya siasa, au hata walio katika uongozi wa nchi ni kuwa makini na waumini. Tuchague watu wenye uelewa mpana katika mambo haya katika mengi ambayo wanatakiwa kuyajua.
Hizi IQ za kuku ndio issue hapa.
Yamekuwa yakisemwa mengi kwa muda mrefu juu ya harakati hizi za kiislamu Tanzania lakini imekuwa ni bahati mbaya sana mara zote yamekuwa yakichukuliwa kisiasa zaidi. At least, kwa hili la Mbagala na kule Zanzibar it is now obvious about the agenda behind these movements. Mwenye ufahamu na afahamu sasa.
Sheikh Ponda amefanya kosa gani?..tujue kwanza kisha tutajadili kitu kinachoeleweka haya ya kudandia treni tu kusema kweli wengine hatuwezi.. Tuambieni kafanya nini kufikia kukamatwa..
And why muslims tu bhana? Kule nigeria ni wao wanachinja wenzao, alshabab, alqaeda, taliban, janjaweed na hezbolah yote haya ni ya waislam! Why are they so easy to be used in a wrong way? Why huyo mungu wao wanampiganiaga badala ya mungu kuwapigania wao? Sometimes i do get confused na upeo au IQ ya waumini hao! No offence to muslims ila jameni i thnk uislamu ungefutwaga duniani amani irudi. Tangu enzi za nabii Samwel mpaka leo wanasumbua? Why them?