Sheikh Ponda akamatwa Dar!

Sheikh Ponda akamatwa Dar!

'utawala na utawale
serikali isituchekee tunapofanya makosa'-Askofu Mokiwa
 
Sasa isiwe akamatwe kwa sababu wameamua kumtoa kafara; Ponda hajaanza leo kusema anayoyasema. Kama muda wote (miaka yote) wameweza kumvumilia imekuwaje leo waamke na kusema wanamkamata?

Kama kosa ni yale ya Mbagala au anayoyasema ukweli ni kuwa itakuwa ni kumuonea! Kosa ni la serikali inayotawala. Ukiacha mlango wazi kwenye zizi kila sikuw watu wanakuambia chui ataingia na kula mbuzi nawe ukapuuzia siku chui akiingia na kula utalaumu zizi kwanini halikufungwa?
issue siyo kukamatwa huyu dogo ni kwamba watanzani tumejifunza mengi kutokana na utawala wa mwislamu. anaingia akiwa mtu safi lakini wenyewe wanakuja na kusema sasa ni wakati wetu wakimaanisha waislamu wapendelewe zaidi.wanafanya kila vurugu wanachiwa huru hukohuko polisi kisa IGP ni mwislamu!!! dawa ni kuto kumchagua RAIS MWISLAMU TENA KAMA TUNAITAKIA MEMA NCHI YEU.
 
Sasa isiwe akamatwe kwa sababu wameamua kumtoa kafara; Ponda hajaanza leo kusema anayoyasema. Kama muda wote (miaka yote) wameweza kumvumilia imekuwaje leo waamke na kusema wanamkamata?

Kama kosa ni yale ya Mbagala au anayoyasema ukweli ni kuwa itakuwa ni kumuonea! Kosa ni la serikali inayotawala. Ukiacha mlango wazi kwenye zizi kila sikuw watu wanakuambia chui ataingia na kula mbuzi nawe ukapuuzia siku chui akiingia na kula utalaumu zizi kwanini halikufungwa?

Mh. Mzee Mwanakijiji......tumekuwa mara nyingi tukipigia kilele mambo ambayo tuliyaona hayataleta mustakabali mwema kwa nchi yetu..........viogozi wetu kwa sababu zao waliamua kukaa kimya .......sasa yameanza kukomaa.........kuondoa amani ni jambo rahisi sana...hata mtu mmoja tu anaweza.........lakini kurudisha amani ni kazi ngumu sana na inayochukua muda mrefu sana.... ndiyo mabadiliko yoyote yana gharama......na gharama ni kiasi... hivi hatuwezi kufanya mabadiliko kwa gharama ya chini kabisa???............".Dhambi kubwa duniani ni tamaa na choyo" -- JS Malecela WM (mstaafu)
 
Siku zote nitalaani unafiki.........

Imekuwa kawaida yenu sasa kutokuwa na msimamo imani yenu inapoingia majaribuni kiasi mnakuwa na matamko mawili yanayopingana. Tukio la Mbagala mmelilaani na wengi wenu mkasema kuwa UISLAMU HAUFUNDISHI VILE. Haikuishia hapo, mkadai vile vile kuwa, tukio lile haliwezi kamwe kufanywa na Muislamu kwa kuwa ni kinyume cha mafundisho ya Marehemu Mohammad. Mkasema kuwa mambo yale machafu yamefanywa na watu wenye nia ya kuuchafua Uislamu. Mimi naamini hayo yote yamesemwa ili tu kutuaminisha kuwa Uislamu hauungi mkono vurugu.

Cha kushangaza (unafiki mbaya), unapofikia wakati wa sheria kuchukua mkondo wake dhidi ya watu ambao mwanzo mmewakana kuwa si Waislamu ila wana nia tu ya kuuchafua Uislamu, basi mnageuka. Hapo kauli yenu ni UISLAMU UNAANDAMWA.

Ina maana wahalifu wana uhusiano na Uislamu kiasi wakikamatwa mseme uislamu unahujumiwa?


Laana huonekana kwa matendo ya mwanadamu, na unafiki ni sehemu ya laana hiyo.

Mwana,
Kwa sehemu nakubali mtiririko wa hoja zako, na hasa kwa vile umelitumia vizuri sana neno unafiki.
Mara nyingi mimi hufikiri kuwa unafiki ni kapu (kwa neno moja) ambalo ndani yake kuna aina nyingi/tofauti za uovu.

Kwa sehemu pia sikubaliani wewe na kumshambulia Mkandara moja kwa moja. Unless una ushahidi mathubuti.

Ni wazi udini kwa sasa hapa nchini ni tatizo kubwa. Ni vema tutafakari na kufanya kazi ya ziada tatizo hili lisije kuwa baya zaidi kwani waliolianzishwa hawaitakii mema Tanzania ya leo wala ya kesho.
 
Unajua Highlander, ninashawishika kuamini waislamu ni hatari kwa amani ya nchi yetu kwa sababu matukio ya kukamiana kati ya wakristu na waislamu yaliibuka wakati wa utawala wa Mwinyi na yamekuja kujirudia tena wakati huu. Sitaki kuamini kwamba wote Kikwete na Mwinyi wana IQ ya kuku, naaamini kwamba dini yao ndo tatizo. Na kama wataendelea kupewa nafasi ya kuongoza hawa watatuletea vita na umaskini wa kupindukia nchini. Maana katikati zote walizoshika nchi hawa jamaa hali ya umaskini iliongezeka na stability ya nchi iliyumba. Next time moja ya kigezo cha kuchagua rais iwe dini. Say no to Islam. Ni hatari kwa mstakabari wa taifa letu.

Lukolo naomba nitangaze kwako na kwa msomaji yeyote mwingine wa uzi huu kwamba mimi ni Mkristo wa madhehebu ya Protestant.

Kuna nchi za Kiislam kama Turkey ambako kuuna wasomi katika imani nii ujinga wa Iran hakuna pale. Nimeisema Turkey lakini zipo sehemu nyingine duniani ambako unaweza kuona religious tolerance. Dini hii ya Uislam inazo kanuni nyingi sana ambazo ndizo hizo hizo zipo katika Ukristo. Deviation inaletwa na njaa kutokana na wahubiri kutafuta sifa ili wapewe fedha za ufadhili na watu wenye agenda za kisiasa kwa kuitumia dini. Iran ina agenda za kisiasa katika kufinance uharamia wa kidini.

Bila agenda za kisiasa, dini ya Kiislam ingekuwa tu kama sect mojawapo ya kikristo inavyotofautiana na nyingine lakini waumini katika hizo sect wakaishi kwa amani kila mmoja akiamwamini Mungu kivyake. Wa Iran wanajua nani katika nchi hii ana akili finyu wamtumie kwa mgongo wa dini, na matokeo ndo haya tunayoyaona.

Siungi mkono hoja ya kuhukumu dini nzima ya Uislam kama tatizo. Tatizo ni mis-use ya dini hiyo. Kwa hiyo kazi ya vyama vya siasa, au hata walio katika uongozi wa nchi ni kuwa makini na waumini. Tuchague watu wenye uelewa mpana katika mambo haya katika mengi ambayo wanatakiwa kuyajua.

Hizi IQ za kuku ndio issue hapa.
 
Ingewezekana tunge ban all this imported religions ili tubaki na usafi wa Utanzania na Uafrika wetu...
 
Quran haiwezi kuwa na uzito sawa kwa watu wote... Ina uzito kwa Waislamu, MUISLAMU amb
ae anaamini katika hio dini ya Uislamu... Na kwetu sisi Qurani ni kitabu tukufu na sio kitabu cha kawaida, hakitakiwi kidharauliwe, kejeliwa, chezewa kwa namna yoyote ile kwa mtu yeyote yule ambae anaamini. Hili tukio halifanyi iwe sababu ya kuona ni kitabu cha kawaida... na kutobadilika kwa yule mtoto haina mana kuwa kitabu ni batili... Ni wazi kuwa hivyo huwa vitisho vya kujenga woga kwa waumini na wasio waumini...

Huo utukufu wa kitabu unatunzwa kwa kuhakikisha aisye kuwa na imani pia asikichezee na kufanya lolote kama vile ambavyo wa Kisto nao walitakiwa kusimamia kitabu chao tukufu kisifanyiwe hivyo. Yule mtoto alifanya makosa... ni makosa ambayo yanaeleweka kabisa na hata mtu mzima angeweza kufanya maana kwa lolote ili liwe proven ni lazima experiment ifanywe...

Katika hili nalaumu ambaye alimshawishi yule mtoto, nalaumu Waislamu ambao wanachukulia kuwa sababu Quran ni tukufu kwetu basi ni takatifu kwa woote, Nalaumu wakristo wote ambao hujuchukua hoja za Waislamu kwa wepesi, Nalaumu Waislamu wanao jisahau na kudhani kuwa hii inchi ni yetu (waislamu peke yake na kuwa basi iendeshwe kwa misingi ya Uislamu na sio kwa ukumla wake) na nakulaumu wewe pia idawa kwa kuwa moja ya wale ambao hukurupuka na ku rule out kuwa Qurani na Waislamu sio kitu lolote for what ever reasons....

Inabidi tufike wakati wa kuheshimu dini za wenzetu, Waislamu waheshimu Wakristo na vice versa...

Mkuu nimekuelewa vizuri sana...najua umesoma bandiko langu lote, ukawaida niliouzumzia mimi sio ulioutafsiri wewe.na sijasema kuchukuliwa kawaida basi ndio idharauliwe hapana. Lengo langu ni hapo nilipobold mkifanikiwa kufuta hiyo imani ambayo haipo vizazi vijavyo haviji kugombana wala kubishania kitu ambacho hakiwezekani....hata ukijaribu kufuatilia vurugu zinahusiana na uchomaji Qurani utakuta muislamu ndio mwanzilishi au mshadadiaji.ndio maana mwisho wa tukio mwisilamu huwa ndio anapaniki sababu hupata majibu tofauti na alivyoaminishwa kuwa mbishani wake anaweza kugeuka kuwa kichaa au mjusi...La mhimu kila mtu aheshimu imani ya mwenzake bila kujali mkristu.mwislam au mpagani.!
 
Last edited by a moderator:
kikwete hana mamlaka ya kuifungia redio yetu,
inaonesha huna uvumilivu,sio kila usichokipenda wewe na wenzio hawakipendi,,,,na unachokipenda wewe na wenzio wakipende,,,,,u show how fool ur,,,,,hata kuongoza nyumba yako utshindwa,,,,
wewe hupendi mavi yako,laki nzi wanayapenda,,,,,comeon

Kwa hiyo kikojozi wa quran tukufu naye alikuwa sahihi??? kama wapo waliopenda tukio lile??? tukio la kukojolea quran unaonyesha hauna uvumilivu.
 
Leo nimeangalia kwenye mitandao mbali mbali kuona kama kuna gazeti limeandika kuwa Ponda amekamatwa, lakini sikuona mahali popote. Kuna ambaye anayeweza kunielekeza kwenye habari hizo, tofauti na hii iliyoletwa hapa jamvini?
 
Naona wale 120 walioko selo wamemtaja yule jamaa mchochezi sana yule bora akanyee debe

Mark my words!! Ponda hawezi kunyea debe as long as Kikwete is president of this poor country!!
 
Amani ya kweli ni ile inayowapa wananchi wote haki sawa. Na kufanya jitihada wale waliokuwa nyuma, nao kuwakaribia wenzao. Pasipo na hivyo wale waliokuwa nyuma ni rahisi kuona wanadhulumiwa

Kwa hiyo unataka kusema wote walionyuma wamedhulumiwa???? wamasai na wamakonde kwa mfano kuwa nyuma kielimu kuliko wachaga na wahaya nao ni nani kawadhulumu????

Kama waislamu hawatawekeza kwenye elimu dunia ambayo ni dira ya maisha yetu yote kamwe hawatasonga mbele.

Tangu uhuru kanisa ndilo lilikuwa na shule kuliko serikali kama sio mwalimu kutaifisha mlitaka kupendelewa vipi waislamu?

Hakuna mahali popote dunia ambapo Rais wa nchi aliwahi kunyang'anya shule za dini yake ili watu wa dini nyingine wasome isipokuwa NYERERE TU.
 
Wasipomwachia mpaka ijumaa, maandamano mpaka gereza alilowekwa wanamtoa na wanaondoka zao, i give yu my word serikali itasema imeepusha madhara
 
Sasa isiwe akamatwe kwa sababu wameamua kumtoa kafara; Ponda hajaanza leo kusema anayoyasema. Kama muda wote (miaka yote) wameweza kumvumilia imekuwaje leo waamke na kusema wanamkamata?

Kama kosa ni yale ya Mbagala au anayoyasema ukweli ni kuwa itakuwa ni kumuonea! Kosa ni la serikali inayotawala. Ukiacha mlango wazi kwenye zizi kila sikuw watu wanakuambia chui ataingia na kula mbuzi nawe ukapuuzia siku chui akiingia na kula utalaumu zizi kwanini halikufungwa?

Watu kama wewe ndio wabaya zaidi hata huyo Sheikh Ponda, Huwezi kuridhika tuu na kuwa fitna kashikwa na anachukuliwa hatua, Nini zaidi unachotaka. Mnafiki wa kidini wewe
 
issue siyo kukamatwa huyu dogo ni kwamba watanzani tumejifunza mengi kutokana na utawala wa mwislamu. anaingia akiwa mtu safi lakini wenyewe wanakuja na kusema sasa ni wakati wetu wakimaanisha waislamu wapendelewe zaidi.wanafanya kila vurugu wanachiwa huru hukohuko polisi kisa IGP ni mwislamu!!! dawa ni kuto kumchagua RAIS MWISLAMU TENA KAMA TUNAITAKIA MEMA NCHI YEU.

Nadhani hitimisho lako si sahihi sana......mara nyingi suluhisho za matatizo haya ni aidha kuweka uongozi wa uwiano au kugawana nchi...na hiyo huishia kwenye vita juu ugawaji ya rasilima...na bado nchi hii si ya waislam na wakristo pekee.....kwa hiyo si rahisi hivyo kama.... unavyofikiria
 
Lukolo naomba nitangaze kwako na kwa msomaji yeyote mwingine wa uzi huu kwamba mimi ni Mkristo wa madhehebu ya Protestant.

Kuna nchi za Kiislam kama Turkey ambako kuuna wasomi katika imani nii ujinga wa Iran hakuna pale. Nimeisema Turkey lakini zipo sehemu nyingine duniani ambako unaweza kuona religious tolerance. Dini hii ya Uislam inazo kanuni nyingi sana ambazo ndizo hizo hizo zipo katika Ukristo. Deviation inaletwa na njaa kutokana na wahubiri kutafuta sifa ili wapewe fedha za ufadhili na watu wenye agenda za kisiasa kwa kuitumia dini. Iran ina agenda za kisiasa katika kufinance uharamia wa kidini.

Bila agenda za kisiasa, dini ya Kiislam ingekuwa tu kama sect mojawapo ya kikristo inavyotofautiana na nyingine lakini waumini katika hizo sect wakaishi kwa amani kila mmoja akiamwamini Mungu kivyake. Wa Iran wanajua nani katika nchi hii ana akili finyu wamtumie kwa mgongo wa dini, na matokeo ndo haya tunayoyaona.

Siungi mkono hoja ya kuhukumu dini nzima ya Uislam kama tatizo. Tatizo ni mis-use ya dini hiyo. Kwa hiyo kazi ya vyama vya siasa, au hata walio katika uongozi wa nchi ni kuwa makini na waumini. Tuchague watu wenye uelewa mpana katika mambo haya katika mengi ambayo wanatakiwa kuyajua.

Hizi IQ za kuku ndio issue hapa.

And why muslims tu bhana? Kule nigeria ni wao wanachinja wenzao, alshabab, alqaeda, taliban, janjaweed na hezbolah yote haya ni ya waislam! Why are they so easy to be used in a wrong way? Why huyo mungu wao wanampiganiaga badala ya mungu kuwapigania wao? Sometimes i do get confused na upeo au IQ ya waumini hao! No offence to muslims ila jameni i thnk uislamu ungefutwaga duniani amani irudi. Tangu enzi za nabii Samwel mpaka leo wanasumbua? Why them?
 
Yamekuwa yakisemwa mengi kwa muda mrefu juu ya harakati hizi za kiislamu Tanzania lakini imekuwa ni bahati mbaya sana mara zote yamekuwa yakichukuliwa kisiasa zaidi. At least, kwa hili la Mbagala na kule Zanzibar it is now obvious about the agenda behind these movements. Mwenye ufahamu na afahamu sasa.

agenda gani,,,,kama unaijua si uitaje?????
 
Sheikh Ponda amefanya kosa gani?..tujue kwanza kisha tutajadili kitu kinachoeleweka haya ya kudandia treni tu kusema kweli wengine hatuwezi.. Tuambieni kafanya nini kufikia kukamatwa..

Mkandara si kwamba hajui kinachoendelea . Anajua fika hata makosa ya Ponda anayajua. Anachokifanya ni kufunga ubongo wake wa great thinker na kufungua wa kidini. Dini ni upofu unaomfanya hata Prof asijiulize kwanini ni muislamu, kwanini ni mkristu au mpagani. Kwa mambo mengine anajiuliza kila kitu ikfika kwa dini kafyata. Sasa kwa taarifa yako tu nikuambie kati ya dini hizi mbili.ukristo, uislamu. Kuna dini.moja ya shetani na dini.ya pili ni ya Mungu. Manake ni kuwa wale maprophesa, Madaktari, wasomi, wanasayansi ya jamii, wsgalme, marais na wale wote waliojaliwa hekima lakini wako kwenye dini ya shetani huku.wskiamini wsko kwenye dini ya Mungu ni wajinga na wapumbavu. Tafakari.
 
And why muslims tu bhana? Kule nigeria ni wao wanachinja wenzao, alshabab, alqaeda, taliban, janjaweed na hezbolah yote haya ni ya waislam! Why are they so easy to be used in a wrong way? Why huyo mungu wao wanampiganiaga badala ya mungu kuwapigania wao? Sometimes i do get confused na upeo au IQ ya waumini hao! No offence to muslims ila jameni i thnk uislamu ungefutwaga duniani amani irudi. Tangu enzi za nabii Samwel mpaka leo wanasumbua? Why them?



Your frustration is understandable chief. Ha ha ha ha! Ila ujue wakati Mwinging a majority voice inaweza ikafunika a very sobber minority. Na mi naamini hii case ya kina alshabab, alqaeda, taliban, janjaweed na hezbolah inawezekana kabisa ikawa case ya wehu wengi ambao wanafunika sauti ya watu sober katika kundi hilo. Hiyo sauti kali ya kina alshabab, alqaeda, taliban, janjaweed na hezbolah haimaiishi kuwa kila mmoja katika kundi anawaza hivyo.

Na hii ndo maana naogopa sana kutupa blanket statements za hukumu kuwa Waislamu wooote ni wabaya. Tunachoitaji ni ku identify wehu na kuwafix. Kwa mfano katika kesi ya Tanzania tatizo ni Iran.
 
Back
Top Bottom