Ujinga wako haufichiki ndugu yetu, sheria hailinganishi makosa na kuamuru kwa kuwa kosa la kwanza ni kubwa basi aliyekosewa naye avunje sheria.
Askofu kuomba radhi ni kwa kitendo cha mtoto aliyekosa maadili kiasi akakojolea kitu cha mtu mwingine, hiyo haimaanishi kuwa anaunga mkono wezi nyinyi kuiba vitu kanisani na kuchoma moto kanisa.
Mlipochoma makanisa kule Zanzibar, nani aliomba radhi kwa hilo? Au kule nako mlikojolewa kwa hiyo ikawa haki yenu kuyachoma?
Kwani Kuidhalilisha Qur'an ni kosa dogo?
Tatizo ni huko Tanganyika waandishi wa habari wamejawa ushabiki wa kidini kiasi cha KUSAHAU CHANZO na kushabikia MATOKEO. Ni mara ngapi tumeshuhudia vyombo va habari vya huko vikiandika watu wenye hasira wamemchoma moto na kumuua kibaka. Lakin haviandiki hata siku moja watu wenye hasira wamemuua Mtu.
kwa kitendo alichofanya muumini wake. Lakin utashangaa suala hili huko Tanzania halijaonyeshwa wala kuandikwa ila tumemuona na kumsikia katika Aljazeera News. Je hao waandishi wenu wa habari wnawapeleka wapi?Kumbuka kuwa Askofu mkuu wa Kanisa la Anglican huko Tanzania Dr Mokiwa amewaomba radhi waislam
Poleni sana. Tuombe Mola mengi tutayasikia.
Mkuu kwa hiyo Kama Serikali walizembea waendelee kumwacha aendelee na uchochezi?Sasa isiwe akamatwe kwa sababu wameamua kumtoa kafara; Ponda hajaanza leo kusema anayoyasema. Kama muda wote (miaka yote) wameweza kumvumilia imekuwaje leo waamke na kusema wanamkamata? Kama kosa ni yale ya Mbagala au anayoyasema ukweli ni kuwa itakuwa ni kumuonea! Kosa ni la serikali inayotawala. Ukiacha mlango wazi kwenye zizi kila sikuw watu wanakuambia chui ataingia na kula mbuzi nawe ukapuuzia siku chui akiingia na kula utalaumu zizi kwanini halikufungwa?
Kwani Kuidhalilisha Qur'an ni kosa dogo?
Tatizo ni huko Tanganyika waandishi wa habari wamejawa ushabiki wa kidini kiasi cha KUSAHAU CHANZO na kushabikia MATOKEO. Ni mara ngapi tumeshuhudia vyombo va habari vya huko vikiandika watu wenye hasira wamemchoma moto na kumuua kibaka. Lakin haviandiki hata siku moja watu wenye hasira wamemuua Mtu.
Kumbuka kuwa Askofu mkuu wa Kanisa la Anglican huko Tanzania Dr Mokiwa amewaomba radhi waislam kwa kitendo alichofanya muumini wake. Lakin utashangaa suala hili huko Tanzania halijaonyeshwa wala kuandikwa ila tumemuona na kumsikia katika Aljazeera News. Je hao waandishi wenu wa habari wnawapeleka wapi?
Poleni sana. Tuombe Mola mengi tutayasikia.
Two wrongs don't make a right. Pamoja na hiyo ni lazima uangalie mazingira yaliyopekea Qoran kukojolewa.
Tanzania bado tuna kazi kubwa.Acheni kudanganya wenzenu enyi majirani zetu. Ponda akikamatwa, au akifanyiwa uhalifu wowote hata kwa bahati mbaya. Kitakachotokea matahadithia kwa miaka hamsini mingine kwa wale watakao kua hai.
Kumbekeni nini kilitokea mombasa baada ya kupigwa risasi kwa sheikh aboud rogo, na watu eti wasiojulikana. Vijana wa kiisalamu walichukua mwili wa marehemu na kwenda kumzika kimya kimya. Walipo rudi, nadhani mlisikia nini kilichotokea. Ilibidi waombwe wazazi wa kiislamu kuwazuia watoto wao.
Yaani kama kuna maadui wa kiislamu wanaojidai kupambana na uislamu, basi jueni vijana wa kiislamu wao wamepinda zaidi. Endeleeni kuwachokoza. Kama uliangalia vizuri, zile vurugu za mbagala ziliongozwa na watoto wa madrasa tu.
Sasa mkamateni sheikh ponda, ndio mtawajua kaka zao wale watoto wa madrasa.
Ponda hayuko juu ya sheria. Anaweza kuitwa kuhojiwa wakati wowote ili kuweka jambo bayana. Hivyo mnavyo shangilia kua kakamatwa huo upotofu wa taarifa.
Ponda haongei uchochezi. Anaongea kwa hoja na ndio maana sheria haiwezi kumtia hatiani. Kuweni waelewa.
Kama ponda angekamatwa kwa staili hiyo, saa hizi tungekua tunaongea habari nyingine. Waislamu wote tunajua wajibu wetu katika kuwalinda viongozi wetu.
Wako tunao tumia busara katika hili, lakini wapo vijana wao ni kazi pale wanapo amrishwa.
Hii nchi tusipo kua na adabu na nidhamu, juu ya imani na tofauti zetu, basi msishangae tukigawana milango na madirisha.
Hatupendi tufike huko, lakini hatuko tayari kua second citizen katika nchi tulio ipagania. Mlicho tufanyia ni sawa sawa na kumtu kukuomba lifti, na wewe unampa kwa roho mmoja kama binadamu mwenzako, kumbe ni jambazi. Bahati nzuri tumeshtuka, before it is too late.
Sasa ukitaka kujua ladha ya sumu onja.
Kwa mtazamo wako huo basi neno 'Uchochezi' litakuwa halina maana kabisa na inabidi tulitoe kwenye kamusi yetu. Lakini Ponda aliongezea kwamba kuanzia sasa waislam watakuwa wanadai haki zao bila kufuata sheria za nchi na kazi ndiyo imeanza...na hilo na lenyewe sijui utalisemeaje?
ni kweli wamemkamata maana ni janga kwa taifa letu akati yeye sio mtz...mbona sheikh mkuu hana reasons kama zake...a behave bwana, hatutaki kuwa kama somalia na vita
Je mtu aliyosoma na kulelewa kimadili anaweza sio tu kukojolea kitabu cha Cha Dini yake au Ningine. lakin sifikirii hata kama ataweza kukojolea daftari lake la skuli?
Je ina maana mtoto huyo hajapata mafunzo yale ya sunday school?
sasa unataka sema sheikh mkuu ni galasa? nani aliemchagua? na kama mnaongozwa na galasa wamaanisha nini sijakuelewa? then wewe unaona mtu anaendekeze udini ndo jembe zaidi ya yule anaetaka mema? nadhani Mungu wa sheik simba na yule wa ponda ni tofauti... sasa sijui wewe wamfuata nani? mtaka mema ama mtaka maovu?Sheikh Mkuu ni GALASA ndio maana hawezi kuwa na reasons km za ponda.
Tunataka hao polisi ccm watueleza ponda kafanya nini mpaka akamatwe.bla ya hzo facts,basi itakuwa ni kupoza mfumo kristo kwa kile kichowakuta mbagala.
uchocheziAcheni kudanganya wenzenu enyi majirani zetu. Ponda akikamatwa, au akifanyiwa uhalifu wowote hata kwa bahati mbaya. Kitakachotokea matahadithia kwa miaka hamsini mingine kwa wale watakao kua hai......
Wakifanya kazi nzuri lazima tuwasifie! wakifanya vibaya lazima tuwaambie ukweli.Teh teh teh
na ule wa roma pia ufungwe