Waislam tunaojitambua.
Tatizo lako hauna matusi mapya toka 2006 matusi haya haya, Bavicha bana.
Serikali iache kuingilia taasisi za Kiislamu na kulazimisha wote wawe chini ya BAKWATA.Suluhisho sio kukamata watu
Inategemea tafsiri ya neno tusi ni nini!
Mbona mimi sio Muislamu lakini Namwamini kwa anachokifanya. Anachofaya Shekhe Ponda ni kuwaelimisha Watanzania kuwa CCM haifai kuongoza tena nchi hii na lazima waondoke je hilo ni mosa?
Mbona waliowahi kumsifia KIKWETE kuwa ni Chaguo la Mungu hawakukosolewa au kwa vile walikua ni Viongozi wa dini ya Kikristo na leo anae wakosoa ni Kiongozi wa dini ya Kiislamu?!
Maccm wapeni waislam HAKI zao mlizo zibaka.
Hii nchi ukianza kutaja uozo wa CCM basi wewe ni mchochezi, hivi CCM mnayofanya kuna asiyo yajua kweli?
au mnadhani mtatawala daima?
CUF chukua nchi hii utoe haki sawa kwa woteeeeeeeeeeeeeee
Mkuu nina hakika asilimia mia moja hujui madai ya Shekh Ponda
huuu sasa wehu. utamsapoti vp mcheza karate na mteka.misikiti. ponda ni mwe.huuuu na anatakiwa kutokomezwa kama.wale wengine wa UAMSHO
After all..toka lini kuishambulia serikali kwa hoja na kutofautiana mitizamo ikawa jinai?Hii ni haki ya Sheikh Ponda ya kikatiba kabisaa!mwacheni atwange siasa....Mbona akina Lowasa wako makanisani on a daily basis!Serikali iache kuingilia taasisi za Kiislamu na kulazimisha wote wawe chini ya BAKWATA.Suluhisho sio kukamata watu
Inategemea tafsiri ya neno tusi ni nini!
Leo ponda anaungwa mkono? Duh au kwa sbb ameisema CCM!
Huyu sheikh huwa si mwamini wala kumwelewa
Ponda anasema ukweli nani asiyejua kuwa ndani ya Chama na Serikali ya Chama Tawala kumejaa wahuni watupu?It's about time now Ponda beats you at your own game,almost same way you did to sabotage CHADEMA votes in 2010 General election as well as Igunga's by-election.
Imani issue nyingine,ccm wachague pakuzikwa tu...ww Ritz unachopongeza kwa kilaza ponda ni nini?
ilhali ww mwenyewe ni mtetezi wa ccm. Yani leo ccm imekuwa mbaya kwasababu ya ponda.
laaahaula ritz huna msimamo na huelewi unachokisimamia.
Serikali iache kuingilia taasisi za Kiislamu na kulazimisha wote wawe chini ya BAKWATA.Suluhisho sio kukamata watu
Inategemea tafsiri ya neno tusi ni nini!