Sheikh Ponda aanza tena kuchafua hali ya hewa

Status
Not open for further replies.
Wewe umuamini wala usipomuamini haituhusu, sisi tunamuamini...

nyie akina nan? mnashikiwa akili na mpuuzi ambaye hata shule hajaenda? nimeshawahi kuhudhuria mihadhara yake kama mitatu hv, yan hata namna yake ya kujenga hoja ni weak sana. waislam wenye akili safi hawatak kbs hata kuhusishwa na huyu mpuuzi.
JITAMBUE
 
Wewe umuamini wala usipomuamini haituhusu, sisi tunamuamini...
Naona Ponda anakuchanganya akili!! Sasa unamuamini kwa vile ni muislamu mwenzako. Lakini anapokuwa kinyume na utawala wa magamba unang'aka na kuduwaa mithili ya mjusi aliyebanwa na mlango!!!
 
Serikali iache kuingilia taasisi za Kiislamu na kulazimisha wote wawe chini ya BAKWATA.Suluhisho sio kukamata watu

Inategemea tafsiri ya neno tusi ni nini!

This is first sensible thing i have read coming out from pro chadema toka mwaka ulipoanza.. tatizo ni kulazimishana kuwa chini ya bakwata, bakwata ambayo wakiitwa waislam kumi tisa watakuwa hawana imani nayo
 
Hivi nyie mnajua haki anazosema ponda za waislamu?
Baadhi ni hizi:
-bungeni kuwe 50% kwa 50% wakristo Vs waislamu
-Ajira za serikalini lazima ziwe 50 kwa 50 waislamu Vs wakristo
-yeye anadai haya yote yakishindikana basi nchi igawanywe katikati upande wa pwani wote wabaki waislamu na waislamu walioko bara wahamie huko na upande wa bara wabaki wakristo na wakristo walikoko pwani wahamie huko!

Yaani serikali iajiri mtu kisa dini yake???

Hivi mmejiuliza kwa nini awaambie tu waislamu ndo waandamane? Kwani inamaana serikali inawaonea tu waislamu?

Najua CHADEMA tunataka kumsupport kwa sababu amekaa against CCM(just because ana uhakika 2015 watasimamisha mkristo)
anaposema waislamu wapigane Jihad, anataka wapigane Jihad against whom?
CCM? Or Christians?
Huyu ana agenda zake za siri na mojawapo ni kutaka kuona 2015 rais ni muislamu over!

UDINI! UDINI! UDINI!
Mbaya sana!
 
Naona Ponda anakuchanganya akili!! Sasa unamuamini kwa vile ni muislamu mwenzako. Lakini anapokuwa kinyume na utawala wa magamba unang'aka na kuduwaa mithili ya mjusi aliyebanwa na mlango!!!

Mbona mimi sio Muislamu lakini Namwamini kwa anachokifanya. Anachofaya Shekhe Ponda ni kuwaelimisha Watanzania kuwa CCM haifai kuongoza tena nchi hii na lazima waondoke je hilo ni mosa?

Mbona waliowahi kumsifia KIKWETE kuwa ni Chaguo la Mungu hawakukosolewa au kwa vile walikua ni Viongozi wa dini ya Kikristo na leo anae wakosoa ni Kiongozi wa dini ya Kiislamu?!
 
Hii biashara ya watu kutumia nyumba za ibada kufanya siasa inazidi kutugharimu siku hadi siku... Ipo kila sababu ya serikali kukataza matumizi ya majukwaa ya ibada, kusema chagua chama hiki, au usichague chama kile... Kama watu wanataka siasa waende kwenye majukwaa ya siasa. Waumini wanaenda misikitini/makanisani kuomba Mungu na kuhubiriwa elimu za dini, sio kusikiliza siasa
 
Well done Ponda! Polisi na CCM ni sawa Kopo na Mfuniko.!! Ingekuwa ni Shekhe mkuu wa Bakwata Tanzania (taasisiya Ccm) ndio amezungumza kukosoa CUF au CDM,tusingesikia ikisemekana akamatwe kwa kuchochoea uasi. Lakini kwa kuwa Shekhe Ponda anawananga CCM chama ambacho ndio Adui mkubwa wa Watanzania basi lazima ataitwa mchochezi.

Mwigulu Nchemba ni mara mangapi amezungumza maneno ya Uchochozi na hakuchukuliwa hatua zozote? Kunya anye kuku,akinya Bata ni Kuhara!!
Binafsi namuunga Ponda mkono kuendelea kuwatangazia Watanzania ubaya wa CCM.

Waliposimama viongozi wa Dini na kumtaja kiongozi wa mmoja sasa wa CCM kuwa ni Chaguo la Mungu mbona hatukusikia CCM wakipinga,ila leo akisimama kiongozi wa Dini km yule mwingine na kuikosoa CCM ndio tunaambiwa ni mchochezi au anataka watu Waasi!? Ama kweli ukizoea vya kunyonga vya kuchinja huwezi!! Shame on CCM!

....hili tamko waga silielewagi 'mara ati Dr. Slaa kanisa wamlipigia debe, mara eti 'kanisa walisema JK chaguo la Mungu'

...naomba wenye uhakika na tamko hili nijuzeni jamani...
 
Mkimkamata mnamuogopa , mkimuacha anazid kuwapa headache mpaka mnashindwa kulala,sasa chagueni kimoja kati ya kumpa shavu la u-dc au kumuacha aendelee kuwaliza, enyi magamba wote nadhani mumenisoma kisawa sawa.
 
Serikali iache kuingilia taasisi za Kiislamu na kulazimisha wote wawe chini ya BAKWATA.Suluhisho sio kukamata watu

Inategemea tafsiri ya neno tusi ni nini!
Ben, hapa sio suala la Bakwata Vs Taasisi nyingine za kiisilamu. Hapa kitu kikubwa ni ukiukwaji wa masharti ya kifungo cha nje
 
tatizo ni kuwaambia waislamu wasiichague ccm hiyo ya maandamano wamejuaje ni haramu ilihali hayajapangwa ni lini?
Mbona maaskofu waliposema upinzani usichaguliwe maana kikwete ni chaguo la mungu mlitulia kimya?

ni lini maaskofu walisema upinzani usipigiwe kura ilhali ccm wanasema wapinzani walipigiwa kampeni na maaskofu?kwa hapa mkuu usitake kutudanganya wala kutuchanganya!ccm ndo walikuwa na kampeni za kidini kwa msaada wa misikiti kama alivyotanabaisha alhaji lipumba!
 
nyie akina nan? mnashikiwa akili na mpuuzi ambaye hata shule hajaenda? nimeshawahi kuhudhuria mihadhara yake kama mitatu hv, yan hata namna yake ya kujenga hoja ni weak sana. waislam wenye akili safi hawatak kbs hata kuhusishwa na huyu mpuuzi.
JITAMBUE
Wewe humjui Sheikh Ponda issa Ponda,wanaomjua hamsemi,muulize Wilfred Lwakatare ambaye alikuwa naye mahabusu,atakuambia kuhusu Ponda.Ponda sio mnafiki,ponda daima huongea ukweli unaoambatana na vielelezo ambavyo humfanya kila anayemsikiliza amwamini.Vivaa shekh wetu Ponda,tuko nyuma yako
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom