HASSAN SHEN
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 428
- 69
Hivi nyie mnajua haki anazosema ponda za waislamu?
Baadhi ni hizi:
-bungeni kuwe 50% kwa 50% wakristo Vs waislamu
-Ajira za serikalini lazima ziwe 50 kwa 50 waislamu Vs wakristo
-yeye anadai haya yote yakishindikana basi nchi igawanywe katikati upande wa pwani wote wabaki waislamu na waislamu walioko bara wahamie huko na upande wa bara wabaki wakristo na wakristo walikoko pwani wahamie huko!
Yaani serikali iajiri mtu kisa dini yake???
Hivi mmejiuliza kwa nini awaambie tu waislamu ndo waandamane? Kwani inamaana serikali inawaonea tu waislamu?
Najua CHADEMA tunataka kumsupport kwa sababu amekaa against CCM(just because ana uhakika 2015 watasimamisha mkristo)
anaposema waislamu wapigane Jihad, anataka wapigane Jihad against whom?
CCM? Or Christians?
Huyu ana agenda zake za siri na mojawapo ni kutaka kuona 2015 rais ni muislamu over!
UDINI! UDINI! UDINI!
Mbaya sana!
We ni mwehu