Sheikh Mkuu Dsm aibua utata Freemason

Sheikh Mkuu Dsm aibua utata Freemason

Unaelewa makosa uliyoyafanya kwa makusudi, rudi katubu. Unafki ulioonesha leo nimekusamehe bure tu.


Sikiliza kijana, hakuna pahala Al Hadi kamuombea "maghf.ira" Sir Andy Chande wala hakuna pahala mimi nimemuombea "maghf.ira" Andy Chande.

Tumemuomba Allah "amuweke popote anapostahiki", ulitaka tumuombee nini Allah zaidi ya hicho?

Hakuna wa kutubu hapo isipokuwa wewe usiyeelewa hilo.
 
Awekwe popote ni kuficha tu Dhamira ya mtu mbele ya macho ya umma, lakini nafsi ndiyo yenye jibu.


Wewe unaijuwa "ghaib" ambayo hata mtume wetu Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam haijuwi? Unaweza kweli kama Muislam ukakufuru namna hiyo kusema unaelewa dhamira (ya moyoni) kwa mtu? Hiyo ni shirki kijana.

Nafsi zetu anaezijuwa ni mmoja tu, Allah pekee, sisi tunasikiliza unasema nini au Al Hadi anasema nini ya nafsini tumwachie Allah tusijiingize kwenye shirki.

Al Hadi anasema Chande awekwe popote anapostahiki, na mimi nasema Chande awekwe popote anapostahiki.

Awekwe na nani?
 
Imebidi nicheke tuuuu,
Hilo nalo neeeeeno.
Eeeh unakuta anakuambia fulani freemanson kisa kaendelea lakini yeye haachi kuvunja nazi njia panda na kulala makaburini anajiona yuko perfect
Mungu ndio anatujua nafsi zetu !!
 
WEWE UNAWEZA KANUSHA KAULI ZANGU?
KAMA UNAWEZA NILETEE HAPA MISINGI YA IMANI YAO AU YENU NA KILE WANACHOAMINI/MNACHOAMINI.
Stori za vijiweni zimekuathiri vibaya mkuu. Tafuta muda uingie maktaba uka-brashi huo ubongo.
 
Kwahiyo unataka kusema ndivyo vitabu visemavyo? Mbona huelewi kitu wewe? Huenda nawe ni muumini wa jamii hiyo unayejifichia koti la uislam nisikulazimishe.


Qur;an ipo wazi kabisa kuhusu hilo, achana na "vitabu" vingine vyovyote, muongozo wetu wa kwanza ni Qur'an na Qur'an inasema:

Qur'an 9:113. Haimpasii Nabii na wale walio amini kuwatakia msamaha washirikina, ijapo kuwa ni jamaa zao, baada ya kwisha bainika kuwa hao ni watu wa Motoni.Maelezo

Sasa wewe nioneshe ni wapi Al Hadi kamtakia msamaha kwa Allah, Andy Chande?
 
Eeeh unakuta anakuambia fulani freemanson kisa kaendelea lakini yeye haachi kuvunja nazi njia panda na kulala makaburini anajiona yuko perfect
Mungu ndio anatujua nafsi zetu !!
Swadaktaaaaaa, Mungu ndio anajua zaidi.
 
Ukiweka U-freemason mbeni , Sir Andy Chande alikuwa Binadamu hivyo yatupasa kumuuombea...
Mbona mkuu wa nchi anatufanyia vitu vya ajabu na Tunamuombea...
Unamuombea peke yako kaka
 
Mkuu, ni bora haya ya mkrito maana tunaabudu Mungu moja. Hata injili imetambuliwa katika Qur-an.
Lkn vipi, kwa "ndugu muislam, ambaye jirani yake, ni sir Andy Chande?"...unadhani hata yeye hastahiki shiriki shughuli ya " mazishi ya JIRANI yake?"
 
Sizani kama kuna makosa yeyote kwa sheikh kufanya maombezi juu ya kiumbe kilichopotea,niwajipu wa watumishi wa Mungu wote walio hapa Duniania ili kuokoa roho za watu.
 
Ukiweka U-freemason mbeni , Sir Andy Chande alikuwa Binadamu hivyo yatupasa kumuuombea...
Mbona mkuu wa nchi anatufanyia vitu vya ajabu na Tunamuombea...
Utamuombea kwa nani sasa?Maana huyo tunayemuamini alimkana.
 
Aliyekwambia Freemason wanaamini nguvu za shetani amekudanganya......tatizo hampendi kujishughulisha kuelewa mambo
haha tatizo si kuelewa ni kueleweshwa ili uelewe si kufichaficha mambo sana sasa mnataka watu wasemeje jaman?
 
HIKI ULICHOKIELEZA WATU WENGI TUNAKIFAHAM, NA NDIYO MAANA MZEE CHANDE STILL ALIKUWA ANAINGIA MSIKITINI.
SUALA HAPA MISINGI YAO NI NINI. WANAAMINI KTK NINI.
WANAPOTOA KAFARA WANAFUATA MISINGI YA NANI.
NA WANAPOSWALI WAKATI MWINGINE WAKIWA BILA NGUO HIYO NI MISINGI YA NANI?

KWANI TAFSIRI YA NENO DINI NI NINI?
mkuu swali zuri sana na kwa kuongezea tu ni kwamba kama kila mtu anatakiwa kuwa na iman yake na hiyo iman wanamwamin Mungu wa mbingun how come as a society moja mnakutana halafu mnasema mnamwamin mungu ni yupi huyo ktk iman hiyo?why mueke mambo ya iman wakat kila mmoja ana yake?na sacrifice ni za aina gan?tutashukuru ukifunguka mkuu na kuondoa hii confusion.
 
hahahahahha...aliyekwambia wanatoa kafara ni nani? una ushahidi huo?

Aliyekwambia wanasali wakiwa uchi ni nani ? una ushahidi huo?

Tatizo lenu mnabeba stori za mitaani na kudhani ndio uhalisia...Poleni

It is not our beautiful rituals or their teachings! wha are these rituals?
 
Hii mada ni fitna tu ya kuwatenganisha Waislam.

Waislam tuwe makini katika mada kama hizi. Zinatutengenisha.

Tuungane wote na kuona kuwa Sheikh Hadi hana kosa alilolifanya.
Rafiki yangu...bado tuna tatizo ktk kujisomea na kupata ujumbe...hakika kwa aliesoma na kupata ujumbe wa elmu, hakuna kubagua!
Louis Farakhan, wa NI kwa wasomi wengu wa kiislam, ni muumini....lkn sikiliza "vimbwanga" vya NI
 
Back
Top Bottom