Sheikh Mkuu Dsm aibua utata Freemason

Sheikh Mkuu Dsm aibua utata Freemason

Nimefunuliwa kuielewa freemasonry tangia nikiwa form 6 mwaka 2005.. Sio kila mtu ataielewa freemasonry na hatuna haja kuwafunulia muijue... inachekesha mnapoishutumu kuwa ni dini ya kishetani.. freemasonry sio dini.
Mkuu naona umeongea jambo la mbolea. Nataka kujiunga na hiyo "relationship" nipe connection.
 
Mimi kama kijana msomi wa elimu zote mbili za kiimani na kidunia,uelewa wangu unatosha kabisa kupaza sauti yangu kukekema vitendo vya ajabu kabisa kabisa alivyofanya kiongozi huyu, sijajua anawawakilisha waislam wa kundi lipi kwa nafasi yake hiyo?

Kitendo cha juzi kuhudhuria msiba wa aliyekua kiongozi wa jumuiya ya Freemason Afrika Mashariki na kati Sir Andy Chande huko jijini Dar es salaam na kumuombea sala ama dua, kitendo hiki kimetufedhehesha sana waumini wa dini ya kiislam nchini! ni kitendo cha aibu kutokea na kiongozi huyu anatakiwa kuwajibishwa kwa mujibu wa taratibu na sheria za dini ya kiislamu.Staki unafiki ni kweli tumedhalilishwa sana tena sana.

Ifahamike kua huyu sheikh ameshiriki kile ninachoitwa "SHIRKI". Anatambua kabisa kiongozi huyo wa Freemason anaabudu mungu wake tofauti na Mungu tunayemwabudu sisi,haabudu Mungu huyu aliyemtuma kipenzi chetu mtume Muhammad S.A.w, Sio Mwenyezi Mungu S.W aliyetuumba sisi wanadam pamoja na Mbingu na dunia/Ardhi.

Uislamu hauna hulka ya kuwalea watu wa aina hii, inatia hasira sana na kusikitisha sana kuona mtu anafika mahali flani tena kwa kuwakilisha waumini huku akijua ni kinyume ni mafundisho yetu anashiriki matendo kuikana imani yake. Kamwe waislam wa kweli hatutakivumilia kitendo hiki, labda aseme alienda kuliwakilisha kundi lake alijuaye yeye na sio waislam wote! " NO!NO!" I said NO to this.

Kwa taratibu tu za kawaida hakuna mahali desturi za imani flani zikatumika katika kufanikisha sala ya mazishi ya mtu kutoka imani nyingine, hili haipo otherwise mhusika awe amebadili imani yake kabla ya kufariki dunia.Hapa ndio inapodhihiri kua ajenda ya kiongozi huyo huenda ni tofauti na hatuijui.

Kuna mahali alinukuliwa akisema kua eti yeye alisema kua alimwomba mwenyeziMungu amuweke Mahali panapohusika, hivi kiongozi huyu ni hatambui kua hata kukanyaga eneo lile ni makosa? Kunywa tu hata maji aliyopewa kwenye tukio hilo ni kosa, kuonesha tu sura ya kununa tu kwenye msiba huo lilikua kosa, kula ubwabwa ulioandaliwa kwenye tukio hilo ni kosa kwa mujibu wa mafundisho ya mtume wetu na maamrisho ya kitabu kitukufu cha Qur-an.Kushiriki kwa dua hiyo huyo sheikh anatakiwa kujivua kilemba cha ushakhe,akatubu upya.

Alitakiwa kusimamama na kutolea ufafanuzi jinsi ambavyo imani yetu inatukataza kabisa Kushiriki sala ya mtu kama alifariki akiwa amemkana Mwenyezi Mungu S.W na mtume Muhammad S.W. Kwa imani yetu ni imekatazwa hata Kushiriki sala ya mtu wa dini nyingine mpaka awe ameshahadia au amesilimu.Alitakiwa kuukataa mwaliko kama huo kama yeye ni kiongozi wa waislam wote wanaoiamini Qu-an tukufu.

Nitoe wito kwa waislam wote popote walipo wajitokeze kukemea tabia za aina hii, kunyamaza kimya ni kuonesha kuridhia vitendo vya aina hii na tufahamu kua siku ya mwisho tutajibu.
 
Hivi ni shekh mkuu wa mkoa wa Dar es salaam au shekh mkuu wa bakwata mkoa wa Dar es salaam? Afu jamaa namuona kama ni agent ya wale jamaa watesaji waleee!!
 
Naomba kujuzwa,

Kwa hiyo hata kwenye mazishi ya Wakristo, mnapoalikwa hamtakiwi kuhudhuria? Achana kusoma dua, je muislamu haruhusiwi kuhudhuria?

Je, kula vyakula pamoja na vinywaji vilivyoandaliwa pia ni kosa?
 
Mleta thread sidhani kama umesoma elimu yoyote ya juu ktk hizi mbili ulizotanabaisha. Kumbuka inatubidi kuwaombea hata wale wasioamini bila kubagua ndio maagizo ya Mola wetu. Huenda wewe umesoma ILIMU DUNIA tena ya uchochoroni.
 
Mimi niliwahi kuambiwa na Shehe mmoja kuwa.

Mtume alipoona watu wanapita na maiti akasimama, mmoja akamuuliza "Mbona unasimama na aliyefariki ni kafiri?

Akamjibu maiti haina kosa na inatakiwa kuheshimiwa bila kujali kipindi cha uhai mhusika alikua na imani gani.

Sasa kama aliyekupa uelewa wa Mungu wa kweli hakua na shida kusimama 'kafiri' anapitishwa, kwanini umtenge 'kafiri' huyu?

NB. Sina uelewa mpana wa dini ya kiislamu, Maneno siyo exactly kama niliyoambiwa siku hiyo ila maudhui ni hayo.
 
mm hapo sijaona usomi wako.
kwani huyo sir chande yeye alikuwa sio mtu?
 
Mimi kama kijana msomi wa elimu zote mbili za kiimani na kidunia,uelewa wangu unatosha kabisa kupaza sauti yangu kukekema vitendo vya ajabu kabisa kabisa alivyofanya kiongozi huyu, sijajua anawawakilisha waislam wa kundi lipi kwa nafasi yake hiyo?


Kitendo cha juzi kuhudhuria msiba wa aliyekua kiongozi wa jumuiya ya Freemason Afrika Mashariki na kati Sir Andy Chande huko jijini Dar es salaam na kumuombea sala ama dua, kitendo hiki kimetufedhehesha sana waumini wa dini ya kiislam nchini! ni kitendo cha aibu kutokea na kiongozi huyu anatakiwa kuwajibishwa kwa mujibu wa taratibu na sheria za dini ya kiislamu.Staki unafiki ni kweli tumedhalilishwa sana tena sana.


Ifahamike kua huyu sheikh ameshiriki kile ninachoitwa "SHIRKI". Anatambua kabisa kiongozi huyo wa Freemason anaabudu mungu wake tofauti na Mungu tunayemwabudu sisi,haabudu Mungu huyu aliyemtuma kipenzi chetu mtume Muhammad S.A.w, Sio Mwenyezi Mungu S.W aliyetuumba sisi wanadam pamoja na Mbingu na dunia/Ardhi.


Uislamu hauna hulka ya kuwalea watu wa aina hii, inatia hasira sana na kusikitisha sana kuona mtu anafika mahali flani tena kwa kuwakilisha waumini huku akijua ni kinyume ni mafundisho yetu anashiriki matendo kuikana imani yake. Kamwe waislam wa kweli hatutakivumilia kitendo hiki, labda aseme alienda kuliwakilisha kundi lake alijuaye yeye na sio waislam wote! " NO!NO!" I said NO to this.


Kwa taratibu tu za kawaida hakuna mahali desturi za imani flani zikatumika katika kufanikisha sala ya mazishi ya mtu kutoka imani nyingine, hili haipo otherwise mhusika awe amebadili imani yake kabla ya kufariki dunia.Hapa ndio inapodhihiri kua ajenda ya kiongozi huyo huenda ni tofauti na hatuijui.


Kuna mahali alinukuliwa akisema kua eti yeye alisema kua alimwomba mwenyeziMungu amuweke Mahali panapohusika, hivi kiongozi huyu ni hatambui kua hata kukanyaga eneo lile ni makosa? Kunywa tu hata maji aliyopewa kwenye tukio hilo ni kosa, kuonesha tu sura ya kununa tu kwenye msiba huo lilikua kosa, kula ubwabwa ulioandaliwa kwenye tukio hilo ni kosa kwa mujibu wa mafundisho ya mtume wetu na maamrisho ya kitabu kitukufu cha Qur-an.Kushiriki kwa dua hiyo huyo sheikh anatakiwa kujivua kilemba cha ushakhe,akatubu upya.


Alitakiwa kusimamama na kutolea ufafanuzi jinsi ambavyo imani yetu inatukataza kabisa Kushiriki sala ya mtu kama alifariki akiwa amemkana Mwenyezi Mungu S.W na mtume Muhammad S.W. Kwa imani yetu ni imekatazwa hata Kushiriki sala ya mtu wa dini nyingine mpaka awe ameshahadia au amesilimu.Alitakiwa kuukataa mwaliko kama huo kama yeye ni kiongozi wa waislam wote wanaoiamini Qu-an tukufu.


Nitoe wito kwa waislam wote popote walipo wajitokeze kukemea tabia za aina hii, kunyamaza kimya ni kuonesha kuridhia vitendo vya aina hii na tufahamu kua siku ya mwisho tutajibu.
Ingawa sifurahii kitendo cha sheikh, ulichokisimulia, kama ni kweli...lkn pia sifurahii tabia ya kuamini kuwa tafsiri yako ktk elimu ya dini, ndio haswa inayopaswa fuatwa na kila muumini....la hasha...kila muumini ktk uislam ana wajib wa kuisoma dini, na kuielewa kulingana na tafsiri aliyoipata ktk kusoma kwake....ndio maana, tuna jamii zinazounganishwa na tafsiri tofauti ndani ya umma...huenda sheikh, ktk kusoma kwake, amefasiri kuwa kulikuwa hakuna makosa.....(rejea, sura Al -Kafirun)
 
yule sheikh wa dar tatizo ni njaa, anapenda sana ukaribu na wakubwa akiamini atapata chochote!
 
Mleta thread sidhani kama umesoma elimu yoyote ya juu ktk hizi mbili ulizotanabaisha. Kumbuka inatubidi kuwaombea hata wale wasioamini bila kubagua ndio maagizo ya Mola wetu. Huenda wewe umesoma ILIMU DUNIA tena ya uchochoroni.
Kama hujui kitu ni bora ukakaa kimya! Unafki wa nini humu?
 
mm hapo sijaona usomi wako.
kwani huyo sir chande yeye alikuwa sio mtu?
Tafuta muumini mzuri wa dini ya kiislam akuelimishe, kinachozungumzwa hapa ni mazishi na siu undugu katika masuala ya kijamii.
 
Naomba kujuzwa,

Kwa hiyo hata kwenye mazishi ya Wakristo, mnapoalikwa hamtakiwi kuhudhuria? Achana kusoma dua, je muislamu haruhusiwi kuhudhuria?

Je, kula vyakula pamoja na vinywaji vilivyoandaliwa pia ni kosa?
Mkuu, ni bora haya ya mkrito maana tunaabudu Mungu moja. Hata injili imetambuliwa katika Qur-an.
 
Naomba kujuzwa,

Kwa hiyo hata kwenye mazishi ya Wakristo, mnapoalikwa hamtakiwi kuhudhuria? Achana kusoma dua, je muislamu haruhusiwi kuhudhuria?

Je, kula vyakula pamoja na vinywaji vilivyoandaliwa pia ni kosa?
Maazishi ya muikristo anahudhuria, chakula pamoja wanakula, ila hairuhusiwi kushiriki katika ibada zao (Huyo shk. alishawahi kuingia kanisan na akahutubia)
dua hairuhusiwi kumuombea asiyekua muislam hata muislam aliyejiua pia hatakiwi kuombewa dua wala kuswaliwa.
 
Mleta thread sidhani kama umesoma elimu yoyote ya juu ktk hizi mbili ulizotanabaisha. Kumbuka inatubidi kuwaombea hata wale wasioamini bila kubagua ndio maagizo ya Mola wetu. Huenda wewe umesoma ILIMU DUNIA tena ya uchochoroni.
Kumuombea akifariki au akiwa hai???
akiwa hai unaweza ukamuomba Mola amuongoze katika kundi lililonyooka, ila kama amekufa amali zake ndio zimeishia hapo, unamuombea nini???
 
Back
Top Bottom